Uteuzi wa Albert Chalamila upitiwe upya, ufafanuzi wake hauna mantiki

Uteuzi wa Albert Chalamila upitiwe upya, ufafanuzi wake hauna mantiki

Shida hapa weng hamuelewi Health system ya Tanzania inafanya kazi vipi

Issue ya kuwa na Insuarance na ishu ya kukosekana vifaa basic vya kujifungulia ni ishu mbili tofauti

Mkianza kuingiza mambo ya bima ya Afya, mnatoka nje ya mada

Kama angekosa dawa…… mjadala ungeweza kuhusisha bima ya Afya.
mi nimewaza kwenye mzizi wa tatizo (inadequate health funding), solution ni insurance coverage
 
Anaiga lugha za Magufuli. Magufuli ndio alikuwa na lugha za aina hii, mara kama choo hakijatengenezwa bakini na mavi yenu nyumbani, kama nauli ya ferry ni kubwa piga mbizi nk.
Magufuli alikuwa anacha kuchana live but alikuwa akejeli au kudharau live. Chalamila is completely different hajui wapi na when na audience gani aongee na hivyo
 
mi nimewaza kwenye mzizi wa tatizo (inadequate health funding), solution ni insurance coverage
Umejuaje kuwa ni inadequate funding? Je kukosekana kwa gloves , blade, Scissors , gauze for delivery is merely due to inadequate funding?

Do you know anything about vertical programs ?

Unatambua kwamba unaweza kuwa na bima ya Afya na ukaenda Hosp na ukakosa huduma ?

Narudia tena wengi hamjui health system ya Tanzania inafanyaje kazi. Nimefanya kazi kwenye health system ya Tanzania for 8 years tena kwenye gvt hospitals’

Hosp inaweza kuwa na fund and yet isiwe na vifaa tiba : that is why nimeuliza how did you know shida ni fund ?
 
Mimi nadhan hujaelewa. You need to hear yourself first. Pia pitia mchakato wa hii mada, what was the issue

Otherwise tukueleweshe kwanza
Nilitoa mfano huduma za afya huku kwetu Tanzania haziwezi kua bureee kiasi hicho unacho taka.

Unajua kitengo Cha mifupa hapo tmk hospital ward za kawaida huwa zinajaa na kuwa flooded??

Kwakua wewe upo OTTAWA huwezi jua matatizo ya hospital zetu unabakia kutoa lawama za ovyo ovyo kabisaa.

Ushawai kua na MJAMZITO ukampeleka government hospital kujifungua??

Unajua kwa siku hapo temeke hospital inapokea wamama wajawazito wangapi kujifungua ?!

Chalamila yupo sahihi ni jukumu letu kujiandaa pia kuchangia huduma za afya maana hupaswi kuiachia serikali kila kituu na chalamila katumia maneno MAGUMU MAGUMU Kama ya MDUDE CHADEMA.
 
Mama mjamzito aliambiwa na Hospital atoe 50,000 kununua vifaa vya kujifungulia baada ya kuambiwa havipo Hospital.

Chalamila akapigiwa simu na Mama huyo, Chalamila akamjibu huyo mama arudi nyumbani akajifungue kwa kisu kwa msaada wa mme wake au amuache mtoto wake afe.

Kama taifa hatuwezi kuwa na viongozi WAPUUZI kama huyu. Kama kiongozi unadharau wazazi kama hivi, wahuni wafanyaje?

Kwanza nimestushwa kuambiwa vifaa vya kujifungulia atoe 50,000!

Delivery Kit inakuwa na Gloves, Blades, cord clamps, pads, towel etc, hizi kit zilikuwaga ni mradi wa Ummy Mwalim na ndio sababu ya kutolewaga Wizara ya Afya na JPM na zilikuwa zinauzwa 18,000 na bado zilionekana ghali. Inakuaje leo delivery kit iwe elfu 50?

Pia soma: RC Chalamila asema hatukumuelewa kwenye video ya gloves. Atoa ufafanuzi mpya akigusia watu wanaochangia vigodoro badala ya hospitali

Na kwanini mgonjwa aambiwe akanunue gloves? Inakuaje Hospital inakosa vifaa muhimu kama gloves? Blades? Scissors? Pads? Gauze? Hosp gani inaweza kufanya kazi bila Gloves? Blades? Scissors na Pads?

