Uteuzi wa Albert Chalamila upitiwe upya, ufafanuzi wake hauna mantiki

Uteuzi wa Albert Chalamila upitiwe upya, ufafanuzi wake hauna mantiki

Watanzania Tuko soft na emotional sana...Tumezoea kubembelezwa hatupendi ukweli mchungu...
Ukwel upi?

Do you know How Hospital works ?

Km angekosa dawa kama Misoprostol etc etc we would understand

Any Hosp haipaswi kukosa Oxytocin, gloves, mkasi, Blades , pads etc …. Wanapata ruzuku kila mwaka

Usi comment kitu huna elimu nacho
 
Is this ass-hole dude normal? Yaani mpaka siamini ninachokisikia.
It so sad kwa mtu mwehu kama huyu kuwa kiongozi, na kabisa watu wamekaa wanamsikiliza and to make it worse wanaomsikiliza ni doctors and nurses yaani professionals wenye dhamana ya kutibu watu.
Watu kama hawa hupata hizo post kama shuran kwa kulamba makalio ya viongozi ;
Sio kwa competency zao. Ndio mana tunasema katiba mpya. Mkuu wa mkoa ni mtumishi….. haipaswi kuwa presidential appointee. Wafanyishwe interview… atolee jasho that post

Presidential appintment ni uhuni
 
Utaingia kwenye copy yao utakua kama wao tu..
Niliachana na utumishi wa Hospital ya Kagera baada kuona ndani ya utumishi kuna chain ya vilaza na wanapenda short kati na ujanja ujanja. Nikahamia Ocean Road ….. kukawq kuna afadhali kidogo but still i was not satisfied na utumiishi…… nikaona bado sitokuza my carrer path….. nikatimkia WHO.

Inategemea umekuzwa vipi, wengine tumekuzwa na madingi full msimamo na kujiamini……kwasababu hakuna mwingine kama wewe…… if you cant believe in yourself…… then who will ? Kusimamia misingi yako ni lazima in Life ….. mambo ya uchawa unawaachia watu low class wasio na future kwenye dunia zaidi ya kula

I was not raised to compromise my personal beliefs na values. Sijui uchawa na blah Blah za ku bow down

Never for me . Siwezi kuingia kwa mfumo wa aina hiyo
 
Mama mjamzito aliambiwa na Hospital atoe 50,000 kununua vifaa vya kujifungulia baada ya kuambiwa havipo Hospital.

Chalamila akapigiwa simu na Mama huyo, Chalamila akamjibu huyo mama arudi nyumbani akajifungue kwa kisu kwa msaada wa mme wake au amuache mtoto wake afe.

Kama taifa hatuwezi kuwa na viongozi WAPUUZI kama huyu. Kama kiongozi unadharau wazazi kama hivi, wahuni wafanyaje?

Kwanza nimestushwa kuambiwa vifaa vya kujifungulia atoe 50,000!

Delivery Kit inakuwa na Gloves, Blades, cord clamps, pads, towel etc, hizi kit zilikuwaga ni mradi wa Ummy Mwalim na ndio sababu ya kutolewaga Wizara ya Afya na JPM na zilikuwa zinauzwa 18,000 na bado zilionekana ghali. Inakuaje leo delivery kit iwe elfu 50?

Pia soma: RC Chalamila asema hatukumuelewa kwenye video ya gloves. Atoa ufafanuzi mpya akigusia watu wanaochangia vigodoro badala ya hospitali

Na kwanini mgonjwa aambiwe akanunue gloves? Inakuaje Hospital inakosa vifaa muhimu kama gloves? Blades? Scissors? Pads? Gauze? Hosp gani inaweza kufanya kazi bila Gloves? Blades? Scissors na Pads?

Mkurugenzi wa Hospital, Mkuu wa Mkoa na watendaji wa Hospital wanapaswa kuwajibishwa. Sioni tofauti na wale watu wa Manyara waliomnyima mgonjwa Antivenom na kupelekea Mgonjwa kufa.

Mkuu wa Mkoa ameshindwa ku act kama kiongozi badala yake ame act kama muhuni na mvuta SHISHA! Shame!

Tozo na makodi yanaenda wapi?

Nilitegemea Mkuu wa Mkoa atafute root cause as to why hospitali haina vifaa muhimu kama gloves, mikasi, nyembe, clamps, gauze pads kwa mama kujifungulia, badala yake anamtukana mama aliyekwenye uchungu.

Utetezi wa Chalamila juu ya kauli yake ni VOID: RC na Mkurugenzi wa hospitali muwajibishwe HARAKA.

View attachment 3214939

Dr Megalodon Mushy, PhD Candidate
WHO Regional Office
Rue 52, Ottawa,
Canada
Huyo aliyepata muda wa kupiga simu hakwenda kujifungua. Alikua mgonjwa wa kawaida
 
Kwa sisi ambao tuna mlengo wa ki chalamila hatuoni tatizo.

Kuna walio anzisha Uzi kabisa kulala PRIVATE WARD hospital ya serikali ni 75,000 na ushee kwa siku moja na haupewi chochote hata maji ya kunywa Sana Sana ni kulalia godoro, kubadilishiwa shuka..

Ni WATANZANIA wangapi Wana afford kulipa hio 75,000 ili walale private ward.

