grandson 96
New Member
- Oct 5, 2023
- 3
- 0
🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kashaonwa na Mama yao wa mchongo... anaitwa FaizaFoxy 😂😂😂Lini utateuliwa pamoja na kunisasambua hapa JF mama hajakuona kabisa
Kwanza Rais ateuwi katibu mwenezi wa CCM halafu kukataa uteuzi hakuna penalty yoyote kwa sababu hakuna kosa lolote na wapo wengi wamepata uteuzi na wamekataa,acha kuwa mtumwa kwa binadamu mwenzako kwa sababu yeye sio Mungu.Kukataa uteuzi wa Rais unaijua penalty yake?!
Unaweza kumtenga mtu mwenye pesa na mamlakaMakonda angefikiria vyema angekataa uteuzi maana nina uhakika wenzake watamtenga.
Yeye ana pesa na mamlaka kuliko makamu mwenyekiti au ana mamlaka kuliko katibu mkuu! au uwa mnapenda kuropoka tu.Unaweza kumye
Unaweza kumtenga mtu mwenye pesa na mamlaka
Hata mbowe hana amani na ChademaUteuzi wake ni "blessing in disguise". Ni mwanzo wa mwisho wa aliyemuweka hapo. Sioni Kinana na Chongolo wakiwa na amani kwa uteuzi huu. Akina Nape hawana la kufanya na atawavuruga vilivyo.
Kabla ya uchaguzi Chongolo atakuwa ametemwa.
Ccm sio chama cha siasa, ila mfumo wa kiutawala wa kihuni tu.1. Waziri Nape alitolewa bastola hadharani kama jambazi mchana kweupe kwa amri ya Makonda. Yawezekana ni kweli Nape kamsamehe Makonda lkn sisi watanzania kamwe hatujasahau wala kusamehe.
2. Ridhiwan Kikwete, naibu waziri utumishi, alitajwa na RC Makonda kuwa anauza ngada. Mama Salma Kikwete na mstaafu Kikwete watakuwa walifadhaika sana kwa hili
3. Chongolo aliwahi kuonja joto la nyodo, ulevi wa madaraka na dharau za Makonda. Tazama video iliyopo hapa chini.
HaunaHivi unadhani huo uteuzi hauna baraka za hao watu ?
Wewe fala tu mimi siishi kwa uchawa kama wewe fala unajipendekeza hadi unatia kinyaa. Tafuta bwana uolewe tuLeo lazima upate ukichaa maana unajuwa moto wa makonda utaangamiza vichaka vyenu vyote huko CHADEMA
Tanzania ina mambo mengi sana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
sasa nyie Sukuma gang mtegwa na mkategeka ! subiriniDada unaumia sana
Leo ni moto juu ya moto hadi uone bangi imekuwa chungu.Wewe fala tu mimi siishi kwa uchawa kama wewe fala unajipendekeza hadi unatia kinyaa. Tafuta bwana uolewe tu
Kwani kule Uchina Ridhiwan alikamatwa na nini?1. Waziri Nape alitolewa bastola hadharani kama jambazi mchana kweupe kwa amri ya Makonda. Yawezekana ni kweli Nape kamsamehe Makonda lkn sisi watanzania kamwe hatujasahau wala kusamehe.
2. Ridhiwan Kikwete, naibu waziri utumishi, alitajwa na RC Makonda kuwa anauza ngada. Mama Salma Kikwete na mstaafu Kikwete watakuwa walifadhaika sana kwa hili
3. Chongolo aliwahi kuonja joto la nyodo, ulevi wa madaraka na dharau za Makonda. Tazama video iliyopo hapa chini.
Huyu Chongolo mwenyewe kapwaya!Uteuzi wake ni "blessing in disguise". Ni mwanzo wa mwisho wa aliyemuweka hapo. Sioni Kinana na Chongolo wakiwa na amani kwa uteuzi huu. Akina Nape hawana la kufanya na atawavuruga vilivyo.
Kabla ya uchaguzi Chongolo atakuwa ametemwa.
Yule mwethiopia alikua anakomaa na 'Chama Cha Mambuzi' kipo Nchi gani kwanza hicho 'Chama Cha Mambuzi'?CCM = Chama Cha Mapinduzi