Daah Wakulyamba ameliwa kichwa!!
Anaapishwa lini?Rais Samia Suluhu amempandisha cheo Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP), Suzan Kaganda kuwa Kamishna wa Polisi.
Aidha, Rais Samia amemteua Kamishna Kaganda kuwa Kamishna wa Utawala na Rasilimali watu wa Jeshi la Polisi, amechukua nafasi ya Kamishna wa Polisi (CP), Benedict Wakulyamba ambaye atapangiwa kazi nyingine.
Abaki wa nini yule katili linafokea kila mtu bila kujua wengine ni vijana wa kanisani sasa wacha akasome magazeti pele makao kwanzaDaah Wakulyamba ameliwa kichwa!!
[emoji38][emoji38][emoji38]Wakulyamba yupo Mikumi amewaandalia semina maRPC wote halafu kaliwa kichwa!!!
Huko Mikumi vinywaji na bata vitashuka? IPRT imemponza? au basi.
Mmmh nijuavyo huyo jamaa ni mcha Mungu sana kuliko askari mwingine yoyote niliywahi kuona.Abaki wa nini yule katili linafokea kila mtu bila kujua wengine ni vijana wa kanisani sasa wacha akasome magazeti pele makao kwanza
Ndio yeyeHuyu mama ndio yule clip yake ilivuma kipindi fulani.
Amepata anachostahili
Mbona yeye mnywa soda tu?Wakulyamba yupo Mikumi amewaandalia semina maRPC wote halafu kaliwa kichwa!!!
Huko Mikumi vinywaji na bata vitashuka? IPRT imemponza? au basi.
Ni yeye ila sema anaweza akabadilika kabisaHuyu mama ndio yule clip yake ilivuma kipindi fulani.
Amepata anachostahili
Ni ndugu yako?.Mmmh nijuavyo huyo jamaa ni mcha Mungu sana kuliko askari mwingine yoyote niliywahi kuona.
Sema hanaga msaada kivile.
Namfahamu kuliko
HR wa polisi huteuliwa na Rais.Majukumu mengine yangefaa aachiwe IGP, mheshimiwa Raisi ana majukumu makubwa sana