Uteuzi wa Nehemia Mchechu: Tunamchekea Rais Samia, lakini hapa ameonyesha udhaifu mkubwa

Uteuzi wa Nehemia Mchechu: Tunamchekea Rais Samia, lakini hapa ameonyesha udhaifu mkubwa

Ni aibu kwamba nchi ambayo tuliaminishwa kwamba watu fulani ni wezi ni watendaji wabovu sasa wanarudishwa kwenye nafasi zao, utadhani hakuna kilichofanyika.

Yawezekana kweli walionewa, lakini iweje Rais wa nchi awarudishe kwenye nafasi zile zile bila maelezo kwa wananchi? Hii haina maana.

Mchechu alisifika sana kwa ubadhirifu, sasa anarudi NHC kwa nafasi ile ile. Huu ni uongozi au uhuni uliokithiri? Je, haya ndo matokeo ya urafiki na Kikwete au ni sababu gani ya ziada?

Rais Samia na Mzee Kikwete au watu wa Kikwete wana urafiki gani wa ziada? Hawa watu wana sifa zipi ambazo Watanzania wengine hawana? Yaani wananchi hatuna thamani kiasi hiki kwa viongozi wetu!
Acheni majungu ya kuhadithiwa.
Kama mtoa mada ni mkweli na si mnafiki
ELEZA hapa hapa jamvini, uhuni na ubadhirifu ulionfanywa na Mchechu.
Nafikiri reverse Chatonaisation ndio inawasumbua.
 
Ni aibu kwamba nchi ambayo tuliaminishwa kwamba watu fulani ni wezi ni watendaji wabovu sasa wanarudishwa kwenye nafasi zao, utadhani hakuna kilichofanyika.

Yawezekana kweli walionewa, lakini iweje Rais wa nchi awarudishe kwenye nafasi zile zile bila maelezo kwa wananchi? Hii haina maana.

Mchechu alisifika sana kwa ubadhirifu, sasa anarudi NHC kwa nafasi ile ile. Huu ni uongozi au uhuni uliokithiri? Je, haya ndo matokeo ya urafiki na Kikwete au ni sababu gani ya ziada?

Rais Samia na Mzee Kikwete au watu wa Kikwete wana urafiki gani wa ziada? Hawa watu wana sifa zipi ambazo Watanzania wengine hawana? Yaani wananchi hatuna thamani kiasi hiki kwa viongozi wetu!
Tangu Mchechu aoundolewe NHC, miradi yote ilisimama. Kama alikuwa mbovu, mbona yule aliyeteuliwa baada yake hakuweza hata kukamilisha miradi ya NHC? Kwa uteuzi huu, angalau miradi ya mabilioni ya walipa kodi iliyosimama itakamilishwa.
 
Ni aibu kwamba nchi ambayo tuliaminishwa kwamba watu fulani ni wezi ni watendaji wabovu sasa wanarudishwa kwenye nafasi zao, utadhani hakuna kilichofanyika.

Yawezekana kweli walionewa, lakini iweje Rais wa nchi awarudishe kwenye nafasi zile zile bila maelezo kwa wananchi? Hii haina maana.

Mchechu alisifika sana kwa ubadhirifu, sasa anarudi NHC kwa nafasi ile ile. Huu ni uongozi au uhuni uliokithiri? Je, haya ndo matokeo ya urafiki na Kikwete au ni sababu gani ya ziada?

Rais Samia na Mzee Kikwete au watu wa Kikwete wana urafiki gani wa ziada? Hawa watu wana sifa zipi ambazo Watanzania wengine hawana? Yaani wananchi hatuna thamani kiasi hiki kwa viongozi wetu!
Alituaamunisha hivyo hakuwa sahihi. Asante mama Kwa kuliona Hilo. Ponya maumivu ya watu ktk mioyo Yao.
 
Ni aibu kwamba nchi ambayo tuliaminishwa kwamba watu fulani ni wezi ni watendaji wabovu sasa wanarudishwa kwenye nafasi zao, utadhani hakuna kilichofanyika.

Yawezekana kweli walionewa, lakini iweje Rais wa nchi awarudishe kwenye nafasi zile zile bila maelezo kwa wananchi? Hii haina maana.

Mchechu alisifika sana kwa ubadhirifu, sasa anarudi NHC kwa nafasi ile ile. Huu ni uongozi au uhuni uliokithiri? Je, haya ndo matokeo ya urafiki na Kikwete au ni sababu gani ya ziada?