Mkurugenzi wa Hospital, Mkuu wa Mkoa na watendaji wa Hospital wanapaswa kuwajibishwa. Sioni tofauti na wale watu wa Manyara waliomnyima mgonjwa Antivenom na kupelekea Mgonjwa kufa.

Mkuu wa Mkoa ameshindwa ku act kama kiongozi badala yake ame act kama muhuni na mvuta SHISHA! Shame!

Tozo na makodi yanaenda wapi?

Nilitegemea Mkuu wa Mkoa atafute root cause as to why hospitali haina vifaa muhimu kama gloves, mikasi, nyembe, clamps, gauze pads kwa mama kujifungulia, badala yake anamtukana mama aliyekwenye uchungu.

Utetezi wa Chalamila juu ya kauli yake ni VOID: RC na Mkurugenzi wa hospitali muwajibishwe HARAKA.

View attachment 3214939

Dr Megalodon Mushy, PhD Candidate
WHO Regional Office
Rue 52, Ottawa,
Canada
Rais Samia alimteua Chalamila huku akijua tabia yake. Nakumbuka hata alipomteua kuwa RC wa Mwanza alielezea kuhusu mdomo wake...

Cha ajabu ni kwamba hata mteuzi mwenyewe ana mdomo mbaya sana. Kauli kama Kifo ni Kifo tu dhidi ya mauaji ya mzee Kibao, kauli ya Bi Chura Kiziwi, Kauli ya kusema utekaji ni drama..... hazina tofauti na huyo mpumbavu ambaye kila akiongea anareveal kiu yake ya kuua au watu wafe
 
Hahahahaha huyu jamaa hewa kweli, eti dawa za raisi Samia??? Wakati Kodi zetu ndio zinanunua madawa na vifaa, huu UCHAWA MBAYA SANA..
Alichomaanisha ni kwamba Dawa za msaada wa Marekani ni za Sa100 mumewe na ukoo wake, kwa hio wanazitoa nyumbani kwao na kuwapatia nyinyi wananchi mafukara mnaougua mimba zenu huko masikini msitibiwe vizuri ili mfe zile hospital za gharama sio kwa ajili yenu nyinyi msio na pesa yoyote ya kulipa ndio maana yake muelewe vizuri huna hela ya matibabu baki nyumbani kata mizizi

Kuna Rais mmoja wa Nchi fulani alishawahi kua Waziri wa Afya na Mambo ya Kienyeji zingatia Mambo ya Kienyeji
 
Is this ass-hole dude normal? Yaani mpaka siamini ninachokisikia.
It so sad kwa mtu mwehu kama huyu kuwa kiongozi, na kabisa watu wamekaa wanamsikiliza and to make it worse wanaomsikiliza ni doctors and nurses yaani professionals wenye dhamana ya kutibu watu.
😄
Hahaha

Ova
 
Huyu Chalamila ni mvuta bangi na hili siyo siri nafikiri hata mamlaka ya uteuzi inafahamu sasa sijui ni uchawi au kitu gani kinamlinda.
 
Umejuaje kuwa ni inadequate funding? Je kukosekana kwa gloves , blade, Scissors , gauze for delivery is merely due to inadequate funding?

Do you know anything about vertical programs ?

Unatambua kwamba unaweza kuwa na bima ya Afya na ukaenda Hosp na ukakosa huduma ?

Narudia tena wengi hamjui health system ya Tanzania inafanyaje kazi. Nimefanya kazi kwenye health system ya Tanzania for 8 years tena kwenye gvt hospitals’

Hosp inaweza kuwa na fund and yet isiwe na vifaa tiba : that is why nimeuliza how did you know shida ni fund ?
niaifahamu hiyo industry, health budget 40% ni donor funded, hatuna uwezo huo wa kutoa huduma bure 100% (TB and Leprosy, HIV AIDS, Maternal care, Malaria, Chidren <5 yrs, Wazee >60 etc ni donor funded)
 
Magufuli alikuwa anacha kuchana live but alikuwa akejeli au kudharau live. Chalamila is completely different hajui wapi na when na audience gani aongee na hivyo
Narudia tena hii tabia kaiga kwa Magufuli, hakuna cha kuchana live wala nini.
 
