Lethergo
JF-Expert Member
- Aug 7, 2023
- 6,534
- 11,421
Sembe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sembe
Utashangaa nini wakati DAB ni true definition of Saabaya in another point of view,Usishangae kumuona Sabaya tena ulingoni
1. Waziri Nape alitolewa bastola hadharani kama jambazi mchana kweupe kwa amri ya Makonda. Yawezekana ni kweli Nape kamsamehe Makonda lkn sisi watanzania kamwe hatujasahau wala kusamehe.
2. Ridhiwan Kikwete, naibu waziri utumishi, alitajwa na RC Makonda kuwa anauza ngada. Mama Salma Kikwete na mstaafu Kikwete watakuwa walifadhaika sana kwa hili
3. Chongolo aliwahi kuonja joto la nyodo, ulevi wa madaraka na dharau za Makonda. Tazama video iliyopo hapa chini.
Mbona mnafikiri kila mtu anajua haya mambo yenu?1. Waziri Nape alitolewa bastola hadharani kama jambazi mchana kweupe kwa amri ya Makonda. Yawezekana ni kweli Nape kamsamehe Makonda lkn sisi watanzania kamwe hatujasahau wala kusamehe.
2. Ridhiwan Kikwete, naibu waziri utumishi, alitajwa na RC Makonda kuwa anauza ngada. Mama Salma Kikwete na mstaafu Kikwete watakuwa walifadhaika sana kwa hili
3. Chongolo aliwahi kuonja joto la nyodo, ulevi wa madaraka na dharau za Makonda. Tazama video iliyopo hapa chini.
Ni matusi pia kwa USA.... iliwahi kumpiga BAN asikanyege USAna kumtuhumu kwa makosa makubwa1. Waziri Nape alitolewa bastola hadharani kama jambazi mchana kweupe kwa amri ya Makonda. Yawezekana ni kweli Nape kamsamehe Makonda lkn sisi watanzania kamwe hatujasahau wala kusamehe.
2. Ridhiwan Kikwete, naibu waziri utumishi, alitajwa na RC Makonda kuwa anauza ngada. Mama Salma Kikwete na mstaafu Kikwete watakuwa walifadhaika sana kwa hili
3. Chongolo aliwahi kuonja joto la nyodo, ulevi wa madaraka na dharau za Makonda. Tazama video iliyopo hapa chini.
Kazi Iendelee1. Waziri Nape alitolewa bastola hadharani kama jambazi mchana kweupe kwa amri ya Makonda. Yawezekana ni kweli Nape kamsamehe Makonda lkn sisi watanzania kamwe hatujasahau wala kusamehe.
2. Ridhiwan Kikwete, naibu waziri utumishi, alitajwa na RC Makonda kuwa anauza ngada. Mama Salma Kikwete na mstaafu Kikwete watakuwa walifadhaika sana kwa hili
3. Chongolo aliwahi kuonja joto la nyodo, ulevi wa madaraka na dharau za Makonda. Tazama video iliyopo hapa chini.
Utajitom...ber je wakati wewe ndiyo hiyo hiyo? Basi kajifanye kumxxxa weIlete niitom..ber
ni huruma ya mama na pia mwenyewe kuomba radhi,nani hajakosa miongoni mwa hao wanaopinga?1. Waziri Nape alitolewa bastola hadharani kama jambazi mchana kweupe kwa amri ya Makonda. Yawezekana ni kweli Nape kamsamehe Makonda lkn sisi watanzania kamwe hatujasahau wala kusamehe.
2. Ridhiwan Kikwete, naibu waziri utumishi, alitajwa na RC Makonda kuwa anauza ngada. Mama Salma Kikwete na mstaafu Kikwete watakuwa walifadhaika sana kwa hili
3. Chongolo aliwahi kuonja joto la nyodo, ulevi wa madaraka na dharau za Makonda. Tazama video iliyopo hapa chini.
Huyu ni chongolo?1. Waziri Nape alitolewa bastola hadharani kama jambazi mchana kweupe kwa amri ya Makonda. Yawezekana ni kweli Nape kamsamehe Makonda lkn sisi watanzania kamwe hatujasahau wala kusamehe.
2. Ridhiwan Kikwete, naibu waziri utumishi, alitajwa na RC Makonda kuwa anauza ngada. Mama Salma Kikwete na mstaafu Kikwete watakuwa walifadhaika sana kwa hili
3. Chongolo aliwahi kuonja joto la nyodo, ulevi wa madaraka na dharau za Makonda. Tazama video iliyopo hapa chini.
CCM mbele kwa mbele...
CCM Oyeeee!
Kidumu chama cha mapinduzi!
Kigumu kutoka madarakani...!
Milele tena...!
Aolewe kama yule chawa kule Salamander tower maghorofani... anadanganya umma yeye ni "Brand influencer na meneja masoko" kumbe kaolewa, na Mume yuko Mombasa... pale ni kwa mashemeji zake.Wewe fala tu mimi siishi kwa uchawa kama wewe fala unajipendekeza hadi unatia kinyaa. Tafuta bwana uolewe tu
Kaka yako Ridhwaan hajakupenyezea zozote za chinichini?Lameck Nchimbi mnamleta lini?
Wale weusi wanaitwa "KOMODO" kiongozi..., sio kenge wa kawaidaKenge mweusi wewe
Kateuliwa Jana. Kuwa katibu mwenezi wa ccm taifa.Mbona mnafikiri kila mtu anajua haya mambo yenu?
Kateuliwa kuwa nani? Lini
Chawa wewe ndiye una maumivu makali kuona waliokuwa kimya wanapata teuzi nono wewe na mabango yako ya kipumbavu hupigiwi simu mbwiga weweLeo ni moto juu ya moto hadi uone bangi imekuwa chungu.
Wew endelea kuumia tu ndo keshateuliwa tayari. Makonda ana sifa za kiongozi. Kuna vitu kadhaa akirekebisha tu, hii nchi anaongoza tena vizuri sana.1. Waziri Nape alitolewa bastola hadharani kama jambazi mchana kweupe kwa amri ya Makonda. Yawezekana ni kweli Nape kamsamehe Makonda lkn sisi watanzania kamwe hatujasahau wala kusamehe.
2. Ridhiwan Kikwete, naibu waziri utumishi, alitajwa na RC Makonda kuwa anauza ngada. Mama Salma Kikwete na mstaafu Kikwete watakuwa walifadhaika sana kwa hili
3. Chongolo aliwahi kuonja joto la nyodo, ulevi wa madaraka na dharau za Makonda. Tazama video iliyopo hapa chini.
Sifa zipi za uongozi hizo unaziziona wewe kwa Makonda, wengine hatuzioni!?Wew endelea kuumia tu ndo keshateuliwa tayari. Makonda ana sifa za kiongozi. Kuna vitu kadhaa akirekebisha tu, hii nchi anaongoza tena vizuri sana.