Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Vijana Wanazeeka HomeVIJANA WANASUBIRI AJIRA 40,000 ALIZOAHIDI SIKU YA MEI MOSI.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vijana Wanazeeka HomeVIJANA WANASUBIRI AJIRA 40,000 ALIZOAHIDI SIKU YA MEI MOSI.
Acha upoyoyo wako ,mama kaletwa na Mungu baada ya watanzania kuteseka kwa kipindi cha miaka sita ndani ya taifa laoAta ungekuwa wewe umesikia BoT imetayarisha 1 trillion shillings za kukopesha wakulima; si ungeweka mtu wako bank ya kilimo uvune huo mkwanja.
Umeona wapi mtu asiekuwa na banking background akaongoza bank. Mama anaingizwa chaka sana watu wanapora.
Yale yale ya stimulus package, “nchi imechezewa sana” na sasa utamaduni unarudi upya.
Mama rudisha Bashiru ata kwa nafasi ya mshauri binafsi; shauri zako.
Hakuna uzao wake,ukoo wake jamaa yake asiye na ajira.Shida ya ajira kwa ndugu na jamaa zake alishamalizaMagufuri alitengeneza ajira ngapi za kudumu?
Mwenye CV yake aiweke hapa pls!Huyu Jaffar mbona anafanya makosa kila mara? Anakera sasa!
Muogope Mungu, Mungu hadhihakiwi. Nafsi yako ikusute, ipo siku utakuja kulipa hiki kitu unachoaminisha na kusambaza. Ni kosa kubwa sana.
Huyu alishawahi kuwa mkurugenzi TIB Magu akamtumbua ni wapigaji wa Kikwete hawaMkurugenzi wa Lake oil kuwa mkurugenzi wa benki ya kulimo safi kabisa
Wewe huna akili,Nyabundege anatokea Musoma na ni kanda pendwa,huyo ni mpigajiAliondolewa kwa hakuwa hakuwa ametoka kanda pendwa na bado wote walionewa kwa kuwa kuwa hawakutoka kanda pendwa mama angalia namna ya kuwatendea haki
Umenena vyema sana!!!!. Watu wanapotaja chato wajue wanataja kanda ya ziwa(yaani watu walio serious & committed). Wamejichimbia kwenye mizizi ya muhimili na ni wengi sana.SIO KWELI. VIJANA WA CHATO WAMEJAA KONA ZOTE KUANZIA IKULU, BOT, WIZARA YA FEDHA HADI TAMISEMI.
JESCA MWENYEWE YUPO REA ANAKULA TU MPUNGA MREFU.
MIZIZI YA CHATO IMEJICHIMBIA CHINI SANA. HUYU MKOJANI HAWEZI KUING'OA!