Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha. Hebu tupeoutputs. Ninyi ndio mnaomaminiwatuwenye maneno mengi ndio wenye akili. Acually ni kinyumechake!Wangekuwa mafisadi basi wangekuwa wamehukumiwa na Mahakama. Magufuli alikuwa hapendi watu wenye akili. Yeye alikuwa anapenda kuzungukwa na mazwzwa kama Prof Kabudi, Aggrey Mwanri au Makonda
Nyie ndie kuina chanhu chako na changu nchangu, na mnadhihirisha waziwazi. Time will tell!We jamaa mtanganyika acha ubaguzi au umesahau tuna Muungano?
Hakuna shida kikatiba raia yoyote kufanya kazi popote Tanzania japo wazenji Huwa wanatubagua machogo tukienda kufanya kazi kwao ATI tutawamalizia "mapembe" (wali usio na ladha wa kitumbo). Mi nilienda nikapiga kazi miezi mitatu tu wakanibagua wakaanza kunipigia cm za vitisho na kuniwinda halafu sijui nani na Wala sijachukua demu wao mara Mwenye Nyumba aniambia kodi ikiisha uhame si hatutaki wabara hapa mwanakwerekwe yaani chumba chenyewe alinichukulia Mzenji mwenzao jamaa hawafai kule kwao hukai labda uwe jeshi!
Mi nimekuelewa mkuu shida yako sio uzanzibari Bali dini za kiislamu za wateule!imekuuma sana ila huna la kufanya Mama ndo kaona wanamfaa!! Hii inaitwa mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu sana!! Hii nchi ni ya mfumo Kristo Mfalme Sasa akiteuliwa mwislam inakuwa kama ajabu sana kumbe haipaswi kuwa hivyo. Sasa ni zamu yetu hadi Bimkubwa Samia atoke miaka mingi ijayo system itakuwa imebalance.
I pray for you Bimkubwa Samia, May Allay show you the right path and have mercy on you inshallah. Amin
Ndo hivyo mama anajua ukihamisha kutoka hapa kwenda pale ndo ufanis unaonfezeka kama alishindwa kazi kituo x kuna ushahidi gani kuwa atapaform kituo yNashindwa kuelewa hata saa ngapi wanafanya hizo kazi .
Ukikaa kidogo kuweka tako ofisini ushatenguliwa, bado unaaga ushateuliwa, uko safarini kuelekea kituo kipya cha kazi ushapangiwa kazi ingine
Mpogoro na makame wapi na wapi
Mwl alitupeleka chaka la ajabu.kambona alikuwa mtu sahihi sana nchi hii.Du sasa huyu mzenj ameamu kufanya ujambazi wa kutisha,
Watumishi wa umma,wanawaibia wananchi,Samia,na wazenj wenzake wanaiibia Tanganyika,maana mambo ya mafuta sio ya Muungano,Zenj Wana mambo yao,na Tanganyika hivyo hivyo,sasa unamuwekaje mzenj jikoni kwa Tanganyika kusimamia mambo ya mafuta?huyu si ataiba Siri na kupeleka kwao Zenj,
Mchechu marehemu alikuwa ni mtu wa Tanga, mzigua. Alikuwa na eneo pale mikocheni pembeni ya yale maghorofa marefu yanayotazamana na Kida Plaza kiwanja kinachofuata kama unaelekea Mikocheni B upande wa kulia, kiwanja fulani kilikuwa kinajaa maji miaka ya nyuma wakati wa masika.Mbona kamteua huyo jamaa Mkenya kwenye shirika la Nyumba ?
Hizi ni akili zilizofilisika za baadhi yetu. Wakati ule wa marehemu JPM hakuna mtu aliyelalamika wasukuma kuwa kila mahali.Teuzi zinakwenda kwa Waislamu wa Zanzibar na Wakiristo wa bara.
Waislamu wa bara itafuteni Tanganyika yenu mliyoipigania kwa nguvu sana, haiwezekani Wazanzibari wanakula share yenu kiulaini kwenye mambo ya nchi yenu ya Tanganyika.
Mchechu ni mwenyeji wa handeni, mzigua.Huna ujualo kaa kimya. Hakuna Mzanzibari hapo wote ni Wa Tanganyika. Tena Wapogoro kabisa wa Morogoro.
Makame Rashid mkuu wa JKT wa awamu zilizopita kwao ni Mtwara, kweli hajui lolote.Hujui kitu. Kaa kimya. Kwao Kilosa.
Chuki zako zinakusumbua bure tu, Mchechu ni mmoja wa vijana wa usalama wa taifa wa miaka mingi.Duh sasa ndio tunaona wazi connection za kupiga hii nchi. Yaani kucha ni mikutano na waarabu. Mtu anatolewa private company anakuja wekwa at a strategic government position.
Samia tuhurumie. Umeridhi urais usifanye ije kua vita kukutoa maana unatuuza.
hopefull amemuweka kimkakati ili baadae aende zenji ku form ZPDC!!asa unamuwekaje mzenj jikoni kwa Tanganyika kusimamia mambo ya mafuta?huyu si ataiba Siri na kupeleka kwao Zenj
Katiba inaruhusu. Hata angechukukliwa mtu kutoka ulaya siyo dhambiDu sasa huyu mzenj ameamu kufanya ujambazi wa kutisha,
Watumishi wa umma,wanawaibia wananchi,Samia,na wazenj wenzake wanaiibia Tanganyika,maana mambo ya mafuta sio ya Muungano,Zenj Wana mambo yao,na Tanganyika hivyo hivyo,sasa unamuwekaje mzenj jikoni kwa Tanganyika kusimamia mambo ya mafuta?huyu si ataiba Siri na kupeleka kwao Zenj,