Hao wote ni mafisi kwenye mzoga(ulaji) wanasahau tofauti zao1. Waziri Nape alitolewa bastola hadharani kama jambazi mchana kweupe kwa amri ya Makonda. Yawezekana ni kweli Nape kamsamehe Makonda lkn sisi watanzania kamwe haujasahau wala kusamehe.
2. Ridhiwan Kikwete, naibu waziri utumishi, alitajwa na RC Makonda kuwa anauza ngada. Mama Salma Kikwete na mstaafu Kikwete watakuwa walifadhaika sana kwa hili
3. Chongolo aliwahi kuonja joto la nyodo, ulevi wa madaraka na dharau za Makonda. Tazama video iliyopo hapa chini.
Njaa mbaya sana. Unakuwa kituko,na kutweza utu kwa sababu ya uchumia tumbo.
Hawa hata wakifadhaika nobody gives a fuxk!2. Ridhiwan Kikwete, naibu waziri utumishi, alitajwa na RC Makonda kuwa anauza ngada. Mama Salma Kikwete na mstaafu Kikwete watakuwa walifadhaika sana kwa hili
Mkuu sijajua Jinsia yako. Lkn kwa tabia hii ya kumchukia Mwanaume/Makonda kiasi hiki una shida pahala. Au tuseme una Roho ya UCHAWI ulichokosa ni Vifaa vya kumdhulu huyu mwamba. Yaaani huu Uteuzi umekuwasha washa sio mchezo yaani leo una Nyuzi zaidi ya 5 unaongelea Makonda jinsi asivyofaa. Take it easy Mkuu mambo mengine hayahitaji usiriaz wa aina hiyo.1. Waziri Nape alitolewa bastola hadharani kama jambazi mchana kweupe kwa amri ya Makonda. Yawezekana ni kweli Nape kamsamehe Makonda lkn sisi watanzania kamwe haujasahau wala kusamehe.
2. Ridhiwan Kikwete, naibu waziri utumishi, alitajwa na RC Makonda kuwa anauza ngada. Mama Salma Kikwete na mstaafu Kikwete watakuwa walifadhaika sana kwa hili
3. Chongolo aliwahi kuonja joto la nyodo, ulevi wa madaraka na dharau za Makonda. Tazama video iliyopo hapa chini.
Mafisi wamo sehemu nyingi mno taifani mwetu.Sijui taifani mwako?Hao wote ni mafisi kwenye mzoga(ulaji) wanasahau tofauti zaoView attachment 2789604View attachment 2789606