We jamaa ndio mpumbavu kweli. jibu swali, ulitaka akina nani wateuliwe?
ateuliwe baba yako na mjomba wako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We jamaa ndio mpumbavu kweli. jibu swali, ulitaka akina nani wateuliwe?
Kuna siku ambayo M/Mungu hajatusaidia Tanzania?!!!Mkuu wewe acha tu.Naona 2025 mbali sana,na hata huko sidhani kama kuna natumaini kwa safu anayoipanga.Yaani ni ya wapigaji tupu.Mungu atusaidie sana.
Huna Presidential decree ya kumpangia mh.Rais nani wa kumteua na kumtengua.....Ipi,kuwateua akina Sophia Simba,Kinana,Ridhiwani,Makamba etc.Yaani nimeichukia nchi yangu ghafla.Tunakoenda siko I am sorry.
Yaani wewe umlazimishe mh.Rais amteue mjomba yake huyo ndugu ?!!!😳😳ateuliwe baba yako na mjomba wako
Mhitimu wa chuo kikuu akafanye nini katika hizo bodi kubwa ?!!!kuchaguliwa kwa wastaafu kila wakati inauwa ajira ya waliomaliza vyuo
Sophia simba alikuwa bar maid morogoro akizibua chipa za walevi kama kawa anatandika pombe kama kawa anazidudumia kama mpiga tarumbeta wa bendi ya matarumbeta ya Jeshi bila glasi
Ni muislamu chapombe
Msiangalie Jina.Ana Jina la kiislamu lakini kitimoto udenda unamtoka akiona kitimoto na anakula bila hata kukisomea dua ya alubadiri kabla ya kukila na pombe anatandika alikuwa hawara wa na nyumba ndogo ya mhaya sir George Kahama
Q
Kila siku humu ndani tunaambiwa a kuwa kelele za UDINI ni muflisi tu....ni OPIUM ya vichwa vibovu......Sophia simba alikuwa bar maid morogoro akizibua chipa za walevi kama kawa anatandika pombe kama kawa anazidudumia kama mpiga tarumbeta wa bendi ya matarumbeta ya Jeshi bila glasi
Ni muislamu chapombe
Msiangalie Jina.Ana Jina la kiislamu lakini kitimoto udenda unamtoka akiona kitimoto na anakula bila hata kukisomea dua ya alubadiri kabla ya kukila na pombe anatandika alikuwa hawara wa na nyumba ndogo ya mhaya sir George Kahama
Q
Kinana anakuhusu nini? Serikali inatekeleza ilani ya chama gani? Ni akina nani wanaoandika hiyo ilani kama siyo akina Kinana? [emoji15][emoji15][emoji15]Wewe ni CCM? Kinana anatuhusu nini sisi kama nchi wakati ni mtumishi wa lichama lao?
Babuuh ukimtaja huyo mzee unaudhi na kukera watu, serious, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kinana anakuhusu nini? Serikali inatekeleza ilani ya chama gani? Ni akina nani wanaoandika hiyo ilani kama siyo akina Kinana? [emoji15][emoji15][emoji15]
Huyu hapa Msomali wako mjukuu. Hawa ndo wanakuandalia future yako na wanao. Kazi mnayo! [emoji16][emoji16][emoji16]Babuuh ukimtaja huyo mzee unaudhi na kukera watu, serious, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nahisi hasira mnooo.Huyu hapa Msomali wako mjukuu. Hawa ndo wanakuandalia future yako na wanao. Kazi mnayo! [emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 2186678
Hata Kama vyama upinzani vingekuwa imara ingesaidia nini?Chama kipya kipi? kwa maana bado sijakiona ukiangalia Chadema,Mwenyekiti wake ni msanii tu ukiende ACT nae Zitto ni msanii tu.
Upo wewe?Katiba mpya muhimu
Anateua kila siku kila mtu
Nguvu ya rais imepindukia
Kataa katiba ya kikoloni hii.
sisi tukiwaambia tupiganie katiba mpya hamtaki - kwa sasa option ni moja tu kwa wana CCM wenzangu - - kukaa kimyaRecycling.
Kuna watu na familia zao tayari wamejihakikikishia kukamata uongozi wa nchi hiu.
Tumeshatengeneza tayari matabaka.
Kuyaondoa zitatumika nguvu kubwa sana.
Kwahiyo chuma kirudi au 😒hatari sana, bibi bado yupo kazini, anatupigisha stepu za kurudi nyuma tu