Hicho nacho kila siku kikipata kiongozi mpya kinavurugika sijui hawaaminiani itakuwaWakulyamba bwana, niliwahi kufanya nae kazi akavuruga kile kikosi Cha polisi Cha ikulu, wakawa hawaelewani na yule Mmama Rpc wa Ikulu
Katiba !!Rais wa Tanzania ana majukumu mengi sana
Lakini ni lazima Rais aidhinishe nadhani !!IGP Sio wote anao wapanga yeye?
Ukiona mbwa juu ya mti jua amepandishwa,huyo IGP na team yake huwezi jua wamechangia kwa kiasi gani Kum-recommend huyo maza Kwny mamlaka ya uteuzi au huko Kwny vetting yake.IGP Sio wote anao wapanga yeye?
Kwa vigezo gani unasema alistahili?Sirro akiwa RPC alikua amenyooka kuliko maelezo.Alivyokuja kua IGP nadhani unaelewa kilichofuata.Alistahili kuwa IGP. Sasa aanze kuwa fundisha trafiki miongozo ya kazi zao. Sio kukusanya hela za watu barabarani kwa rushwa.
Kupata police mcha Mungu wa ukweli ukweli nadhani Ni adimu kama kuona bao la kuku.Mcha Mungu kwa nje kaka ndani ana mengi ( nitakucheki )
Ni kweli ..Ndio yeye
Huyu anashughulikia zaidi utawala na maslahi ya waajiriwa.Acha tuone kama atafanikiwa kulinyoosha Jeshi la polisi. Maana Hiyo nafasi aliopewa haikuja by accident
Kampigie magoti inbox mkuu mpk atoe,hapa sio mahali pakeUnifute kisa nini wakati nimekuomba msamaha , basi ngodoya Njoghoda
🤣🤣🤣🤣Kupata police mcha Mungu wa ukweli ukweli nadhani Ni adimu kama kuona bao la kuku.
Naenda mapema sana mkuuKampigie magoti inbox mkuu mpk atoe,hapa sio mahali pake
Akiwa mgumu nishirikishe nikupe back upNaenda mapema sana mkuu
Yupo vizuri sanaMaza yuko vizuri ofcourse,mcheki hapa
View attachment 2396648