Uteuzi wa Makonda ni matusi kwa vigogo hawa

Uteuzi wa Makonda ni matusi kwa vigogo hawa

Mkuu sijajua Jinsia yako. Lkn kwa tabia hii ya kumchukia Mwanaume/Makonda kiasi hiki una shida pahala. Au tuseme una Roho ya UCHAWI ulichokosa ni Vifaa vya kumdhulu huyu mwamba. Yaaani huu Uteuzi umekuwasha washa sio mchezo yaani leo una Nyuzi zaidi ya 5 unaongelea Makonda jinsi asivyofaa. Take it easy Mkuu mambo mengine hayahitaji usiriaz wa aina hiyo.
Bora umemwambia huyo mshamba na mjinga maana anahangaika sana leo na li roho lake la kishetani na kiibirishi. Anaandika kila muda lakini bado anagonga mwamba maana Makonda kashateuliwa na Anaendelea kuteka hisia za watu ambao wamefurahishwa na uteuzi huo.huyo jamaa itakuwa ni mchawi na kama siyo mchawi basi itakuwa ni jambazi linaloweza kukutoa roho.
 
Mkuu sijajua Jinsia yako. Lkn kwa tabia hii ya kumchukia Mwanaume/Makonda kiasi hiki una shida pahala. Au tuseme una Roho ya UCHAWI ulichokosa ni Vifaa vya kumdhulu huyu mwamba. Yaaani huu Uteuzi umekuwasha washa sio mchezo yaani leo una Nyuzi zaidi ya 5 unaongelea Makonda jinsi asivyofaa. Take it easy Mkuu mambo mengine hayahitaji usiriaz wa aina hiyo.
Yaani Mtu kuweka wazi bila chenga maovu ya Makonda wewe kwako ni chuki?? Kesho keshokutwa uteuzi wake ukitenguliwa nina uhakika utarudi kivingine. Hapo ndipo utawajua Watz dizain yako mlivyo wanafiki.
 
1. Waziri Nape alitolewa bastola hadharani kama jambazi mchana kweupe kwa amri ya Makonda. Yawezekana ni kweli Nape kamsamehe Makonda lkn sisi watanzania kamwe haujasahau wala kusamehe.

2. Ridhiwan Kikwete, naibu waziri utumishi, alitajwa na RC Makonda kuwa anauza ngada. Mama Salma Kikwete na mstaafu Kikwete watakuwa walifadhaika sana kwa hili

3. Chongolo aliwahi kuonja joto la nyodo, ulevi wa madaraka na dharau za Makonda. Tazama video iliyopo hapa chini.


Ccm kamwe haiwatupi waja wake hata kama walikosea Kwa kipindi Fulani

Usishangae kumuona Sabaya tena

Yaani ukiwa mwana CCM hata km Kwa namna moja au nyingine something wrong!

Remember! usiitupe kadi Wala kuichoma moto. One day yes!
Huu ni mpango uliosukwa ukasukika ndg na hao hao vigogo usidanganyike.
 
Ccm kamwe haiwatupi waja wake hata kama walikosea Kwa kipindi Fulani

Usishangae kumuona Sabaya tena

Yaani ukiwa mwana CCM hata km Kwa namna moja au nyingine something whong!

Remember! usiitupe kadi Wala kuichoma moto. One day yes!
Huo ndio ugonjwa wa taifa, kilicho bakia tusubiri gharika iangamize kasumba mbaya tuliyonayo,kwani kwa utaratibu wa asili tulishashindwa hata kabla ya kuanza.🤸
 
Bora umemwambia huyo mshamba na mjinga maana anahangaika sana leo na li roho lake la kishetani na kiibirishi. Anaandika kila muda lakini bado anagonga mwamba maana Makonda kashateuliwa na Anaendelea kuteka hisia za watu ambao wamefurahishwa na uteuzi huo.huyo jamaa itakuwa ni mchawi na kama siyo mchawi basi itakuwa ni jambazi linaloweza kukutoa roho.
Lini utateuliwa pamoja na kunisasambua hapa JF mama hajakuona kabisa
 
Mkuu sijajua Jinsia yako. Lkn kwa tabia hii ya kumchukia Mwanaume/Makonda kiasi hiki una shida pahala. Au tuseme una Roho ya UCHAWI ulichokosa ni Vifaa vya kumdhulu huyu mwamba. Yaaani huu Uteuzi umekuwasha washa sio mchezo yaani leo una Nyuzi zaidi ya 5 unaongelea Makonda jinsi asivyofaa. Take it easy Mkuu mambo mengine hayahitaji usiriaz wa aina hiyo.
Hajaijua Dunia vizuri huyo triple 'mbu' mbumbumbu
 
Back
Top Bottom