CIA mgumu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2022
- 962
- 1,934
Ahsante mkuu nitakupa feedback akigoma kunisameheAkiwa mgumu nishirikishe nikupe back up
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante mkuu nitakupa feedback akigoma kunisameheAkiwa mgumu nishirikishe nikupe back up
Clip gani iyoHuyu mama ndio yule clip yake ilivuma kipindi fulani.
Amepata anachostahili
Watam-fix atatulia tu. Usicheze na wenye nchi mkuuHuyu mama akiendelea na msimamo huo, heshima itarudi kwa jeshi la polisi. Kwa sababu wanao lichafua jeshi hilo ni baadhi tu.
Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
Anaonekana mtu mzima sana atakuwa kashafika umri wa kustaafu hadi 2025Suzan Kaganda IGP ajaye baada ya 2025
Makonda alimchukia sana. Kipindi Nape anatishiwa na Bastola, Kaganda alitaka aliyefanya hivyo atafutwe. Ndo akatolewa kwenye RPC wakampeleka makao Makuu akose nguvu za kulisimamia.Hongera sana Suzan Kaganda... kipindi yupo RPC kinondoni wakina paul makonda walimchongea mama wa watu mpaka akapelekwa makao makuu ... eti rpc knd anachukua hela kwa wafanyabiashara wa shisha na wauza unga
Na ndiyo anaandaliwa taratibu kwani tayari Poti wangu wa Kizanaki na Kikurya ( kutoka Mkoani Mara ) ameshaanza kuonyesha Mapungufu maeneo fulani japo anajitahidi kuweka sawa lakini Rekodi zake za Kiutendaji na mengine yanayoibuliwa yanaanza kumuweka katika hatihati ya kuendelea Kudumu katika hiyo Nafasi.Kamishna Kaganda ndiye angefaa kuwa IGP
Kutokua na msaada,hiyo ni hulka ya watu karibia wote wenye asili ya Sumbawanga,they never help their people.Wakifika levo flani,aisee bora wamsaidie mtu baki na siyo wa kwao.Ni hopeless kabisa hayo majamaa.Mmmh nijuavyo huyo jamaa ni mcha Mungu sana kuliko askari mwingine yoyote niliywahi kuona.
Sema hanaga msaada kivile.
Namfahamu kuliko
Kabisa, yaani haya majukumu mengine yalitakiwa kufanywa na IGP au sekretarieti maalumu kutokana na katiba.Rais wa Tanzania ana majukumu mengi sana
Rais Samia Suluhu Hassana amempandisha Cheo Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Suzan Kaganda kuwa Kamishna wa Polisi.
View attachment 2396498
Vile Vile Rais Samia amemteua Kamishna Kaganda kuwa Kamishna wa Utawala na Rasilimali watu wa Jeshi la Polisi. Kamishna Kaganda anachukua nafasi ya Kamishna wa Polisi (CP) Benedict Wakulyamba ambaye atapangiwa kazi nyingine.
Uteuzi umeanza rasmi.
Tazama video hapa chini kuona alivyowafokea Trafiki wanaoendekeza Rushwa
Ila ukumbuke mwenzako tayari ni kamishna(CP). Tayari ameshafanikiwa hata kama wewe unafurahia kuondolewa nafasi ya uongozi.Abaki wa nini yule katili linafokea kila mtu bila kujua wengine ni vijana wa kanisani sasa wacha akasome magazeti pele makao kwanza