Uteuzi wa Nehemia Mchechu: Tunamchekea Rais Samia, lakini hapa ameonyesha udhaifu mkubwa

Uteuzi wa Nehemia Mchechu: Tunamchekea Rais Samia, lakini hapa ameonyesha udhaifu mkubwa

robinson crusoe

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2020
Posts
762
Reaction score
1,236
Ni aibu kwamba nchi ambayo tuliaminishwa kwamba watu fulani ni wezi ni watendaji wabovu sasa wanarudishwa kwenye nafasi zao, utadhani hakuna kilichofanyika.

Yawezekana kweli walionewa, lakini iweje Rais wa nchi awarudishe kwenye nafasi zile zile bila maelezo kwa wananchi? Hii haina maana.

Mchechu alisifika sana kwa ubadhirifu, sasa anarudi NHC kwa nafasi ile ile. Huu ni uongozi au uhuni uliokithiri? Je, haya ndo matokeo ya urafiki na Kikwete au ni sababu gani ya ziada?

Rais Samia na Mzee Kikwete au watu wa Kikwete wana urafiki gani wa ziada? Hawa watu wana sifa zipi ambazo Watanzania wengine hawana? Yaani wananchi hatuna thamani kiasi hiki kwa viongozi wetu!
 
Ninavyojua hawa wapigaji walikuwa na network, sasa ni kama Magufuli alikuja kukata ile network ila amekuja huyu naona anaunganisha tena network.

Niandike tu kwa kifupi; Katiba Mpya (Rasimu ya Warioba) ndio suluhisho la kudumu.
 
Walipo badilisha na kumwondoa Nehemia, si unaona shirika lilikuwa kama halina boss? Kwahiyo utaona mpya hakuwa na jipya

Mchechu na timu yake ya akina maagi waliamsha sana nhc. Africa na hasa tanzania hakuna ambaye sio mwizi, ila uzuri wake (nehemia) kazi na tija inaonekana.

I hope sasa nehemia atajifunza na kuwa mzalendo. Kudos mama
 
Ni aibu kwamba nchi ambayo tuliaminishwa kwamba watu fulani ni wezi ni watendaji wabovu sasa wanarudishwa kwenye nafasi zao, utadhani hakuna kilichofanyika.

Yawezekana kweli walionewa, lakini iweje Rais wa nchi awarudishe kwenye nafasi zile zile bila maelezo kwa wananchi? Rais Samia ana matatizo kichwani.

Mchechu alisifika sana kwa ubadhirifu, sasa anarudi NHC kwa nafasi ile ile. Huu ni uopngozi au uhuni uliokithiri? Je, haya ndo matokeo ya urafiki na Kikwete au ni sababu gani ya ziada?

Rais Samia na Mzee Kikwete au watu wa Kikwete wana urafiki gani wa ziada? Hawa watu wana sifa zipi ambazo wa-TZ wengine hawana? Yaani wananchi hatuna thamani kiasi hiki kwa viongozi wetu!
Walivyoondolewa ulipewa sababu? Uliona wakipelekwa Mahakamani?

Kwa nini useme Rais ana udhaifu?

Kwa taarifa yako Samia haongozwi na chuki
 
Ni aibu kwamba nchi ambayo tuliaminishwa kwamba watu fulani ni wezi ni watendaji wabovu sasa wanarudishwa kwenye nafasi zao, utadhani hakuna kilichofanyika.

Yawezekana kweli walionewa, lakini iweje Rais wa nchi awarudishe kwenye nafasi zile zile bila maelezo kwa wananchi? Rais Samia ana matatizo kichwani.

Mchechu alisifika sana kwa ubadhirifu, sasa anarudi NHC kwa nafasi ile ile. Huu ni uopngozi au uhuni uliokithiri? Je, haya ndo matokeo ya urafiki na Kikwete au ni sababu gani ya ziada?

Rais Samia na Mzee Kikwete au watu wa Kikwete wana urafiki gani wa ziada? Hawa watu wana sifa zipi ambazo wa-TZ wengine hawana? Yaani wananchi hatuna thamani kiasi hiki kwa viongozi wetu!
Mchechu hana wizi wowote ule ni majungu matupu

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Walipo badilisha na kumwondoa Nehemia, si unaona shirika lilikuwa kama halina boss? Kwahiyo utaona mpya hakuwa na jipya

Mchechu na timu yake ya akina maagi waliamsha sana nhc. Africa na hasa tanzania hakuna ambaye sio mwizi, ila uzur wake (nehemia) kazi na tija inaonekana.

i hope sasa nehemia atajifunza na kuwa mzalendo. Kudos mama
Umemsifia vizuri nikasema kumbe... baadae unaandika; "Afrika na hasa Tanzania hakuna ambaye sio mwizi"

Hii statement ni ya mtu aliyekata tamaa asielitakia mema hili taifa.

