mi nimewaza kwenye mzizi wa tatizo (inadequate health funding), solution ni insurance coverageShida hapa weng hamuelewi Health system ya Tanzania inafanya kazi vipi
Issue ya kuwa na Insuarance na ishu ya kukosekana vifaa basic vya kujifungulia ni ishu mbili tofauti
Mkianza kuingiza mambo ya bima ya Afya, mnatoka nje ya mada
Kama angekosa dawa…… mjadala ungeweza kuhusisha bima ya Afya.
We Kaa chini usubiri chai Kwa shemejio.Dah tumebaki kusubiri matukio na matamko ndio tupate cha kuongea
Magufuli alikuwa anacha kuchana live but alikuwa akejeli au kudharau live. Chalamila is completely different hajui wapi na when na audience gani aongee na hivyoAnaiga lugha za Magufuli. Magufuli ndio alikuwa na lugha za aina hii, mara kama choo hakijatengenezwa bakini na mavi yenu nyumbani, kama nauli ya ferry ni kubwa piga mbizi nk.
Umejuaje kuwa ni inadequate funding? Je kukosekana kwa gloves , blade, Scissors , gauze for delivery is merely due to inadequate funding?mi nimewaza kwenye mzizi wa tatizo (inadequate health funding), solution ni insurance coverage
Nilitoa mfano huduma za afya huku kwetu Tanzania haziwezi kua bureee kiasi hicho unacho taka.Mimi nadhan hujaelewa. You need to hear yourself first. Pia pitia mchakato wa hii mada, what was the issue
Otherwise tukueleweshe kwanza
Rais Samia alimteua Chalamila huku akijua tabia yake. Nakumbuka hata alipomteua kuwa RC wa Mwanza alielezea kuhusu mdomo wake...Mama mjamzito aliambiwa na Hospital atoe 50,000 kununua vifaa vya kujifungulia baada ya kuambiwa havipo Hospital.
Chalamila akapigiwa simu na Mama huyo, Chalamila akamjibu huyo mama arudi nyumbani akajifungue kwa kisu kwa msaada wa mme wake au amuache mtoto wake afe.
Kama taifa hatuwezi kuwa na viongozi WAPUUZI kama huyu. Kama kiongozi unadharau wazazi kama hivi, wahuni wafanyaje?
Kwanza nimestushwa kuambiwa vifaa vya kujifungulia atoe 50,000!
Delivery Kit inakuwa na Gloves, Blades, cord clamps, pads, towel etc, hizi kit zilikuwaga ni mradi wa Ummy Mwalim na ndio sababu ya kutolewaga Wizara ya Afya na JPM na zilikuwa zinauzwa 18,000 na bado zilionekana ghali. Inakuaje leo delivery kit iwe elfu 50?
Pia soma: RC Chalamila asema hatukumuelewa kwenye video ya gloves. Atoa ufafanuzi mpya akigusia watu wanaochangia vigodoro badala ya hospitali
Na kwanini mgonjwa aambiwe akanunue gloves? Inakuaje Hospital inakosa vifaa muhimu kama gloves? Blades? Scissors? Pads? Gauze? Hosp gani inaweza kufanya kazi bila Gloves? Blades? Scissors na Pads?
Mkurugenzi wa Hospital, Mkuu wa Mkoa na watendaji wa Hospital wanapaswa kuwajibishwa. Sioni tofauti na wale watu wa Manyara waliomnyima mgonjwa Antivenom na kupelekea Mgonjwa kufa.
Mkuu wa Mkoa ameshindwa ku act kama kiongozi badala yake ame act kama muhuni na mvuta SHISHA! Shame!
Tozo na makodi yanaenda wapi?
Nilitegemea Mkuu wa Mkoa atafute root cause as to why hospitali haina vifaa muhimu kama gloves, mikasi, nyembe, clamps, gauze pads kwa mama kujifungulia, badala yake anamtukana mama aliyekwenye uchungu.
Utetezi wa Chalamila juu ya kauli yake ni VOID: RC na Mkurugenzi wa hospitali muwajibishwe HARAKA.
View attachment 3214939
Dr Megalodon Mushy, PhD Candidate
WHO Regional Office
Rue 52, Ottawa,
Canada
Alichomaanisha ni kwamba Dawa za msaada wa Marekani ni za Sa100 mumewe na ukoo wake, kwa hio wanazitoa nyumbani kwao na kuwapatia nyinyi wananchi mafukara mnaougua mimba zenu huko masikini msitibiwe vizuri ili mfe zile hospital za gharama sio kwa ajili yenu nyinyi msio na pesa yoyote ya kulipa ndio maana yake muelewe vizuri huna hela ya matibabu baki nyumbani kata miziziHahahahaha huyu jamaa hewa kweli, eti dawa za raisi Samia??? Wakati Kodi zetu ndio zinanunua madawa na vifaa, huu UCHAWA MBAYA SANA..