Mama mjamzito aliambiwa na Hospital atoe 50,000 kununua vifaa vya kujifungulia baada ya kuambiwa havipo Hospital.

Chalamila akapigiwa simu na Mama huyo, Chalamila akamjibu huyo mama arudi nyumbani akajifungue kwa kisu kwa msaada wa mme wake au amuache mtoto wake afe.

Kama taifa hatuwezi kuwa na viongozi WAPUUZI kama huyu. Kama kiongozi unadharau wazazi kama hivi, wahuni wafanyaje?

Kwanza nimestushwa kuambiwa vifaa vya kujifungulia atoe 50,000!

Delivery Kit inakuwa na Gloves, Blades, cord clamps, pads, towel etc, hizi kit zilikuwaga ni mradi wa Ummy Mwalim na ndio sababu ya kutolewaga Wizara ya Afya na JPM na zilikuwa zinauzwa 18,000 na bado zilionekana ghali. Inakuaje leo delivery kit iwe elfu 50?

Pia soma: RC Chalamila asema hatukumuelewa kwenye video ya gloves. Atoa ufafanuzi mpya akigusia watu wanaochangia vigodoro badala ya hospitali

Na kwanini mgonjwa aambiwe akanunue gloves? Inakuaje Hospital inakosa vifaa muhimu kama gloves? Blades? Scissors? Pads? Gauze? Hosp gani inaweza kufanya kazi bila Gloves? Blades? Scissors na Pads?

Mkurugenzi wa Hospital, Mkuu wa Mkoa na watendaji wa Hospital wanapaswa kuwajibishwa. Sioni tofauti na wale watu wa Manyara waliomnyima mgonjwa Antivenom na kupelekea Mgonjwa kufa.

Mkuu wa Mkoa ameshindwa ku act kama kiongozi badala yake ame act kama muhuni na mvuta SHISHA! Shame!

Tozo na makodi yanaenda wapi?

Nilitegemea Mkuu wa Mkoa atafute root cause as to why hospitali haina vifaa muhimu kama gloves, mikasi, nyembe, clamps, gauze pads kwa mama kujifungulia, badala yake anamtukana mama aliyekwenye uchungu.

Utetezi wa Chalamila juu ya kauli yake ni VOID: RC na Mkurugenzi wa hospitali muwajibishwe HARAKA.

View attachment 3214939

Dr Megalodon Mushy, PhD Candidate
WHO Regional Office
Rue 52, Ottawa,
Canada
Binafsi baada ya kukisoma kiumbe cheusi…siulizagi tena.
 
niaifahamu hiyo industry, health budget 40% ni donor funded, hatuna uwezo huo wa kutoa huduma bure 100% (TB and Leprosy, HIV AIDS, Maternal care, Malaria, Chidren <5 yrs, Wazee >60 etc ni donor funded)
Tumeshatoka kwenye 40%….. do you have updated feed ? Kama huna……katafute

Pia umeelewa Msingi wa mada ni Nini ?

Unapozungumzia inadequate fund ndio mana hakuna gloves, unahakika kama shida ilikuwa ni fund?

Sources za kukosa med eq ni fund pekee yake ? This very general comment kwenye ulimwengu wa Research ….

. kuna confonders nyingi sana apart from fund zinazoweza kupelekea kukosekana kwa equipment moja wapo ni uzembe , do you know that ?

Then , How did you conclude kuwa ni fund ?

Kama unao uhakika kuwa hakuna gloves kwasababu Hosp haina fund…… please provide your source ili tu close hii case
 
LIPO tatizo kubwa. Kikawaida hizo gloves na hivo vifaa tiba vinatoka Bohari kuu ya Dawa. Na tunaona kwenye Mitandao Bohari kuu ya Dawa kwa sasa inazalisha na gloves huko Iringa. Mbali na hapo Sitegemei gloves itakosekana Bohari kuu ya Dawa . Na kama hakuna…. Kariakoo kwa wakinga zipo nyingi.

Chalamila alipaswa kupiga simu kwa mkurugenzi wa Hosp , je ni kweli hakuna gloves , nyuzi , mikasi, Blades na pads kwa kujifungulia….. those are very basic medical equipment in Hosp ,

Kisha Mkurugenzi aulizwe shida nini ? Kwanini hakuna

Je havipo
Bohari ya Dawa, hamjapeleka oda ?