Tuachane na hizi network za ajabu tutafute watu safi wenye weledi wa kuongoza hizi taasisi, haya mazoea yatazidi kutuharibia.
 
Walipo badilisha na kumwondoa Nehemia, si unaona shirika lilikuwa kama halina boss? Kwahiyo utaona mpya hakuwa na jipya

Mchechu na timu yake ya akina maagi waliamsha sana nhc. Africa na hasa tanzania hakuna ambaye sio mwizi, ila uzur wake (nehemia) kazi na tija inaonekana.

i hope sasa nehemia atajifunza na kuwa mzalendo. Kudos mama
Mawazo ya kiduwanzi mno haya.
 
Ni aibu kwamba nchi ambayo tuliaminishwa kwamba watu fulani ni wezi ni watendaji wabovu sasa wanarudishwa kwenye nafasi zao, utadhani hakuna kilichofanyika.

Yawezekana kweli walionewa, lakini iweje Rais wa nchi awarudishe kwenye nafasi zile zile bila maelezo kwa wananchi? Rais Samia ana matatizo kichwani.

Mchechu alisifika sana kwa ubadhirifu, sasa anarudi NHC kwa nafasi ile ile. Huu ni uopngozi au uhuni uliokithiri? Je, haya ndo matokeo ya urafiki na Kikwete au ni sababu gani ya ziada?

Rais Samia na Mzee Kikwete au watu wa Kikwete wana urafiki gani wa ziada? Hawa watu wana sifa zipi ambazo wa-TZ wengine hawana? Yaani wananchi hatuna thamani kiasi hiki kwa viongozi wetu!
Utaandika hadi herufi ziishe... Utapaza sauti hadi ukomo... Utaongea hadi ukaukiwe mate...
Mzizi wa matatizo yote haya ni mfumo uliojikita kwenye Katiba chakavu iliopo...!
Usimlaumu dereva anayeendesha gari bovu...
Usimlaumu anayetumia tenga kuteka maji...
Usimlaumu fundi viraka...
Usimlaumu mwanafunzi wa St. Kayumba...
 
Utaandika hadi herufi ziishe... Utapaza sauti hadi ukomo... Utaongea hadi ukaukiwe mate...
Mzizi wa matatizo yote haya ni mfumo uliojikita kwenye Katiba chakavu iliopo...!
Usimlaumu dereva anayeendesha gari bovu...
Usimlaumu anayetumia tenga kuteka maji...
Usimlaumu fundi viraka...
Usimlaumu mwanafunzi wa St. Kayumba...
Mimi nakubaliana na wewe, na ndio Hawa wakiambiwa katiba wanaruka. Nafasi Kama hizi hazikupaswa kuwa za uteuzi, ilipaswa kushindaniwa
 
Ninavyojua hawa wapigaji walikuwa na network, sasa ni kama Magufuli alikuja kukata ile network, amekuja huyu naona anaunganisha tena network.

Niandike tu kwa kifupi; Katiba Mpya (Rasimu ya Warioba) ndio suluhisho la kudumu.
Hela za kampeni 2025 jombaa! Ukute JPM naye mrija wake ulikuwa Tanroads na kule kwenye matanzanite na magold. Mkandarasi yeyote aliyekataa kupeleka mgao kupitia kwa Mfugale aliona cha mtema kuni. Eng. Lema Wa Elerai construction hatakaa asahau🤣
 
tuliaminishwa kwamba watu fulani ni wezi ni watendaji wabovu sasa wanarudishwa kwenye nafasi zao, utadhani hakuna kilichofanyika.
Mliaminishwa..

Neno sahihi kabisa. Haikuwa hivyo ila zilikuwa ni chuki kali zilizojaa husda majungu na visasi.

Tulieni hivyohivyo Mama aiponye nchi.

Mama songa mbele. Tuko nyuma yako.
 
Watu wale wale, miaka nenda rudi utafikiri hii nchi Mchechu, Mafuru, Makamba, Nape nk ndio wasomi pekee na wenye akili pekee.

Huyu mama sijui hata anawaza nini
Yaani unamaanisha kwamba tunaelekea kule ambapo wenye inchi walikuwa wazee fulani fulani. Sasa linakuja group jipya la vijana kama watano wamiliki nchi au siyo? Unadhani hawa vijana tuwape jina gani kwa sasa?
 
Back
Top Bottom