Uteuzi wa Biswalo Mganga kuwa Jaji wa Mahakama kuu kupingwa Mahakamani, Yadaiwa hana Maadili, zuio la kuapishwa kwake laandaliwa

Uteuzi wa Biswalo Mganga kuwa Jaji wa Mahakama kuu kupingwa Mahakamani, Yadaiwa hana Maadili, zuio la kuapishwa kwake laandaliwa

Nabii ataheshimiwa kwa unabii wake kutumia!! unabii wa Lema ulitumia au haukutumia!
Chadema ina vilaza watupu kabisa hawawezi kubadilisha chochote kuanzia Mbowe ni kilaza na katili namba moja dikteta hatari kabisa kuwahi kutokea Lema naye kwanza ana nn hata hajasoma mnyika naye zero tu its a failed CHADEMA Lichama limekufa vibaya hili kwa tamaa za kipumbavu
 
Biswalo alitakiwa awe chini ya ulinzi achunguzwe alivyopiga mabilioni ya Watanzania
Chadema ina vilaza watupu kabisa hawawezi kubadilisha chochote kuanzia Mbowe ni kilaza na katili namba moja dikteta hatari kabisa kuwahi kutokea Lema naye kwanza ana nn hata hajasoma mnyika naye zero tu its a failed CHADEMA Lichama limekufa vibaya hili kwa tamaa za kipumbavu
 
Mlikuwa mnafanya naye huo ujambazi..? How do you know..?

Au ndiye nyie ambao mkibananishwa kuthibitisha mnaishia kujitetea kuwa "nimesikia tu watu wanasema sema sokoni...!!??"

So pathetic..
Chadema ina vilaza watupu kabisa hawawezi kubadilisha chochote kuanzia Mbowe ni kilaza na katili namba moja dikteta hatari kabisa kuwahi kutokea Lema naye kwanza ana nn hata hajasoma mnyika naye zero tu its a failed CHADEMA Lichama limekufa vibaya hili kwa tamaa za kipumbavu
 
Chadema ina vilaza watupu kabisa hawawezi kubadilisha chochote kuanzia Mbowe ni kilaza na katili namba moja dikteta hatari kabisa kuwahi kutokea Lema naye kwanza ana nn hata hajasoma mnyika naye zero tu its a failed CHADEMA Lichama limekufa vibaya hili kwa tamaa za kipumbavu
Mbona umepanic kama umekalia mpini usio size yako?
 
Ni kweli hafai kwenye mizania ya ujaji usiongelee ushabiki, Jaji mwenye historia ya usimamizi wa kupindishwa kwa sheria kwa ajili ya kuubeba muhimili ulio msimika katika nafasi yake ya UDPP huyo hafai kuwa mlezi wa sheria

Kwa sababu jaji kimantiki ni mlezi wa sheria za nchi tuwe wa kweli Biswalo hafai kuwa Jaji huu ni ukweli, bila ya kujali itikadi za kisiasa na uccm au uchadema sote tumeshuhudia ofisi ya DPP ilivyoku ikifanya kazi kinyume na taratibu za ofisi ya uma ya DPP inavyopaswa kwa mujibu wa sheria

Biswalo hafai.
Chadema ina vilaza watupu kabisa hawawezi kubadilisha chochote kuanzia Mbowe ni kilaza na katili namba moja dikteta hatari kabisa kuwahi kutokea Lema naye kwanza ana nn hata hajasoma mnyika naye zero tu its a failed CHADEMA Lichama limekufa vibaya hili kwa tamaa za kipumbavu
 
Mbona umepanic kama umekalia mpini usio size yako?
Chadema ina vilaza watupu kabisa hawawezi kubadilisha chochote kuanzia Mbowe ni kilaza na katili namba moja dikteta hatari kabisa kuwahi kutokea Lema naye kwanza ana nn hata hajasoma mnyika naye zero tu its a failed CHADEMA Lichama limekufa vibaya hili kwa tamaa za kipumbavu
 
Chadema ina vilaza watupu kabisa hawawezi kubadilisha chochote kuanzia Mbowe ni kilaza na katili namba moja dikteta hatari kabisa kuwahi kutokea Lema naye kwanza ana nn hata hajasoma mnyika naye zero tu its a failed CHADEMA Lichama limekufa vibaya hili kwa tamaa za kipumbavu
Unafanana sana akili na pacha wako!
20210510_061934.jpg
 
Godbless Lema yeye kama nani anatoa order kama hiyo... jambazi tu huyu kasumbua sana Arusha eti leo ni mwanasiasa! siasa nayo ni sehemu ya watu washenzi kujifichia!

Hana maadili? Hao majaji wengine waliokuwa kwenye hivi vyeo mpaka kuozea huko wamefanya mambo gani ya maana?

Hii ni kinga kwake zaidi maana najua kuna watu walikuwa wanategemea atatupiliwa mbali. Na pengine sasa atakua kwenye kiti maalum cha kufanya maamuzi dhidi za kesi... kwa kifupi hiki ni kipimo kwake!

aachwe hapo hapo!
JPM alimpapasa Lema, ndiyo maana ana kinyongo na Maganga. Maganga alifanya kazi ya kutukuka ujue
 
Kwani JM anasemaje ?? TUME Majaji wanasemaje ? Au ushauri wao ni siri ?
 
Kipimo kwa mahakama tuone kama zimeanza kuwa huru, Biswalo hana credibility ya kuwa jaji sifa moja kubwa ya mtu kuwa jaji lazima awe impartial, huyu jamaa ofisi yake ilikandamiza watu wakati wa utawala wa mwendazake, watu kutolewa pesa bila maamuzi ya mahakama ulikuwa ni uporaji.
Pengine KATUBU kwa mama SASHA
 
View attachment 1781259

Mytake : NI AIBU KUBWA SANA KWA MTEULE WA RAIS KUPINGWA MAHAKAMANI .
inamaana inawezekana Uteuzi wa Majaji ukafanyika kwa kujuana juana tu na kuwekana wekana tu!! siamini hata kidogo.

tatizo watanzania tumekuwa na tabia ya kupigana fitina na majungu sana kwa lengo la kuharibiana.

Biswalo amefanya kazi zake akiwa DPP kwa mujibu wa taratibu na sheria, amefanya kazi kubwa sana ktk Taifa hili na hivyo anastahili kabisa kuwa Jaji wa mahakama kuu.
 
Chadema wanadeal na mambo ambayo hayagusi kundi kubwa la Watanzania bali ni ya ubinafsi wao tu. Watu wana shida ya maji, barabara mbovu kwa baadhi ya maeneo ya nchi lkn hawayaongelei bali wamebakia umbea tu mara Sabaya, DPP...!!!
Si wapinzani waliwachelewesha kuleta hayo maendeleo ?
Mnataka waysongelee wao tena wakati waliwachelewesha ?
 
Back
Top Bottom