That goes without say, kakikundi kadogo kanamekuwa ikitukaanga kwa kodi zetu! Wananchi hatuna say.Hiyo ndio CCM.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
That goes without say, kakikundi kadogo kanamekuwa ikitukaanga kwa kodi zetu! Wananchi hatuna say.Hiyo ndio CCM.
Kushindaniwa tena kwa uwazi kabisa...Mimi nakubaliana na wewe, na ndio Hawa wakiambiwa katiba wanaruka. Nafasi Kama hizi hazikupaswa kuwa za uteuzi, ilipaswa kushindaniwa
Walipo badilisha na kumwondoa Nehemia, si unaona shirika lilikuwa kama halina boss? Kwahiyo utaona mpya hakuwa na jipya
Mchechu na timu yake ya akina maagi waliamsha sana nhc. Africa na hasa tanzania hakuna ambaye sio mwizi, ila uzur wake (nehemia) kazi na tija inaonekana.
i hope sasa nehemia atajifunza na kuwa mzalendo. Kudos mama
Ebu niambie mbali na Dar kulikojengwa maghorofa ya mchongo kwa matajiri tu, achana na yale yaliyojengwa Magomeni enzi ya Magufuli. Ni mkoa gani mwingine ulionufaika na ujenzi wa majengo ya kisasa? Ni wapi wananchi wa kawaida walinufaika na NHC chini ya uongozi wa Nehemia?Walipo badilisha na kumwondoa Nehemia, si unaona shirika lilikuwa kama halina boss? Kwahiyo utaona mpya hakuwa na jipya
Mchechu na timu yake ya akina maagi waliamsha sana nhc. Africa na hasa tanzania hakuna ambaye sio mwizi, ila uzur wake (nehemia) kazi na tija inaonekana.
i hope sasa nehemia atajifunza na kuwa mzalendo. Kudos mama
Ni aibu kwamba nchi ambayo tuliaminishwa kwamba watu fulani ni wezi ni watendaji wabovu sasa wanarudishwa kwenye nafasi zao, utadhani hakuna kilichofanyika.
Yawezekana kweli walionewa, lakini iweje Rais wa nchi awarudishe kwenye nafasi zile zile bila maelezo kwa wananchi? Rais Samia ana matatizo kichwani.
Mchechu alisifika sana kwa ubadhirifu, sasa anarudi NHC kwa nafasi ile ile. Huu ni uopngozi au uhuni uliokithiri? Je, haya ndo matokeo ya urafiki na Kikwete au ni sababu gani ya ziada?
Rais Samia na Mzee Kikwete au watu wa Kikwete wana urafiki gani wa ziada? Hawa watu wana sifa zipi ambazo wa-TZ wengine hawana? Yaani wananchi hatuna thamani kiasi hiki kwa viongozi wetu!
Mambo mengi ya kipuuzi yanafanyika nyuma ya pazia.Hiyo ndio CCM.
uliaminishwa wezi una ushaidi ww endelea kupigwa na jua acha wenzako wale mema ya nchiNi aibu kwamba nchi ambayo tuliaminishwa kwamba watu fulani ni wezi ni watendaji wabovu sasa wanarudishwa kwenye nafasi zao, utadhani hakuna kilichofanyika.
Yawezekana kweli walionewa, lakini iweje Rais wa nchi awarudishe kwenye nafasi zile zile bila maelezo kwa wananchi? Rais Samia ana matatizo kichwani.
Mchechu alisifika sana kwa ubadhirifu, sasa anarudi NHC kwa nafasi ile ile. Huu ni uopngozi au uhuni uliokithiri? Je, haya ndo matokeo ya urafiki na Kikwete au ni sababu gani ya ziada?
Rais Samia na Mzee Kikwete au watu wa Kikwete wana urafiki gani wa ziada? Hawa watu wana sifa zipi ambazo wa-TZ wengine hawana? Yaani wananchi hatuna thamani kiasi hiki kwa viongozi wetu!
Nimeona kumbe Vuai Nahodha kateuliwa kuwa Mbunge eti!Watu wale wale, miaka nenda rudi utafikiri hii nchi Mchechu, Mafuru, Makamba, Nape nk ndio wasomi pekee na wenye akili pekee.
Huyu mama sijui hata anawaza nini
So painful, but here comes a day which is nigh, be warned! Sauti iliyonyikani...Mjumne hauwawi, kikombe cha hasira ya Mungu kinajazwa kwa haraka sanaMkuu huelewi nini Sasa wakati mchechu anaenda kuwaandalia makazi wamasai wa ngoro ngoro Ili tuuze vizuri ile crater KWA waarabu!!?
Duuh!Kushindaniwa tena kwa uwazi kabisa...
Na hata kama ni lazima uteuzi kuwepo na vetting authority ambayo itawahoji na kujiridhisha!
Anachokifanya Rais wa Tanzania ukii narrow it down to a family level ni sawa kabisa na mfume dume! Mtu mmoja anajua kila kitu na hakoseagi!!
SI KWELI! SI SAWA! SI SAHIHI!!
Tatizo wengi wanafikiria kwa matumbo, masikio na macho!!
"But they never knew JPM was coming" imebidi nim nukuu Chakwari...Maisha yanaenda kwa speed sana...Dunia hii huwa inazunguka sijui kwanini sijakata tamaa ki vile!Ubaya/uzuri wa nchi hii ni kwamba ukishaingia kwenye system na ukajua kula na wenzako basi mpaka utafiamo; na ulaji huo utaendelea kwako na vizazi vyako vyote. Ndo maana tutaendelea kusikia majina ya akina Makamba na Kikwete hata vizazi 50 vijavyo.
Nchi ya ajabu sana hii. Utafikiri hakuna watu wengine wenye uwezo wa kufanya hizo kazi![emoji706][emoji706][emoji706]
Mkuu they know katiba mpya itakuwa mwiba that's why hawataki kuruhusu hiyo kitu iandikwe.Ninavyojua hawa wapigaji walikuwa na network, sasa ni kama Magufuli alikuja kukata ile network ila amekuja huyu naona anaunganisha tena network.
Niandike tu kwa kifupi; Katiba Mpya (Rasimu ya Warioba) ndio suluhisho la kudumu.