UTEUZI: Sophia Simba ateuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Magavana wa Taasisi ya Ustawi wa Jamii

UTEUZI: Sophia Simba ateuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Magavana wa Taasisi ya Ustawi wa Jamii

Ipi,kuwateua akina Sophia Simba,Kinana,Ridhiwani,Makamba etc.Yaani nimeichukia nchi yangu ghafla.Tunakoenda siko I am sorry.
Im happy for whats happening... Watanzania ni watu wa kulalamika tu always hakujawahi kuwa na jema. Raisi wa kujali maslahi ya wananchi hamumtaki mnamuita mshamba raisi wa kujali maslahi ya magenge ya mafisadi mnamtaka ila mmepata mnaanza kulia lia tena.

Nikifikiria tulikuwa na raisi nationalist ila chuki dhidi yake ilikuwa kubwa kiasi cha kumuandalia kifo sababu tu washenzi walikuwa hawapumui now naona ushenzi uendelee tu mpaka siku ambako dunia itafika ukomo!

Warudishane na warithishe na watoto cycle iendelee hii nchi ishakuwa ya kifalme sasa.
 
Nchi hii yaani ukishakuwa kwenye system basi hutoki. Mijitu imeshastaafu (wala haifi!). Imeiba vya kutosha. Mitajiri haswa haswa. Bado inarudishwa tu. Hakuna wengine wanaoweza kushika hizo nafasi? Imagine Mrema yule aliyeonekana kanisani akifunga ndoa hawezi hata kusimama bado ni mwenyekiti sijui wa bodi gani. Aliyeturoga alishakufa kmmk [emoji51][emoji51][emoji51] [emoji706][emoji706][emoji706]
Kmmmk kweli yani 😂😂😂 muthafuqaz never get fed up got damn! CCM is a Cartel of Money Bugs
 
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Bi. Sophia Simba kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Magavana wa Taasisi ya Ustawi wa Jamii (ISW). Bi. Simba ni Mbunge Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Pia amemteua Jaji Hamisa Hamisi Kalombola kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Umma. Jaji Kalombola ni Jaji Mstaafu wa Mahakama Kuu ya Tanzania

Sambamba na uteuzi huo, Rais Samia amemteua Obey Nkya Assery kuwa Mwenyikiti wa Bodi ya Usimamizi wa Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC). Bw. Assery ni Mshauri Mwandamizi, Taasisi ya Global Alliance for Improved Nutrition, Dar es Salaam.


View attachment 2186352
Hivi viongozi ni hawahawa tu? Khaaa!
 
Kwahiyo lile kundi la tutamuongezeaaaaa ndilo bora?
Mimi sizungumzii makundi,I am above that.Nazungumzia weledi,haki,logic,utendaji bora,kuteua bila kujuana na urafiki kutegemeana na weledi na utendaji ulio tukuka.
 
Im happy for whats happening... Watanzania ni watu wa kulalamika tu always hakujawahi kuwa na jema. Raisi wa kujali maslahi ya wananchi hamumtaki mnamuita mshamba raisi wa kujali maslahi ya magenge ya mafisadi mnamtaka ila mmepata mnaanza kulia lia tena.

Nikifikiria tulikuwa na raisi nationalist ila chuki dhidi yake ilikuwa kubwa kiasi cha kumuandalia kifo sababu tu washenzi walikuwa hawapumui now naona ushenzi uendelee tu mpaka siku ambako dunia itafika ukomo!

Warudishane na warithishe na watoto cycle iendelee hii nchi ishakuwa ya kifalme sasa.
Mimi nilimpenda Magu sana mkuu,kwa hiyo tupo pamoja.He was the right President for this nation,for this generation and for this time.Aliipenda nchi yake upeo na watu wake kindakindaki,ila Watanzania vichwani hamnazo.

Extrovert hata hivyo tunapaswa kuwahurumia ndugu zetu hawa,they are enslaved,brainwashed and mind controlled.Seriously Watanzania ni so mind controlled and enslaved kiasi kwamba they do not know what is even right and wrong,ni wakusamehe bure.
 
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Bi. Sophia Simba kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Magavana wa Taasisi ya Ustawi wa Jamii (ISW). Bi. Simba ni Mbunge Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Pia amemteua Jaji Hamisa Hamisi Kalombola kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Umma. Jaji Kalombola ni Jaji Mstaafu wa Mahakama Kuu ya Tanzania

Sambamba na uteuzi huo, Rais Samia amemteua Obey Nkya Assery kuwa Mwenyikiti wa Bodi ya Usimamizi wa Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC). Bw. Assery ni Mshauri Mwandamizi, Taasisi ya Global Alliance for Improved Nutrition, Dar es Salaam.


View attachment 2186352
Sawa Samia the incarnate of Jakaya Kikwete(SIJAK),kazi itaendelea.
 
We jamaa ndio mpumbavu kweli. jibu swali, ulitaka akina nani wateuliwe?
Kama taifa lazima kuwe na succession from generation to another. Unapowarudisha watu kama kina Sophia simba, basi aidha taifa haliwapiki vijana wa kuchukua madaraka/nafasi au unapata dhana kwamba vyeo ni vya kupeana. Watu kama kina Kinana baada ya kulitumikia taifa mrefu na kustaafu, iliwapata wawe washauri wa vijana na sio wao kupewa majukumu mapya tena.
Lakini hili ni Tanzania isiyo na Baba wa Taifa
 
Kama taifa lazima kuwe na succession from generation to another. Unapowarudisha watu kama kina Sophia simba, basi aidha taifa haliwapiki vijana wa kuchukua madaraka/nafasi au unapata dhana kwamba vyeo ni vya kupeana. Watu kama kina Kinana baada ya kulitumikia taifa mrefu na kustaafu, iliwapata wawe washauri wa vijana na sio wao kupewa majukumu mapya tena.
Lakini hili ni Tanzania isiyo na Baba wa Taifa
Kuna kazi zinahitaji uzoefu zaidi,mfano hiyo kazi ya Sofia Simba ni ya kutoa ushauri tu na maelekezo, sio ya utendaji. haina mshahara zaidi ya posho za vikao, na hivyo vikao kwa mwaka havizidi vitano! Kwa Kinana mama alihitaji mtu mwenye uzoefu na chama kwa ajili ya kumshauri vizuri mambo ya chama! uweke kijana asiekuwa na uzoefu atamsaidia nini? read between the lines
 
Mimi nilimpenda Magu sana mkuu,kwa hiyo tupo pamoja.He was the right President for this time.Aliipenda nchi yake upeo na watu wake kindakindaki,ila Watanzania vichwani hamnazo.

Hata hivyo Extrovert tunapaswa kuwahurumia ndugu zetu,they are enslaved,brainwashed and mind controlled.Seriously Watanzania ni so mind controlled and enslaved kiasi kwamba they do not know what is even right and wrong,ni wakusamehe bure.
Ni kweli mkuu
 
Back
Top Bottom