Uteuzi wa Albert Chalamila upitiwe upya, ufafanuzi wake hauna mantiki

Uteuzi wa Albert Chalamila upitiwe upya, ufafanuzi wake hauna mantiki

Nilitoa mfano huduma za afya huku kwetu Tanzania haziwezi kua bureee kiasi hicho unacho taka.

Unajua kitengo Cha mifupa hapo tmk hospital ward za kawaida huwa zinajaa na kuwa flooded??

Kwakua wewe upo OTTAWA huwezi jua matatizo ya hospital zetu unabakia kutoa lawama za ovyo ovyo kabisaa.

Ushawai kua na MJAMZITO ukampeleka government hospital kujifungua??

Unajua kwa siku hapo temeke hospital inapokea wamama wajawazito wangapi kujifungua ?!

Chalamila yupo sahihi ni jukumu letu kujiandaa pia kuchangia huduma za afya maana hupaswi kuiachia serikali kila kituu na chalamila katumia maneno MAGUMU MAGUMU Kama ya MDUDE CHADEMA.
Huna cha kunifundisha kwenye gvt hospitals. Nimekuwa frontline for good 8 years.

Nakushauri Msikilize Huyo Mwehu, then soma my post…… kisha ndio uje kucomment
 
Huna cha kunifundisha kwenye gvt hospitals. Nimekuwa frontline for good 8 years.

Nakushauri Msikilize Huyo Mwehu, then soma my post…… kisha ndio uje kucomment
Wewe unaendeshwa na mihemko, una mtisha nani? Nipo kwenye gemu muda.

Chalamila Hana tatizo na hata mama Samia hawezi wasikiliza nyie mkiambiwa ukweli mchangie huduma mnasema mmetukanwa.

Binafsi naunga mkono hojaaa za chalamila,
Sawa,
kila lakheli PhD candidate OTTAWA☺️ jikite/ wekeza nguvu kwenye masomo yako acha kujiingiza kwenye siasa.
 
Sio kweli, akiwa Lindi kuna mama alimfuata akamwambia kuna shida ya maji, akamwambia kamuambie mumeo akojoe upate maji, maana wamechagua diwani qa upinzani.
Sawa, je, mara ngapi alionesha kuwajali wakina mama na kuwapa nafasi ya kueleza shida zao na kuwasaidia..?
 
Wewe unaendeshwa na mihemko, una mtisha nani? Nipo kwenye gemu muda.

Chalamila Hana tatizo na hata mama Samia hawezi wasikiliza nyie mkiambiwa ukweli mchangie huduma mnasema mmetukanwa.

Binafsi naunga mkono hojaaa za chalamila,
Sawa,
kila lakheli PhD candidate OTTAWA☺️ jikite/ wekeza nguvu kwenye masomo yako acha kujiingiza kwenye siasa.
I thought upo na kitu kichwani.kumbe hunq tofauti na chalamila.


Nimestushwa pia na kauli yako wekeza na masomo niachane na siasa. Vijana kama wewe ni Hasara kubwa.

Siasa ndio zinapanga Payee yako kama kweli wewe hata una ajira, siasa ndio zinapanga mshahqra wako. Siasa ndio zinapanga mafao yako ya uzeeni , ficha ujinga wako, babu tale ambae ni standard 4 failure ndio anaenda kukupangia mafao yako ya uzee,

jUmesoma chuo gani hapo Bongo? Huwezi kuwa product ya MUHAS au CUHAS…. Kama kweli wewe ni MD , basi utakuwa product ya Kampala University kile chuo cha hakuna kufeli, shame

Come to the point ! Ni kwanini Hosp inakosa a very basic equipment kama Gloves ? Blades Scissors , gauze!?
Ni Shida ?

Pia , kwanin aambiwe atoe 50,000?last price ya delivery kit was 12,000

Je majibu ya Chalamila kwa huyo mama kama kiongozi ni sahihi?

Nini chalamila alipaswa kufanya kama kiongozi?

Sitak kuingiza ishu za bima, that is another subject ! Yeye Chalamila alipaswa kufanya nini baada ya kupewa hizo info?

Kutukana kama alivyofanya?

Kuwasiliana na Mganga mfawidhi ?

Je Chalamia ametoa sababu kwanini gloves hakuna kituoni ?

Ni aibu sana kuwa na kijana kama wewe
 
Mama Mjamzito kanyanyaswa sana, tena na Kiongozi mkubwa anaye muwakilisha Raisi.
Huyu uteuzi wake ulifaa ukome tangia Jana hafai kukalia zile ofisi za wananchi..

Wameingia gharama ngapi kupeleka wasanii Dodoma , wanashindwa kumsaidia huyu mama Mjamzito.
 
I thought upo na kitu kichwani.kumbe hunq tofauti na chalamila.


