Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,521
- 4,381
Chadema ina vilaza watupu kabisa hawawezi kubadilisha chochote kuanzia Mbowe ni kilaza na katili namba moja dikteta hatari kabisa kuwahi kutokea Lema naye kwanza ana nn hata hajasoma mnyika naye zero tu its a failed CHADEMA Lichama limekufa vibaya hili kwa tamaa za kipumbavuNabii ataheshimiwa kwa unabii wake kutumia!! unabii wa Lema ulitumia au haukutumia!
Chadema ina vilaza watupu kabisa hawawezi kubadilisha chochote kuanzia Mbowe ni kilaza na katili namba moja dikteta hatari kabisa kuwahi kutokea Lema naye kwanza ana nn hata hajasoma mnyika naye zero tu its a failed CHADEMA Lichama limekufa vibaya hili kwa tamaa za kipumbavuBiswalo alitakiwa awe chini ya ulinzi achunguzwe alivyopiga mabilioni ya Watanzania
Chadema ina vilaza watupu kabisa hawawezi kubadilisha chochote kuanzia Mbowe ni kilaza na katili namba moja dikteta hatari kabisa kuwahi kutokea Lema naye kwanza ana nn hata hajasoma mnyika naye zero tu its a failed CHADEMA Lichama limekufa vibaya hili kwa tamaa za kipumbavuMlikuwa mnafanya naye huo ujambazi..? How do you know..?
Au ndiye nyie ambao mkibananishwa kuthibitisha mnaishia kujitetea kuwa "nimesikia tu watu wanasema sema sokoni...!!??"
So pathetic..
Mbona umepanic kama umekalia mpini usio size yako?Chadema ina vilaza watupu kabisa hawawezi kubadilisha chochote kuanzia Mbowe ni kilaza na katili namba moja dikteta hatari kabisa kuwahi kutokea Lema naye kwanza ana nn hata hajasoma mnyika naye zero tu its a failed CHADEMA Lichama limekufa vibaya hili kwa tamaa za kipumbavu
Chadema ina vilaza watupu kabisa hawawezi kubadilisha chochote kuanzia Mbowe ni kilaza na katili namba moja dikteta hatari kabisa kuwahi kutokea Lema naye kwanza ana nn hata hajasoma mnyika naye zero tu its a failed CHADEMA Lichama limekufa vibaya hili kwa tamaa za kipumbavuNi kweli hafai kwenye mizania ya ujaji usiongelee ushabiki, Jaji mwenye historia ya usimamizi wa kupindishwa kwa sheria kwa ajili ya kuubeba muhimili ulio msimika katika nafasi yake ya UDPP huyo hafai kuwa mlezi wa sheria
Kwa sababu jaji kimantiki ni mlezi wa sheria za nchi tuwe wa kweli Biswalo hafai kuwa Jaji huu ni ukweli, bila ya kujali itikadi za kisiasa na uccm au uchadema sote tumeshuhudia ofisi ya DPP ilivyoku ikifanya kazi kinyume na taratibu za ofisi ya uma ya DPP inavyopaswa kwa mujibu wa sheria
Biswalo hafai.
Chadema ina vilaza watupu kabisa hawawezi kubadilisha chochote kuanzia Mbowe ni kilaza na katili namba moja dikteta hatari kabisa kuwahi kutokea Lema naye kwanza ana nn hata hajasoma mnyika naye zero tu its a failed CHADEMA Lichama limekufa vibaya hili kwa tamaa za kipumbavuMbona umepanic kama umekalia mpini usio size yako?
We fala sanaChadema wanadeal na mambo ambayo hayagusi kundi kubwa la Watanzania bali ni ya ubinafsi wao tu. Watu wana shida ya maji, barabara mbovu kwa baadhi ya maeneo ya nchi lkn hawayaongelei bali wamebakia umbea tu mara Sabaya, DPP...!!!
chadema kikundi fulani hivi cha wahuni wamebaki wachache tutakianganishaWe fala sana
Unafanana sana akili na pacha wako!Chadema ina vilaza watupu kabisa hawawezi kubadilisha chochote kuanzia Mbowe ni kilaza na katili namba moja dikteta hatari kabisa kuwahi kutokea Lema naye kwanza ana nn hata hajasoma mnyika naye zero tu its a failed CHADEMA Lichama limekufa vibaya hili kwa tamaa za kipumbavu
weewe mm ni mwalimu wa walimu wenu kumbe uhaini wa Mbowe ulianzia hai akakomeshwa na Sabaya hafu hii tabia ya kukwepa kodi ya mbowe na ukatili wake aiache mara moja na lile jambazi sugu kimbizi bila kusahau lile kimbizi la ubeligijiUnafanana sana akili na pacha wako!View attachment 1781481
Bulesi umeona hii crap, watu hawajui kuwa Maganga alisaidia kunyorosha watu kama Lema wezi wakubwa
JPM alimpapasa Lema, ndiyo maana ana kinyongo na Maganga. Maganga alifanya kazi ya kutukuka ujueGodbless Lema yeye kama nani anatoa order kama hiyo... jambazi tu huyu kasumbua sana Arusha eti leo ni mwanasiasa! siasa nayo ni sehemu ya watu washenzi kujifichia!
Hana maadili? Hao majaji wengine waliokuwa kwenye hivi vyeo mpaka kuozea huko wamefanya mambo gani ya maana?
Hii ni kinga kwake zaidi maana najua kuna watu walikuwa wanategemea atatupiliwa mbali. Na pengine sasa atakua kwenye kiti maalum cha kufanya maamuzi dhidi za kesi... kwa kifupi hiki ni kipimo kwake!
aachwe hapo hapo!
Pengine KATUBU kwa mama SASHAKipimo kwa mahakama tuone kama zimeanza kuwa huru, Biswalo hana credibility ya kuwa jaji sifa moja kubwa ya mtu kuwa jaji lazima awe impartial, huyu jamaa ofisi yake ilikandamiza watu wakati wa utawala wa mwendazake, watu kutolewa pesa bila maamuzi ya mahakama ulikuwa ni uporaji.
inamaana inawezekana Uteuzi wa Majaji ukafanyika kwa kujuana juana tu na kuwekana wekana tu!! siamini hata kidogo.
Mnafique Jo katika ubora wakeDuh!
Chadema mna ujuaji mwingi aisee!
Biswalo kumtoa Nusrat Henje awe mbunge imekuwa nongwa!
Kwa hiyoUnabii wake ulitimia kuna jitu tulilizika Chatle na sasa hivi limeshaoza.
Si wapinzani waliwachelewesha kuleta hayo maendeleo ?Chadema wanadeal na mambo ambayo hayagusi kundi kubwa la Watanzania bali ni ya ubinafsi wao tu. Watu wana shida ya maji, barabara mbovu kwa baadhi ya maeneo ya nchi lkn hawayaongelei bali wamebakia umbea tu mara Sabaya, DPP...!!!