UTEUZI: Rais Samia ateua Balozi mmoja na kumhamisha Humphrey Polepole kuwa Balozi nchini Cuba

Ama kweli mambo yamebadilika na JPM hayuko tena duniani.

Hadi wewe Kichuguu tunayekufahamu mtetezi wa kila jambo la serikali leo unalalamika!

Inashangaza sana.



 
Naliona hili pia
 
Mbona mnaweweseka mkimsikia shujaa polepole?
 

Watanzania wengi wivu na majungu huwa vinalimit na ku influence aina ya kufikiria kwenu. Kwanza mlidai katupwa ka nchi kadogo Tu kaafrica. Sasa kahamishwa kwenda Cuba ningezani mngesifia kuwa bado anatambulika, Ila mnakuja na hoja za kikombe kipo nusu empty Badala ya kimejaa nusu. Msiwaze mbali sana wabongo. Maisha Kama Sio yako binafsi huwezi kuyapangia na kuyapatia.
 
Ninashauri: 1. January makamba
2. Nape Mnauye
3. Mwigulu Nchemba
4. Riziwani Kikwete
5. Doto Biteko
6. Hussein Bashe
Wote nilio wataja hapo juu, Wateuliwe kuwa mabalozi wa kuiwakilisha Tanzania nchi watakazopangiwa itapendeza na itapunguze ufisaidi mkubwa .
 
Ila kiukweli aina ya watu kama Mh. Balozi Polepole huwa wanakuwa viongozi wenye ushawishi mkubwa sana..
Natamani kumwona siku moja akiwa Rais wa nchi yetu.
 
Sawa bwana Malope
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…