Nimestushwa pia na kauli yako wekeza na masomo niachane na siasa. Vijana kama wewe ni Hasara kubwa.

Siasa ndio zinapanga Payee yako kama kweli wewe hata una ajira, siasa ndio zinapanga mshahqra wako. Siasa ndio zinapanga mafao yako ya uzeeni , ficha ujinga wako, babu tale ambae ni standard 4 failure ndio anaenda kukupangia mafao yako ya uzee,

jUmesoma chuo gani hapo Bongo? Huwezi kuwa product ya MUHAS au CUHAS…. Kama kweli wewe ni MD , basi utakuwa product ya Kampala University kile chuo cha hakuna kufeli, shame

Come to the point ! Ni kwanini Hosp inakosa a very basic equipment kama Gloves ? Blades Scissors , gauze!?
Ni Shida ?

Pia , kwanin aambiwe atoe 50,000?last price ya delivery kit was 12,000

Je majibu ya Chalamila kwa huyo mama kama kiongozi ni sahihi?

Nini chalamila alipaswa kufanya kama kiongozi?

Sitak kuingiza ishu za bima, that is another subject ! Yeye Chalamila alipaswa kufanya nini baada ya kupewa hizo info?

Kutukana kama alivyofanya?

Kuwasiliana na Mganga mfawidhi ?

Je Chalamia ametoa sababu kwanini gloves hakuna kituoni ?

Ni aibu sana kuwa na kijana kama wewe
Una uwezo mdogo Sana wa KUJENGA hoja.
Wewe ni mzushi na mtu hovyo wa ajabu ajabu/ hata huko Ottawa UMEENDA kupoteza muda / kushangaa magorofa Rubbish 🗑️.
Mtu mwenye exposure hawezi kua na akili / mentality za kimhemko Kama unazo zionyesha hapa jukwaani several times.
Mtu alie soma akaelimika huwezi mkuta ana piga porojo na taarabu ovyo ovyo Kama Malaya wa kwa mtogole.
Na hiyo Ottawa itakua ni ya kwa bibi nyau ama Ottawa ya kwa mpalange.

Sitojibishana na wewe again tupo ligi mbili tofauti mwingine NBC PRIMIER LIGUE.

In short hii mentality yako itakuchelewesha Sana Sana/ you're too Naive.

Wasalaam.
 
Mama mjamzito aliambiwa na Hospital atoe 50,000 kununua vifaa vya kujifungulia baada ya kuambiwa havipo Hospital.

Chalamila akapigiwa simu na Mama huyo, Chalamila akamjibu huyo mama arudi nyumbani akajifungue kwa kisu kwa msaada wa mme wake au amuache mtoto wake afe.

Kama taifa hatuwezi kuwa na viongozi WAPUUZI kama huyu. Kama kiongozi unadharau wazazi kama hivi, wahuni wafanyaje?

Kwanza nimestushwa kuambiwa vifaa vya kujifungulia atoe 50,000!

Delivery Kit inakuwa na Gloves, Blades, cord clamps, pads, towel etc, hizi kit zilikuwaga ni mradi wa Ummy Mwalim na ndio sababu ya kutolewaga Wizara ya Afya na JPM na zilikuwa zinauzwa 18,000 na bado zilionekana ghali. Inakuaje leo delivery kit iwe elfu 50?

Pia soma: RC Chalamila asema hatukumuelewa kwenye video ya gloves. Atoa ufafanuzi mpya akigusia watu wanaochangia vigodoro badala ya hospitali

Na kwanini mgonjwa aambiwe akanunue gloves? Inakuaje Hospital inakosa vifaa muhimu kama gloves? Blades? Scissors? Pads? Gauze? Hosp gani inaweza kufanya kazi bila Gloves? Blades? Scissors na Pads?

Mkurugenzi wa Hospital, Mkuu wa Mkoa na watendaji wa Hospital wanapaswa kuwajibishwa. Sioni tofauti na wale watu wa Manyara waliomnyima mgonjwa Antivenom na kupelekea Mgonjwa kufa.

Mkuu wa Mkoa ameshindwa ku act kama kiongozi badala yake ame act kama muhuni na mvuta SHISHA! Shame!

Tozo na makodi yanaenda wapi?

Nilitegemea Mkuu wa Mkoa atafute root cause as to why hospitali haina vifaa muhimu kama gloves, mikasi, nyembe, clamps, gauze pads kwa mama kujifungulia, badala yake anamtukana mama aliyekwenye uchungu.

Utetezi wa Chalamila juu ya kauli yake ni VOID: RC na Mkurugenzi wa hospitali muwajibishwe HARAKA.

View attachment 3214939

Dr Megalodon Mushy, PhD Candidate
WHO Regional Office
Rue 52, Ottawa,
Canada
Ni utetezi kama wa Ndugai na Nape tu.
 
