Uteuzi wa Makonda ni matusi kwa vigogo hawa

Uteuzi wa Makonda ni matusi kwa vigogo hawa

1. Waziri Nape alitolewa bastola hadharani kama jambazi mchana kweupe kwa amri ya Makonda. Yawezekana ni kweli Nape kamsamehe Makonda lkn sisi watanzania kamwe hatujasahau wala kusamehe.

2. Ridhiwan Kikwete, naibu waziri utumishi, alitajwa na RC Makonda kuwa anauza ngada. Mama Salma Kikwete na mstaafu Kikwete watakuwa walifadhaika sana kwa hili

3. Chongolo aliwahi kuonja joto la nyodo, ulevi wa madaraka na dharau za Makonda. Tazama video iliyopo hapa chini.


Ongeza na hawa
Dr mpango akiwa waziri fedha alimpiga mkwara hakutaka kulipa kodi
Pm alikuwa anamdharau sana
 
1. Waziri Nape alitolewa bastola hadharani kama jambazi mchana kweupe kwa amri ya Makonda. Yawezekana ni kweli Nape kamsamehe Makonda lkn sisi watanzania kamwe hatujasahau wala kusamehe.

2. Ridhiwan Kikwete, naibu waziri utumishi, alitajwa na RC Makonda kuwa anauza ngada. Mama Salma Kikwete na mstaafu Kikwete watakuwa walifadhaika sana kwa hili

3. Chongolo aliwahi kuonja joto la nyodo, ulevi wa madaraka na dharau za Makonda. Tazama video iliyopo hapa chini.

Mbona mnafikiri kila mtu anajua haya mambo yenu?

Kateuliwa kuwa nani? Lini
 
1. Waziri Nape alitolewa bastola hadharani kama jambazi mchana kweupe kwa amri ya Makonda. Yawezekana ni kweli Nape kamsamehe Makonda lkn sisi watanzania kamwe hatujasahau wala kusamehe.

2. Ridhiwan Kikwete, naibu waziri utumishi, alitajwa na RC Makonda kuwa anauza ngada. Mama Salma Kikwete na mstaafu Kikwete watakuwa walifadhaika sana kwa hili

3. Chongolo aliwahi kuonja joto la nyodo, ulevi wa madaraka na dharau za Makonda. Tazama video iliyopo hapa chini.

Ni matusi pia kwa USA.... iliwahi kumpiga BAN asikanyege USAna kumtuhumu kwa makosa makubwa
 
1. Waziri Nape alitolewa bastola hadharani kama jambazi mchana kweupe kwa amri ya Makonda. Yawezekana ni kweli Nape kamsamehe Makonda lkn sisi watanzania kamwe hatujasahau wala kusamehe.

2. Ridhiwan Kikwete, naibu waziri utumishi, alitajwa na RC Makonda kuwa anauza ngada. Mama Salma Kikwete na mstaafu Kikwete watakuwa walifadhaika sana kwa hili

3. Chongolo aliwahi kuonja joto la nyodo, ulevi wa madaraka na dharau za Makonda. Tazama video iliyopo hapa chini.

Kazi Iendelee
 
1. Waziri Nape alitolewa bastola hadharani kama jambazi mchana kweupe kwa amri ya Makonda. Yawezekana ni kweli Nape kamsamehe Makonda lkn sisi watanzania kamwe hatujasahau wala kusamehe.

2. Ridhiwan Kikwete, naibu waziri utumishi, alitajwa na RC Makonda kuwa anauza ngada. Mama Salma Kikwete na mstaafu Kikwete watakuwa walifadhaika sana kwa hili

3. Chongolo aliwahi kuonja joto la nyodo, ulevi wa madaraka na dharau za Makonda. Tazama video iliyopo hapa chini.

ni huruma ya mama na pia mwenyewe kuomba radhi,nani hajakosa miongoni mwa hao wanaopinga?
 
Nilichompendea makonda amejigunza kukaa kimya pamoja na kushambuliwa kote juu ya madhambi yake.
Kukaa kimya kumbe kunalipa.
 
1. Waziri Nape alitolewa bastola hadharani kama jambazi mchana kweupe kwa amri ya Makonda. Yawezekana ni kweli Nape kamsamehe Makonda lkn sisi watanzania kamwe hatujasahau wala kusamehe.

2. Ridhiwan Kikwete, naibu waziri utumishi, alitajwa na RC Makonda kuwa anauza ngada. Mama Salma Kikwete na mstaafu Kikwete watakuwa walifadhaika sana kwa hili

3. Chongolo aliwahi kuonja joto la nyodo, ulevi wa madaraka na dharau za Makonda. Tazama video iliyopo hapa chini.

Huyu ni chongolo?
 
Wewe fala tu mimi siishi kwa uchawa kama wewe fala unajipendekeza hadi unatia kinyaa. Tafuta bwana uolewe tu
Aolewe kama yule chawa kule Salamander tower maghorofani... anadanganya umma yeye ni "Brand influencer na meneja masoko" kumbe kaolewa, na Mume yuko Mombasa... pale ni kwa mashemeji zake.

Na ndomana sijaona comment yake kufurahishwa na teuzi ya bwana Paul pale kwenye page ya Millard

Bifu letu na kina GSM liko palepale
 
1. Waziri Nape alitolewa bastola hadharani kama jambazi mchana kweupe kwa amri ya Makonda. Yawezekana ni kweli Nape kamsamehe Makonda lkn sisi watanzania kamwe hatujasahau wala kusamehe.

2. Ridhiwan Kikwete, naibu waziri utumishi, alitajwa na RC Makonda kuwa anauza ngada. Mama Salma Kikwete na mstaafu Kikwete watakuwa walifadhaika sana kwa hili

3. Chongolo aliwahi kuonja joto la nyodo, ulevi wa madaraka na dharau za Makonda. Tazama video iliyopo hapa chini.

Wew endelea kuumia tu ndo keshateuliwa tayari. Makonda ana sifa za kiongozi. Kuna vitu kadhaa akirekebisha tu, hii nchi anaongoza tena vizuri sana.
 
Wew endelea kuumia tu ndo keshateuliwa tayari. Makonda ana sifa za kiongozi. Kuna vitu kadhaa akirekebisha tu, hii nchi anaongoza tena vizuri sana.
Sifa zipi za uongozi hizo unaziziona wewe kwa Makonda, wengine hatuzioni!?
 
Back
Top Bottom