Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lini musiba atakumbukwaNimeona jina la mwanakitengo
Pasco sijui afanye nini ili ateuliwe? Labda ni Karma.
Aizuii katiba mpya.mvue nguo mvae katiba mpya ni lazima.Hatuwezi ongozwa na katika mfu.Raisi akifa turudi kwenye uchaguzi tupate chaguo sahihi, umewahi ona wapi Makamu wa raisi smart
Hawana uwezo na sifa! Ulitaka wabaki kwa nini?Kwanini Mh. Rais Samia aliwafuta kazi wakurugenzi (DEDs) wote waliozaliwa Chato?
je, maDAS nao wajiandae kufutwa kazi na waziri Mchengerwa?
katika uteuzi wa majuzi Wa wakurugenzi Wa mamlaka za serikali za mitaa... wakurugenzi walioteuliwa na JPM wameondolewa kwenye nafasi zao, wote waliozaliwa Chato.
nawasilisha.
Yaani unaingilia uhuru wa Mahakama.Mbowe sio gaidi,Tunataka katiba mpya
Hujui katiba ndiyo inampa mamlaka Rais kufanya uteuzi?Msituchanganyie habari za Katiba humu jmn
Ni weekend leo
Mtaendelea kuidai j3 jmn pumzikeni kidogo😅Hujui katiba ndiyo inampa mamlaka Rais kufanya uteuzi?
Umemsahau Pasco mayala ambae Marais wote wamemsusaLini musiba atakumbukwa
SIO KWELI. VIJANA WA CHATO WAMEJAA KONA ZOTE KUANZIA IKULU, BOT, WIZARA YA FEDHA HADI TAMISEMI.Kwanini Mh. Rais Samia aliwafuta kazi wakurugenzi (DEDs) wote waliozaliwa Chato?
je, maDAS nao wajiandae kufutwa kazi na waziri Mchengerwa?
katika uteuzi wa majuzi Wa wakurugenzi Wa mamlaka za serikali za mitaa... wakurugenzi walioteuliwa na JPM wameondolewa kwenye nafasi zao, wote waliozaliwa Chato.
nawasilisha.
Mkaldayo wewe hutaki teuzi?Pasco sijui hafanyeje ili ateuliwe? Labda ni Karma.