UTEUZI: Sophia Simba ateuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Magavana wa Taasisi ya Ustawi wa Jamii

UTEUZI: Sophia Simba ateuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Magavana wa Taasisi ya Ustawi wa Jamii

Mkuu wewe acha tu.Naona 2025 mbali sana,na hata huko sidhani kama kuna natumaini kwa safu anayoipanga.Yaani ni ya wapigaji tupu.Mungu atusaidie sana.
Kuna siku ambayo M/Mungu hajatusaidia Tanzania?!!!

Wacha tupige kazi sisi.....
FB_IMG_16307140795615105.jpg
 
Ipi,kuwateua akina Sophia Simba,Kinana,Ridhiwani,Makamba etc.Yaani nimeichukia nchi yangu ghafla.Tunakoenda siko I am sorry.
Huna Presidential decree ya kumpangia mh.Rais nani wa kumteua na kumtengua.....
 
Sophia simba alikuwa bar maid morogoro akizibua chipa za walevi kama kawa anatandika pombe kama kawa anazidudumia kama mpiga tarumbeta wa bendi ya matarumbeta ya Jeshi bila glasi

Ni muislamu chapombe

Msiangalie Jina.Ana Jina la kiislamu lakini kitimoto udenda unamtoka akiona kitimoto na anakula bila hata kukisomea dua ya alubadiri kabla ya kukila na pombe anatandika alikuwa hawara wa na nyumba ndogo ya mhaya sir George Kahama

Q

kiti moto sio tu waislamu wamekatazwa hata waumini wa biblia imewakataza kula nguruwe
 
Sophia simba alikuwa bar maid morogoro akizibua chipa za walevi kama kawa anatandika pombe kama kawa anazidudumia kama mpiga tarumbeta wa bendi ya matarumbeta ya Jeshi bila glasi

Ni muislamu chapombe

Msiangalie Jina.Ana Jina la kiislamu lakini kitimoto udenda unamtoka akiona kitimoto na anakula bila hata kukisomea dua ya alubadiri kabla ya kukila na pombe anatandika alikuwa hawara wa na nyumba ndogo ya mhaya sir George Kahama

Q
Kila siku humu ndani tunaambiwa a kuwa kelele za UDINI ni muflisi tu....ni OPIUM ya vichwa vibovu......

Nchi inaendeshwa kwa sheria na taratibu tulizojiwekea ambazo iwe Saidi ama Francis atazituata tu katika utumishi wa umma.....

#Siempre JMT🙏
 
Wewe ni CCM? Kinana anatuhusu nini sisi kama nchi wakati ni mtumishi wa lichama lao?
Kinana anakuhusu nini? Serikali inatekeleza ilani ya chama gani? Ni akina nani wanaoandika hiyo ilani kama siyo akina Kinana? [emoji15][emoji15][emoji15]
 
Babuuh ukimtaja huyo mzee unaudhi na kukera watu, serious, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyu hapa Msomali wako mjukuu. Hawa ndo wanakuandalia future yako na wanao. Kazi mnayo! [emoji16][emoji16][emoji16]
kinana.jpg
 
Chama kipya kipi? kwa maana bado sijakiona ukiangalia Chadema,Mwenyekiti wake ni msanii tu ukiende ACT nae Zitto ni msanii tu.
Hata Kama vyama upinzani vingekuwa imara ingesaidia nini?

Kura zikipigwa wakina kingai na genge lake wanakimbia na box la kura

Mara mbunge kajiuzulu kahamia ccm kuunga juhudi
 
Recycling.

Kuna watu na familia zao tayari wamejihakikikishia kukamata uongozi wa nchi hiu.

Tumeshatengeneza tayari matabaka.

Kuyaondoa zitatumika nguvu kubwa sana.
 
Ile CCM yangu nyingine ni mnuno kwa kwenda mbele.
 
Recycling.

Kuna watu na familia zao tayari wamejihakikikishia kukamata uongozi wa nchi hiu.

Tumeshatengeneza tayari matabaka.

Kuyaondoa zitatumika nguvu kubwa sana.
sisi tukiwaambia tupiganie katiba mpya hamtaki - kwa sasa option ni moja tu kwa wana CCM wenzangu - - kukaa kimya
 
Back
Top Bottom