Una uwezo mdogo Sana wa KUJENGA hoja.
Wewe ni mzushi na mtu hovyo wa ajabu ajabu/ hata huko Ottawa UMEENDA kupoteza muda / kushangaa magorofa Rubbish 🗑️.
Mtu mwenye exposure hawezi kua na akili / mentality za kimhemko Kama unazo zionyesha hapa jukwaani several times.
Mtu alie soma akaelimika huwezi mkuta ana piga porojo na taarabu ovyo ovyo Kama Malaya wa kwa mtogole.
Na hiyo Ottawa itakua ni ya kwa bibi nyau ama Ottawa ya kwa mpalange.

Sitojibishana na wewe again tupo ligi mbili tofauti mwingine NBC PRIMIER LIGUE.

In short hii mentality yako itakuchelewesha Sana Sana/ you're too Naive.

Wasalaam.

Una uwezo mdogo Sana wa KUJENGA hoja.
Wewe ni mzushi na mtu hovyo wa ajabu ajabu/ hata huko Ottawa UMEENDA kupoteza muda / kushangaa magorofa Rubbish 🗑️.
Mtu mwenye exposure hawezi kua na akili / mentality za kimhemko Kama unazo zionyesha hapa jukwaani several times.
Mtu alie soma akaelimika huwezi mkuta ana piga porojo na taarabu ovyo ovyo Kama Malaya wa kwa mtogole.
Na hiyo Ottawa itakua ni ya kwa bibi nyau ama Ottawa ya kwa mpalange.

Sitojibishana na wewe again tupo ligi mbili tofauti mwingine NBC PRIMIER LIGUE.

In short hii mentality yako itakuchelewesha Sana Sana/ you're too Naive.

Wasalaam.

Haya Nenda Ukalale…… next time usiingie kwenye hoja kama huna elimu na hilo jambo. Otherwise nenda facebook na instagram ukabishane na mfano wako.

Hapa ni facts na data…….usidokoe dokoe kama kuku wa Kienyeji while you are not well informed.

Pole
 
Mama Mjamzito kanyanyaswa sana, tena na Kiongozi mkubwa anaye muwakilisha Raisi.
Huyu uteuzi wake ulifaa ukome tangia Jana hafai kukalia zile ofisi za wananchi..

Wameingia gharama ngapi kupeleka wasanii Dodoma , wanashindwa kumsaidia huyu mama Mjamzito.
Kama kiongozi katika hali ya kawaida huwezi kumjibu mtu hivyo. Ni kukosa busara na hekima

Pili kama kiongozi alipaswa kutafuta mzizi wa tatizo , kwanini hakuna gloves and all that !!

Baada ya kupata majibu aangalie kama kuna knowledge gap kwa mgonjwa basi eleweshwe utaratibu sahihi. Hizo ndio sifa za kiongozi , sio huyu muhuni anatukana watu huku anasema naongeo kwa lugha nyepesi.
 
Sawa, je, mara ngapi alionesha kuwajali wakina mama na kuwapa nafasi ya kueleza shida zao na kuwasaidia..?
Akina mama gani boss, hao aliokuwa anawasaidia kusaka kiki?
 
Anaiga lugha za Magufuli. Magufuli ndio alikuwa na lugha za aina hii, mara kama choo hakijatengenezwa bakini na mavi yenu nyumbani, kama nauli ya ferry ni kubwa piga mbizi nk.
Umekosoa, umefurahisha baraza au ndio unapunguza hasira kwa huyo marehemu?
 
Mama mjamzito aliambiwa na Hospital atoe 50,000 kununua vifaa vya kujifungulia baada ya kuambiwa havipo Hospital.

Chalamila akapigiwa simu na Mama huyo, Chalamila akamjibu huyo mama arudi nyumbani akajifungue kwa kisu kwa msaada wa mme wake au amuache mtoto wake afe.

Kama taifa hatuwezi kuwa na viongozi WAPUUZI kama huyu. Kama kiongozi unadharau wazazi kama hivi, wahuni wafanyaje?

Kwanza nimestushwa kuambiwa vifaa vya kujifungulia atoe 50,000!

Delivery Kit inakuwa na Gloves, Blades, cord clamps, pads, towel etc, hizi kit zilikuwaga ni mradi wa Ummy Mwalim na ndio sababu ya kutolewaga Wizara ya Afya na JPM na zilikuwa zinauzwa 18,000 na bado zilionekana ghali. Inakuaje leo delivery kit iwe elfu 50?

