Uteuzi wa Nehemia Mchechu: Tunamchekea Rais Samia, lakini hapa ameonyesha udhaifu mkubwa

Uteuzi wa Nehemia Mchechu: Tunamchekea Rais Samia, lakini hapa ameonyesha udhaifu mkubwa

Mama anaupiga mwingi mpaka anakera sana hongera mama unaonekana dhahiri hukukubaliana na maamuzi ya bosi wako#nimeamini mchawi ni mtu uliyekaribu nae sana kwenye maisha acha tufe sisi tulioamini na kusimamia falsafa na misimamo ya mwenda zake Tunakushukuru shujaa wa africa kwa zawadi ya utumishi wako uliotukuka kuna masomo mengine tunajifunza hata baada ya kuondoka.
 
Ni aibu kwamba nchi ambayo tuliaminishwa kwamba watu fulani ni wezi ni watendaji wabovu sasa wanarudishwa kwenye nafasi zao, utadhani hakuna kilichofanyika.

Yawezekana kweli walionewa, lakini iweje Rais wa nchi awarudishe kwenye nafasi zile zile bila maelezo kwa wananchi? Hii haina maana.

Mchechu alisifika sana kwa ubadhirifu, sasa anarudi NHC kwa nafasi ile ile. Huu ni uongozi au uhuni uliokithiri? Je, haya ndo matokeo ya urafiki na Kikwete au ni sababu gani ya ziada?

Rais Samia na Mzee Kikwete au watu wa Kikwete wana urafiki gani wa ziada? Hawa watu wana sifa zipi ambazo Watanzania wengine hawana? Yaani wananchi hatuna thamani kiasi hiki kwa viongozi wetu!
Rais akupe maelezo wewe kama nani?
 
Ni aibu kwamba nchi ambayo tuliaminishwa kwamba watu fulani ni wezi ni watendaji wabovu sasa wanarudishwa kwenye nafasi zao, utadhani hakuna kilichofanyika.

Yawezekana kweli walionewa, lakini iweje Rais wa nchi awarudishe kwenye nafasi zile zile bila maelezo kwa wananchi? Hii haina maana.

Mchechu alisifika sana kwa ubadhirifu, sasa anarudi NHC kwa nafasi ile ile. Huu ni uongozi au uhuni uliokithiri? Je, haya ndo matokeo ya urafiki na Kikwete au ni sababu gani ya ziada?

Rais Samia na Mzee Kikwete au watu wa Kikwete wana urafiki gani wa ziada? Hawa watu wana sifa zipi ambazo Watanzania wengine hawana? Yaani wananchi hatuna thamani kiasi hiki kwa viongozi wetu!

Kitakachotuokoa watanzania ni box la kura 2025, tusali na kuomba mola amtafute mshauri mkuu wa hii mipango afanye yake.​

 
Kwa hiyo serikali sasa itaenda kuweka garantii ili NHC wakope mabilioni ya pesa kwenye mabenki wajenge apartments ambazo watamuuzia mtanzania myonge kwa milioni 200, na kwa kuwa mnyonge hajawahi hata kuota kumiliki hiyo pesa basi hizo apartments zinabaki kuwa makazi ya popo na kupigwa vumbi daily......huyo ndo mama anaupiga mwingi bhana.
Acha ujinga mkuu
 
Tatizo mnatuona hatuna kumbukumbu.

Bosi wa TPDC alitumbuliwa na Magufuli na baadae mpaka akafunguliwa kesi, mwisho wa siku alifutiwa kesi na Magufuli akamrudisha kwenye ukurugenzi.
 
Ninavyojua hawa wapigaji walikuwa na network, sasa ni kama Magufuli alikuja kukata ile network ila amekuja huyu naona anaunganisha tena network.

Niandike tu kwa kifupi; Katiba Mpya (Rasimu ya Warioba) ndio suluhisho la kudumu.
Ndio maana wanaipinga katiba mpya kwani hiyo ndio dawa ya ufisadi wao! Kumbukeni kuwa ni Kikwete huyo huyo ndio aloyesababisha katiba mpya kutopatikana na sasa anamtumia Huyu mama na udhaifu wake kuhakikisha kuwa ile rasimu ya Warioba haihitimishwi!!
Kikwete ndio adui na mbali ONE wa nchi hii kwani Samia hajui kinachoendelea!
 
Ni aibu kwamba nchi ambayo tuliaminishwa kwamba watu fulani ni wezi ni watendaji wabovu sasa wanarudishwa kwenye nafasi zao, utadhani hakuna kilichofanyika.

Yawezekana kweli walionewa, lakini iweje Rais wa nchi awarudishe kwenye nafasi zile zile bila maelezo kwa wananchi? Hii haina maana.

Mchechu alisifika sana kwa ubadhirifu, sasa anarudi NHC kwa nafasi ile ile. Huu ni uongozi au uhuni uliokithiri? Je, haya ndo matokeo ya urafiki na Kikwete au ni sababu gani ya ziada?

Rais Samia na Mzee Kikwete au watu wa Kikwete wana urafiki gani wa ziada? Hawa watu wana sifa zipi ambazo Watanzania wengine hawana? Yaani wananchi hatuna thamani kiasi hiki kwa viongozi wetu!
Kijana tulia. Hili ni Taifa. Inatwa Jamuhuri. Kama umewahi muona Jamuhuri basi sawa ila na taka kuamini Tz sio mali ya mutu ni mali ya Jamuhuri
 
Kuna ujinga gani hapo sasa, kaangalie apartment za kule morocco kama kuna watu wanakaa na wakutajie bei yake....
Wa kukaa wangetoka wapi na wakati Jiwe aliharibu uchumi? Real estate ilikufa awamu yote ya Jiwe.

Wakati wa JK si zilikuwa booked zote? Ndio maana sasa uchumi umeanza angalau kupumua,baada ya 2025 kutakuwa na boom nzuri tuu.

Ilifika mahala mabenki yanakataa collateral za ardhi/ nyumba au wanakupa pesa kidogo Sana kwa sababu uki default hata wakiuza hawapati pesa yao.
 
Kijana tulia. Hili ni Taifa. Inatwa Jamuhuri. Kama umewahi muona Jamuhuri basi sawa ila na taka kuamini Tz sio mali ya mutu ni mali ya Jamuhuri
Ngumu kumesa...Wengine tulishaelewa kitambo what it means
 
Back
Top Bottom