Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaah wapi huyu Msumbawanga mkuu hata sijawahi fika huko.Ni ndugu yako?.
Nafikiri majukumu yake huanzia kwa ma RPCIGP Sio wote anao wapanga yeye?
Alistahili kuwa IGP. Sasa aanze kuwa fundisha trafiki miongozo ya kazi zao. Sio kukusanya hela za watu barabarani kwa rushwa.Huyu mama ndio yule clip yake ilivuma kipindi fulani.
Amepata anachostahili
Mkuu huko ndani kugumu mno.Alistahili kuwa IGP. Sasa aanze kuwa fundisha trafiki miongozo ya kazi zao. Sio kukusanya hela za watu barabarani kwa rushwa.
Mcha Mungu kwa nje kaka ndani ana mengi ( nitakucheki )Mmmh nijuavyo huyo jamaa ni mcha Mungu sana kuliko askari mwingine yoyote niliywahi kuona.
Sema hanaga msaada kivile.
Namfahamu kuliko
Nafsi yake haiko hivyo. Mungu ata muepusha na hayo mapepo.Mkuu huko ndani kugumu mno.
Hiyo ni miradi ya watu hadi wanasiasa wamo.
Utashangaa akiingia humo atapooza kama sio yeye vile.
Wewe huwezi kunicheki...najiandaq kukufuta😁😁Mcha Mungu kwa nje kaka ndani ana mengi ( nitakucheki )
ItapendezaNafsi yake haiko hivyo. Mungu ata muepusha na hayo mapepo.
Jiheshimu, Mkuu.atafanya uteuzi
Unifute kisa nini wakati nimekuomba msamaha , basi ngodoya NjoghodaWewe huwezi kunicheki...najiandaq kukufuta😁😁