ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Huyu Jaffar mbona anafanya makosa kila mara? Anakera sasa!Jamani ni kama kuna maneno hayapaswi kuwemo kwenye huu waraka kwenye no 1 para ya 2. Jaffar tunaomba utulie fanya kazi kiweledi acha kutudhalilisha kiasi hiki,