Aisee! Umempa za uso! Huyu ni hovyo!Mkuu Fanya utafiti utagundua kuwa watu wenye bichwa kama huyo mkuu wa mkoa hamnazo,isingekuwa ukuu wa mkoa angekuwa anaokota makopo huyo mpuuzi
😄Is this ass-hole dude normal? Yaani mpaka siamini ninachokisikia.
It so sad kwa mtu mwehu kama huyu kuwa kiongozi, na kabisa watu wamekaa wanamsikiliza and to make it worse wanaomsikiliza ni doctors and nurses yaani professionals wenye dhamana ya kutibu watu.
niaifahamu hiyo industry, health budget 40% ni donor funded, hatuna uwezo huo wa kutoa huduma bure 100% (TB and Leprosy, HIV AIDS, Maternal care, Malaria, Chidren <5 yrs, Wazee >60 etc ni donor funded)Umejuaje kuwa ni inadequate funding? Je kukosekana kwa gloves , blade, Scissors , gauze for delivery is merely due to inadequate funding?
Do you know anything about vertical programs ?
Unatambua kwamba unaweza kuwa na bima ya Afya na ukaenda Hosp na ukakosa huduma ?
Narudia tena wengi hamjui health system ya Tanzania inafanyaje kazi. Nimefanya kazi kwenye health system ya Tanzania for 8 years tena kwenye gvt hospitals’
Hosp inaweza kuwa na fund and yet isiwe na vifaa tiba : that is why nimeuliza how did you know shida ni fund ?
Narudia tena hii tabia kaiga kwa Magufuli, hakuna cha kuchana live wala nini.Magufuli alikuwa anacha kuchana live but alikuwa akejeli au kudharau live. Chalamila is completely different hajui wapi na when na audience gani aongee na hivyo
Binafsi baada ya kukisoma kiumbe cheusi…siulizagi tena.Mama mjamzito aliambiwa na Hospital atoe 50,000 kununua vifaa vya kujifungulia baada ya kuambiwa havipo Hospital.
Chalamila akapigiwa simu na Mama huyo, Chalamila akamjibu huyo mama arudi nyumbani akajifungue kwa kisu kwa msaada wa mme wake au amuache mtoto wake afe.
Kama taifa hatuwezi kuwa na viongozi WAPUUZI kama huyu. Kama kiongozi unadharau wazazi kama hivi, wahuni wafanyaje?
Kwanza nimestushwa kuambiwa vifaa vya kujifungulia atoe 50,000!
Delivery Kit inakuwa na Gloves, Blades, cord clamps, pads, towel etc, hizi kit zilikuwaga ni mradi wa Ummy Mwalim na ndio sababu ya kutolewaga Wizara ya Afya na JPM na zilikuwa zinauzwa 18,000 na bado zilionekana ghali. Inakuaje leo delivery kit iwe elfu 50?
Pia soma: RC Chalamila asema hatukumuelewa kwenye video ya gloves. Atoa ufafanuzi mpya akigusia watu wanaochangia vigodoro badala ya hospitali
Na kwanini mgonjwa aambiwe akanunue gloves? Inakuaje Hospital inakosa vifaa muhimu kama gloves? Blades? Scissors? Pads? Gauze? Hosp gani inaweza kufanya kazi bila Gloves? Blades? Scissors na Pads?
Mkurugenzi wa Hospital, Mkuu wa Mkoa na watendaji wa Hospital wanapaswa kuwajibishwa. Sioni tofauti na wale watu wa Manyara waliomnyima mgonjwa Antivenom na kupelekea Mgonjwa kufa.
Mkuu wa Mkoa ameshindwa ku act kama kiongozi badala yake ame act kama muhuni na mvuta SHISHA! Shame!
Tozo na makodi yanaenda wapi?
Nilitegemea Mkuu wa Mkoa atafute root cause as to why hospitali haina vifaa muhimu kama gloves, mikasi, nyembe, clamps, gauze pads kwa mama kujifungulia, badala yake anamtukana mama aliyekwenye uchungu.
Utetezi wa Chalamila juu ya kauli yake ni VOID: RC na Mkurugenzi wa hospitali muwajibishwe HARAKA.