Yeye qmekurupuka bila ya kujua huenda tatizo ni kubwa zaidi
For as long as CCM ipo Madarakani, wananchi mtaendelea kudhalilika

Hayo majitu ni majizi
Kiongoz asie na ethics ni MZIGO
100%✔️
 
Anaiga lugha za Magufuli. Magufuli ndio alikuwa na lugha za aina hii, mara kama choo hakijatengenezwa bakini na mavi yenu nyumbani, kama nauli ya ferry ni kubwa piga mbizi nk.
Magufuli kweli alikuwa na lugha ngumu sometimes, lakini si kwa wakina mama wenye nahitaji kama hawa.
 
mi nimewaza kwenye mzizi wa tatizo (inadequate health funding), solution ni insurance coverage
1-Ya kukodi bajaji arudi nyumbani mmewe akampasue kwa mkasi.
2-Wanang'ang'ania maiti kwani wanataka kuila.
 
Mama mjamzito aliambiwa na Hospital atoe 50,000 kununua vifaa vya kujifungulia baada ya kuambiwa havipo Hospital.

Chalamila akapigiwa simu na Mama huyo, Chalamila akamjibu huyo mama arudi nyumbani akajifungue kwa kisu kwa msaada wa mme wake au amuache mtoto wake afe.

Kama taifa hatuwezi kuwa na viongozi WAPUUZI kama huyu. Kama kiongozi unadharau wazazi kama hivi, wahuni wafanyaje?

Kwanza nimestushwa kuambiwa vifaa vya kujifungulia atoe 50,000!

Delivery Kit inakuwa na Gloves, Blades, cord clamps, pads, towel etc, hizi kit zilikuwaga ni mradi wa Ummy Mwalim na ndio sababu ya kutolewaga Wizara ya Afya na JPM na zilikuwa zinauzwa 18,000 na bado zilionekana ghali. Inakuaje leo delivery kit iwe elfu 50?

Pia soma: RC Chalamila asema hatukumuelewa kwenye video ya gloves. Atoa ufafanuzi mpya akigusia watu wanaochangia vigodoro badala ya hospitali

Na kwanini mgonjwa aambiwe akanunue gloves? Inakuaje Hospital inakosa vifaa muhimu kama gloves? Blades? Scissors? Pads? Gauze? Hosp gani inaweza kufanya kazi bila Gloves? Blades? Scissors na Pads?

Mkurugenzi wa Hospital, Mkuu wa Mkoa na watendaji wa Hospital wanapaswa kuwajibishwa. Sioni tofauti na wale watu wa Manyara waliomnyima mgonjwa Antivenom na kupelekea Mgonjwa kufa.

Mkuu wa Mkoa ameshindwa ku act kama kiongozi badala yake ame act kama muhuni na mvuta SHISHA! Shame!

Tozo na makodi yanaenda wapi?

Nilitegemea Mkuu wa Mkoa atafute root cause as to why hospitali haina vifaa muhimu kama gloves, mikasi, nyembe, clamps, gauze pads kwa mama kujifungulia, badala yake anamtukana mama aliyekwenye uchungu.

Utetezi wa Chalamila juu ya kauli yake ni VOID: RC na Mkurugenzi wa hospitali muwajibishwe HARAKA.

View attachment 3214939

Dr Megalodon Mushy, PhD Candidate
WHO Regional Office
Rue 52, Ottawa,
Canada
RC anakataza siasa wakati yeye anafanya siasa. Hivi kama angetoa hiyo elfu hamsini kwa mtu mwenye uhitaji angepungukiwa na nini? Haya maneno makali anayoyatoa yatamgharimu mustakbal wake. Hekima ni kitu muhimu sana.
 
Magufuli kweli alikuwa na lugha ngumu sometimes, lakini si kwa wakina mama wenye nahitaji kama hawa.
Sio kweli, akiwa Lindi kuna mama alimfuata akamwambia kuna shida ya maji, akamwambia kamuambie mumeo akojoe upate maji, maana wamechagua diwani qa upinzani.
 
Back
Top Bottom