CIA mgumu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2022
- 962
- 1,934
Hicho nacho kila siku kikipata kiongozi mpya kinavurugika sijui hawaaminiani itakuwaWakulyamba bwana, niliwahi kufanya nae kazi akavuruga kile kikosi Cha polisi Cha ikulu, wakawa hawaelewani na yule Mmama Rpc wa Ikulu