Pia soma: RC Chalamila asema hatukumuelewa kwenye video ya gloves. Atoa ufafanuzi mpya akigusia watu wanaochangia vigodoro badala ya hospitali

Na kwanini mgonjwa aambiwe akanunue gloves? Inakuaje Hospital inakosa vifaa muhimu kama gloves? Blades? Scissors? Pads? Gauze? Hosp gani inaweza kufanya kazi bila Gloves? Blades? Scissors na Pads?

Mkurugenzi wa Hospital, Mkuu wa Mkoa na watendaji wa Hospital wanapaswa kuwajibishwa. Sioni tofauti na wale watu wa Manyara waliomnyima mgonjwa Antivenom na kupelekea Mgonjwa kufa.

Mkuu wa Mkoa ameshindwa ku act kama kiongozi badala yake ame act kama muhuni na mvuta SHISHA! Shame!

Tozo na makodi yanaenda wapi?

Nilitegemea Mkuu wa Mkoa atafute root cause as to why hospitali haina vifaa muhimu kama gloves, mikasi, nyembe, clamps, gauze pads kwa mama kujifungulia, badala yake anamtukana mama aliyekwenye uchungu.

Utetezi wa Chalamila juu ya kauli yake ni VOID: RC na Mkurugenzi wa hospitali muwajibishwe HARAKA.

View attachment 3214939

Dr Megalodon Mushy, PhD Candidate
WHO Regional Office
Rue 52, Ottawa,
Canada
AJIUZULU
 
CCM ilipo fikia haijali tena wananchi kwa sababu wanajua kabisa nyuma yao lipo jeshi la polisi
Nyuma yao wapo "polisi" na sio "jeshi la polisi". Hakuna kitu kinaitwa "jeshi la polisi". Jeshi ni moja tu, JWTZ.
 
Mama mjamzito aliambiwa na Hospital atoe 50,000 kununua vifaa vya kujifungulia baada ya kuambiwa havipo Hospital.

Chalamila akapigiwa simu na Mama huyo, Chalamila akamjibu huyo mama arudi nyumbani akajifungue kwa kisu kwa msaada wa mme wake au amuache mtoto wake afe.

Kama taifa hatuwezi kuwa na viongozi WAPUUZI kama huyu. Kama kiongozi unadharau wazazi kama hivi, wahuni wafanyaje?

Kwanza nimestushwa kuambiwa vifaa vya kujifungulia atoe 50,000!

Delivery Kit inakuwa na Gloves, Blades, cord clamps, pads, towel etc, hizi kit zilikuwaga ni mradi wa Ummy Mwalim na ndio sababu ya kutolewaga Wizara ya Afya na JPM na zilikuwa zinauzwa 18,000 na bado zilionekana ghali. Inakuaje leo delivery kit iwe elfu 50?

Pia soma: RC Chalamila asema hatukumuelewa kwenye video ya gloves. Atoa ufafanuzi mpya akigusia watu wanaochangia vigodoro badala ya hospitali

Na kwanini mgonjwa aambiwe akanunue gloves? Inakuaje Hospital inakosa vifaa muhimu kama gloves? Blades? Scissors? Pads? Gauze? Hosp gani inaweza kufanya kazi bila Gloves? Blades? Scissors na Pads?

Mkurugenzi wa Hospital, Mkuu wa Mkoa na watendaji wa Hospital wanapaswa kuwajibishwa. Sioni tofauti na wale watu wa Manyara waliomnyima mgonjwa Antivenom na kupelekea Mgonjwa kufa.

Mkuu wa Mkoa ameshindwa ku act kama kiongozi badala yake ame act kama muhuni na mvuta SHISHA! Shame!

Tozo na makodi yanaenda wapi?

Nilitegemea Mkuu wa Mkoa atafute root cause as to why hospitali haina vifaa muhimu kama gloves, mikasi, nyembe, clamps, gauze pads kwa mama kujifungulia, badala yake anamtukana mama aliyekwenye uchungu.

Utetezi wa Chalamila juu ya kauli yake ni VOID: RC na Mkurugenzi wa hospitali muwajibishwe HARAKA.

View attachment 3214939

Dr Megalodon Mushy, PhD Candidate
WHO Regional Office
Rue 52, Ottawa,
Canada
Kama mtu kama huyu yupo ofisini tunashida sana kama taifa.
 
Is this ass-hole dude normal? Yaani mpaka siamini ninachokisikia.
It so sad kwa mtu mwehu kama huyu kuwa kiongozi, na kabisa watu wamekaa wanamsikiliza and to make it worse wanaomsikiliza ni doctors and nurses yaani professionals wenye dhamana ya kutibu watu.
Ccm wanajali nini kwani!? Wahuni kama Bashite, Chalamila na Sabaya eti ndio viongozi!?
 
Huyu jamaa nahisi kuna nyaya mbili zisizopaswa kugusana kichwani ila za kwake zimegusana zinapigisha kichwa shoti
 
Back
Top Bottom