Rais Samia na Mzee Kikwete au watu wa Kikwete wana urafiki gani wa ziada? Hawa watu wana sifa zipi ambazo Watanzania wengine hawana? Yaani wananchi hatuna thamani kiasi hiki kwa viongozi wetu!
Ili uonekane kwamba wewe ni mtu OBJECTIVE. Ungetwambia hapa ubadhilifu wa msechu . Kama alikuwa mchafu kwann hajapelekwa mahakamani???
 
awamu ya mafisadi
JPM alijenga uwanja wa ndege kwao bila kufua sheria ya manunuzi
Alipora korosho za watu.
Aliua watu
Alinunua ndege bila kufuata sheria yyte ya manunuzi
Huu siyo ufisadi????
Kamfufueni
 
Watu wale wale, miaka nenda rudi utafikiri hii nchi Mchechu, Mafuru, Makamba, Nape nk ndio wasomi pekee na wenye akili pekee.

Huyu mama sijui hata anawaza nini
Hao washajiona wao ndio wanastahili kuteuliwa kushika nafasi kubwa kubwa serikalini ndio maana wanadharau

Magufuli atakumbukwa sana.
 
Walipo badilisha na kumwondoa Nehemia, si unaona shirika lilikuwa kama halina boss? Kwahiyo utaona mpya hakuwa na jipya

Mchechu na timu yake ya akina maagi waliamsha sana nhc. Africa na hasa tanzania hakuna ambaye sio mwizi, ila uzuri wake (nehemia) kazi na tija inaonekana.

I hope sasa nehemia atajifunza na kuwa mzalendo. Kudos mama
Tuliambiwa alianza biashara na shirika analoliongoza. Akaanza mambo ya viwanja. Kwa sifa hizo, kwa sasa tulistahili kuelezwa nini ilikuwa uongo au nini kimebadirika. Bila maelezo, ninachokiona. Kama kweli ni suala la urafiki wa Kikwete na Samia, basi hakuna sababu ya kuwa na rais mpya. Tunaomba arudishwe kikwete kuwa rais. Hii ya kuwa na Samia akiongozwa na Kikwete ni kuharibu kabisa mfumo wa uongozi.
 
Ebu niambie mbali na Dar kulikojengwa maghorofa ya mchongo kwa matajiri tu, achana na yale yaliyojengwa Magomeni enzi ya Magufuli. Ni mkoa gani mwingine ulionufaika na ujenzi wa majengo ya kisasa? Ni wapi wananchi wa kawaida walinufaika na NHC chini ya uongozi wa Nehemia?

Sitaki kuongelea mamilioni ya fedha aliyokuwa anajilipa, na mashule alojenga, majumba anayomiliki, ambayo kabla ya kuwa meneja hakuwa navyo. Sitaki kuongelea alivyokuwa anamwaga fedha mamillioni. Ilikuwa bahati yake. Sitaki kuwa na wivu nae.
Mie nakumbuka NHC ya zamani ilijenga nyumba Tanzania nzima. Tena wengi waliofaidika ni watu wa chini. Mashirika kama haya nchi nyingine yamekuwa na REAL ESTATES kubwa na kuendezesha miji.

Siyo miaka ya Nehemia na vile vigorofa vya Morocco, basi tukaona amefanya kazi, na kuwa na kipindi. Nimetembelea Ethiopia, shirika la nyumba, limejenga majengo ya ghorofa nchi zima na nimazuri. Na bei nafuu sana nyumba zao. nchi inajengeka utazani Singapore.
NHC haijapata mtu alonavision ya kuwasaidia watanzania. NHC ilitakiwa ibadili madhari ya miji mingi Tanzania, si kuishia Dar es Salaam kujenga vigorofa viwili wanatumia hela nyingi kupoteza muda ati kipindi cha Nyumba! Ha ha ha!

Nehemia, hana tena jipya, kama miaka alotumia, hakufanya cha maana anaporejeshwa sasa atafanya nini? Kikubwa ni madili kujenga maghorofa machache Dar na kuwapa alionao michongo, wamiliki, nao wapangishe kwa matajiri.

Mfano pale mwanza milimani, Dar es Salaam maeneo ya Manzese, Mburahati na kadhalika, haya ni maeneo ambayo NHC ingeingia ubia na wananchi na kujenga majumba au maghorofa ya makazi, kisha wananchi hawa kupangishwa na baadae kuuziwa.

Hata vijijini, NHC ingekuwa na maono kusaidia wananchi wa vijijini kuwajengea makazi bora kwa makubaliano maalum, na kuondoa vijumba vya ajabu na vile vya nyasi. Nampongeza Rais wa kwanza wa Zanzibar Abeid Karume, alikuwa na akili sana huyu, vijijini au shamba kama wanavyoita wa Zanzibar alijenga maghorofa akaweka umeme na maji, mbali na yale maghorofa ya Michenzani, naongelea ya vijijini kama Bambi na kadhalika. Alitaka wananchi wa hali ya nchini wapate makazi safi. Hadi leo hakuna Rais alofanya kazi kama ya Marehemu Karume.

Nehemia hana jipya tena. Hivi nchi yetu haina watu wengine? Hivi hawa ndo tu walio na brain kuliko watanzania wengine? Mie nadhani Nehemia angepewa nafasi nyingine za uteuzi lakini si kumrudisha palepale ambapo kwa kuangalia hakuwa na perfomance nzuri kulinganisha na maono ya NHC.