View attachment 3214939
Dr Megalodon Mushy, PhD Candidate
WHO Regional Office
Rue 52, Ottawa,
Canada
Tumeshatoka kwenye 40%….. do you have updated feed ? Kama huna……katafuteniaifahamu hiyo industry, health budget 40% ni donor funded, hatuna uwezo huo wa kutoa huduma bure 100% (TB and Leprosy, HIV AIDS, Maternal care, Malaria, Chidren <5 yrs, Wazee >60 etc ni donor funded)
100%✔️LIPO tatizo kubwa. Kikawaida hizo gloves na hivo vifaa tiba vinatoka Bohari kuu ya Dawa. Na tunaona kwenye Mitandao Bohari kuu ya Dawa kwa sasa inazalisha na gloves huko Iringa. Mbali na hapo Sitegemei gloves itakosekana Bohari kuu ya Dawa . Na kama hakuna…. Kariakoo kwa wakinga zipo nyingi.
Chalamila alipaswa kupiga simu kwa mkurugenzi wa Hosp , je ni kweli hakuna gloves , nyuzi , mikasi, Blades na pads kwa kujifungulia….. those are very basic medical equipment in Hosp ,
Kisha Mkurugenzi aulizwe shida nini ? Kwanini hakuna
Je havipo
Bohari ya Dawa, hamjapeleka oda ?
Yeye qmekurupuka bila ya kujua huenda tatizo ni kubwa zaidi
For as long as CCM ipo Madarakani, wananchi mtaendelea kudhalilika
Hayo majitu ni majizi
Kiongoz asie na ethics ni MZIGO
Magufuli kweli alikuwa na lugha ngumu sometimes, lakini si kwa wakina mama wenye nahitaji kama hawa.Anaiga lugha za Magufuli. Magufuli ndio alikuwa na lugha za aina hii, mara kama choo hakijatengenezwa bakini na mavi yenu nyumbani, kama nauli ya ferry ni kubwa piga mbizi nk.
1-Ya kukodi bajaji arudi nyumbani mmewe akampasue kwa mkasi.mi nimewaza kwenye mzizi wa tatizo (inadequate health funding), solution ni insurance coverage
RC anakataza siasa wakati yeye anafanya siasa. Hivi kama angetoa hiyo elfu hamsini kwa mtu mwenye uhitaji angepungukiwa na nini? Haya maneno makali anayoyatoa yatamgharimu mustakbal wake. Hekima ni kitu muhimu sana.Mama mjamzito aliambiwa na Hospital atoe 50,000 kununua vifaa vya kujifungulia baada ya kuambiwa havipo Hospital.
Chalamila akapigiwa simu na Mama huyo, Chalamila akamjibu huyo mama arudi nyumbani akajifungue kwa kisu kwa msaada wa mme wake au amuache mtoto wake afe.
Kama taifa hatuwezi kuwa na viongozi WAPUUZI kama huyu. Kama kiongozi unadharau wazazi kama hivi, wahuni wafanyaje?
Kwanza nimestushwa kuambiwa vifaa vya kujifungulia atoe 50,000!
Delivery Kit inakuwa na Gloves, Blades, cord clamps, pads, towel etc, hizi kit zilikuwaga ni mradi wa Ummy Mwalim na ndio sababu ya kutolewaga Wizara ya Afya na JPM na zilikuwa zinauzwa 18,000 na bado zilionekana ghali. Inakuaje leo delivery kit iwe elfu 50?
Pia soma: RC Chalamila asema hatukumuelewa kwenye video ya gloves. Atoa ufafanuzi mpya akigusia watu wanaochangia vigodoro badala ya hospitali
Na kwanini mgonjwa aambiwe akanunue gloves? Inakuaje Hospital inakosa vifaa muhimu kama gloves? Blades? Scissors? Pads? Gauze? Hosp gani inaweza kufanya kazi bila Gloves? Blades? Scissors na Pads?
Mkurugenzi wa Hospital, Mkuu wa Mkoa na watendaji wa Hospital wanapaswa kuwajibishwa. Sioni tofauti na wale watu wa Manyara waliomnyima mgonjwa Antivenom na kupelekea Mgonjwa kufa.
Mkuu wa Mkoa ameshindwa ku act kama kiongozi badala yake ame act kama muhuni na mvuta SHISHA! Shame!
Tozo na makodi yanaenda wapi?
Nilitegemea Mkuu wa Mkoa atafute root cause as to why hospitali haina vifaa muhimu kama gloves, mikasi, nyembe, clamps, gauze pads kwa mama kujifungulia, badala yake anamtukana mama aliyekwenye uchungu.
Utetezi wa Chalamila juu ya kauli yake ni VOID: RC na Mkurugenzi wa hospitali muwajibishwe HARAKA.
View attachment 3214939
Dr Megalodon Mushy, PhD Candidate
WHO Regional Office
Rue 52, Ottawa,
Canada
Sio kweli, akiwa Lindi kuna mama alimfuata akamwambia kuna shida ya maji, akamwambia kamuambie mumeo akojoe upate maji, maana wamechagua diwani qa upinzani.Magufuli kweli alikuwa na lugha ngumu sometimes, lakini si kwa wakina mama wenye nahitaji kama hawa.