Zipo hospital za private wanalipa Hadi 25,000 kupata huduma ya private ward why kwa hospital za serikali huduma ziwe ghali kuliko private?

Chalamila yupo sahihi hatupendi kuambiwa UKWEL na siku zotee UKWEL unaumaa
 
Watanzania Tuko soft na emotional sana...Tumezoea kubembelezwa hatupendi ukweli mchungu...
Ukweli mchungu ndio nini? Kama kiongozi ni mfariji na sera za wajawazito ya serikali inasemaje? Kosa la mwananchi mlipa kodi ni nini wakati sera haisemi hivyo?
Mapungufu ya serikali kiongozi utoe kauli ya kipumbavu kama hii?

Tatizo la mkipata mnawaona wote wasionazi mataahira
 
Anaiga lugha za Magufuli. Magufuli ndio alikuwa na lugha za aina hii, mara kama choo hakijatengenezwa bakini na mavi yenu nyumbani, kama nauli ya ferry ni kubwa piga mbizi nk.

Ila kauli za magufuli zilikua zinachana mbavu hahahah jamaa alikuwa anajitopokea tu kilichopo kichwani mwake potelea mbali hahaha
 
Mama mjamzito aliambiwa na Hospital atoe 50,000 kununua vifaa vya kujifungulia baada ya kuambiwa havipo Hospital.

Chalamila akapigiwa simu na Mama huyo, Chalamila akamjibu huyo mama arudi nyumbani akajifungue kwa kisu kwa msaada wa mme wake au amuache mtoto wake afe.

Kama taifa hatuwezi kuwa na viongozi WAPUUZI kama huyu. Kama kiongozi unadharau wazazi kama hivi, wahuni wafanyaje?

Kwanza nimestushwa kuambiwa vifaa vya kujifungulia atoe 50,000!

Delivery Kit inakuwa na Gloves, Blades, cord clamps, pads, towel etc, hizi kit zilikuwaga ni mradi wa Ummy Mwalim na ndio sababu ya kutolewaga Wizara ya Afya na JPM na zilikuwa zinauzwa 18,000 na bado zilionekana ghali. Inakuaje leo delivery kit iwe elfu 50?

Pia soma: RC Chalamila asema hatukumuelewa kwenye video ya gloves. Atoa ufafanuzi mpya akigusia watu wanaochangia vigodoro badala ya hospitali

Na kwanini mgonjwa aambiwe akanunue gloves? Inakuaje Hospital inakosa vifaa muhimu kama gloves? Blades? Scissors? Pads? Gauze? Hosp gani inaweza kufanya kazi bila Gloves? Blades? Scissors na Pads?

Mkurugenzi wa Hospital, Mkuu wa Mkoa na watendaji wa Hospital wanapaswa kuwajibishwa. Sioni tofauti na wale watu wa Manyara waliomnyima mgonjwa Antivenom na kupelekea Mgonjwa kufa.

Mkuu wa Mkoa ameshindwa ku act kama kiongozi badala yake ame act kama muhuni na mvuta SHISHA! Shame!

Tozo na makodi yanaenda wapi?

Nilitegemea Mkuu wa Mkoa atafute root cause as to why hospitali haina vifaa muhimu kama gloves, mikasi, nyembe, clamps, gauze pads kwa mama kujifungulia, badala yake anamtukana mama aliyekwenye uchungu.

Utetezi wa Chalamila juu ya kauli yake ni VOID: RC na Mkurugenzi wa hospitali muwajibishwe HARAKA.

View attachment 3214939

Dr Megalodon Mushy, PhD Candidate
WHO Regional Office
Rue 52, Ottawa,
Canada
Chalamila yuko sahihi sana kwa blunt language aliyotumia, sijawahi kuona huduma za bure zikawa ni QUALITY SERVICE, bora watu wawe na insurace au wachangie (cost sharing), ili kuboresha huduma
 
Kwa sisi ambao tuna mlengo wa ki chalamila hatuoni tatizo.

Kuna walio anzisha Uzi kabisa kulala PRIVATE WARD hospital ya serikali ni 75,000 na ushee kwa siku moja na haupewi chochote hata maji ya kunywa Sana Sana ni kulalia godoro, kubadilishiwa shuka..

Ni WATANZANIA wangapi Wana afford kulipa hio 75,000 ili walale private ward.

Zipo hospital za private wanalipa Hadi 25,000 kupata huduma ya private ward why kwa hospital za serikali huduma ziwe ghali kuliko private?

Chalamila yupo sahihi hatupendi kuambiwa UKWEL na siku zotee UKWEL unaumaa
Mimi nadhan hujaelewa. You need to hear yourself first. Pia pitia mchakato wa hii mada, what was the issue

Otherwise tukueleweshe kwanza
 
Chalamila yuko sahihi sana kwa blunt language aliyotumia, sijawahi kuona huduma za bure zikawa ni QUALITY SERVICE, bora watu wawe na insurace au wachangie (cost sharing), ili kuboresha huduma
Shida hapa weng hamuelewi Health system ya Tanzania inafanya kazi vipi

Issue ya kuwa na Insuarance na ishu ya kukosekana vifaa basic vya kujifungulia ni ishu mbili tofauti

Mkianza kuingiza mambo ya bima ya Afya, mnatoka nje ya mada

Kama angekosa dawa…… mjadala ungeweza kuhusisha bima ya Afya.
 
Back
Top Bottom