TYRANNOSAURUS REX
Member
- Aug 12, 2013
- 10
- 2
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1. Kuwa na ndoto na kuweza kuzisimamia: Makonda alipoteuliwa kuwa mkuu wa mkoa wa dar alitangaza aina ya dar anayoitaka. Hakufanikiwa ila at least tulijua dar anayoitamani. Miti hadi leo ipo hata kama siyo kwa kiwango alichotamani.Sifa zipi za uongozi hizo unaziziona wewe kwa Makonda, wengine hatuzioni!?
I see.Kateuliwa Jana. Kuwa katibu mwenezi wa ccm taifa.
Kwa mara ya kwanza umethibitisha kwa maandishi kuwa Sukuma Gang ipo na ni kitu halisi.waliamini sukuma gang na msoga gang siyo kitu kimoja
kwa hiyo wewe unataka kutuaminisha kuwa makonda alikuwa anakosea, acha ushabiki na chuki za kipoumbavu watu wa pwani na ubaguzi na rohon ya uchoyo mbwa nyinyi1. Waziri Nape alitolewa bastola hadharani kama jambazi mchana kweupe kwa amri ya Makonda. Yawezekana ni kweli Nape kamsamehe Makonda lkn sisi watanzania kamwe hatujasahau wala kusamehe.
2. Ridhiwan Kikwete, naibu waziri utumishi, alitajwa na RC Makonda kuwa anauza ngada. Mama Salma Kikwete na mstaafu Kikwete watakuwa walifadhaika sana kwa hili
3. Chongolo aliwahi kuonja joto la nyodo, ulevi wa madaraka na dharau za Makonda. Tazama video iliyopo hapa chini.
Huyo kikwete ndio fisi bobezi , hao wenzake ndio vifisi vidogovidogo.Mafisi wamo sehemu nyingi mno taifani mwetu.Sijui taifani mwako?
Kama sie wa pwani werye wa wapii,ama wa huko mooo kwenye tumsitumsitu🤔🤣kwa hiyo wewe unataka kutuaminisha kuwa makonda alikuwa anakosea, acha ushabiki na chuki za kipoumbavu watu wa pwani na ubaguzi na rohon ya uchoyo mbwa nyinyi
Akiuza kwa ajili ya ukombozi wa taifa,ndio ushujaa wenyewe 🤪View attachment 2793634
Anasetiwa auze nyumba hapo.