Ni kiitazama Tanzania naona imesimama, naona hakuna maono yoyote, ipo ili mradi tu iende na tujue kuna Taifa la Tanzania. Siku hizi tunavijana wengi, wanaujuzi katika masuala ya Real estates na niwabunifu. Serikali inawaweka pembeni, inampa mtu aendelee kuwa katika shirika hadi atafikisha miaka 20 ktk shirika, lkn hakuna jipya zaidi ya upigaji na kutumia mamillioni ya fedha kujitangaza.
Uchungu wa wivu wa kike.Wamewekwa Ma Dr wamefanya nini serous kwa miaka mitano kinachoonekana?.Tatizo ni kuendeleza fikra za marehemu kulazimisha kila alichokataa yeye (bila sababu) na wote tufuate mkumbo tu.Mama amekataa hayo.Mchechu ni genius na kama angekuwa mwizi kama mbavyodai Mwendazake angehakikisha anafia jela.
 
Kwa hiyo serikali sasa itaenda kuweka garantii ili NHC wakope mabilioni ya pesa kwenye mabenki wajenge apartments ambazo watamuuzia mtanzania myonge kwa milioni 200, na kwa kuwa mnyonge hajawahi hata kuota kumiliki hiyo pesa basi hizo apartments zinabaki kuwa makazi ya popo na kupigwa vumbi daily......huyo ndo mama anaupiga mwingi bhana.
Mbona zote zimeisha kununuliwa ?.
 
Nashauri tunapokuwa tunaleta objections za vitu/mtu/watu walau tuwe na orodha za vinavyofaa/anayefaa/wanaofaa,hii itasaidia sana.
Kwa kuanzia pengine sisi /JF ianzishe Forum ya CVs /Profiles/ au vyovyote vile ili kusaidia jamii kupata huduma ya nguvukazi/maarifa/ajira/rejea.nk

Binafsi sioni tatizo la uteuzi, tatizo naliona kwa watu kutofahamu umuhimu /maana/dhima ya NHC.

Badala ya kulaumu ni bora pengine tungelishauri Serikali kuwa na chombo kimoja kinachojihusisha na Majenzi.
 
Ni aibu kwamba nchi ambayo tuliaminishwa kwamba watu fulani ni wezi ni watendaji wabovu sasa wanarudishwa kwenye nafasi zao, utadhani hakuna kilichofanyika.

Yawezekana kweli walionewa, lakini iweje Rais wa nchi awarudishe kwenye nafasi zile zile bila maelezo kwa wananchi? Hii haina maana.

Mchechu alisifika sana kwa ubadhirifu, sasa anarudi NHC kwa nafasi ile ile. Huu ni uongozi au uhuni uliokithiri? Je, haya ndo matokeo ya urafiki na Kikwete au ni sababu gani ya ziada?

Rais Samia na Mzee Kikwete au watu wa Kikwete wana urafiki gani wa ziada? Hawa watu wana sifa zipi ambazo Watanzania wengine hawana? Yaani wananchi hatuna thamani kiasi hiki kwa viongozi wetu!


Tatizo ni vijana wetu wengi wanasubiri kazi serikalini badala ya kufanya biashara. Biashara ya kilimo inalipa ukijipanga lakini vijana wana kaa mijini na ku follow Diamond na Zuchu! Sasa ni wivu tu ! Fanyeni biashara mpate pesa🤔
 
Walipo badilisha na kumwondoa Nehemia, si unaona shirika lilikuwa kama halina boss? Kwahiyo utaona mpya hakuwa na jipya

Mchechu na timu yake ya akina maagi waliamsha sana nhc. Africa na hasa tanzania hakuna ambaye sio mwizi, ila uzuri wake (nehemia) kazi na tija inaonekana.

I hope sasa nehemia atajifunza na kuwa mzalendo. Kudos mama


Addict wote huwa wanapelekwa rehab…hawawekwi kwenye mazingira yaleyale yaliosababisha…
 
Kurudishwa Msechu NHC ni mkakati wa Kikwete kutaka kukomba hayo mabillioni yaliyopelekwa huko!! Anaandaa mtandao wa Uchaguzi wa 2024 hivyo sehemu zote zenye fedha atateuliwa mtu atakaye wezesha upatikanaji wa fedha za Uchaguzi!!
Mkuu acha kumzushia mstaafu uongo.
 
Ninavyojua hawa wapigaji walikuwa na network, sasa ni kama Magufuli alikuja kukata ile network ila amekuja huyu naona anaunganisha tena network.

Niandike tu kwa kifupi; Katiba Mpya (Rasimu ya Warioba) ndio suluhisho la kudumu.

Nikwambie kitu mkuu…kwa jinsi hali ilivyo mimi ninavyoona katiba sio suluhu…km kiongozi kahusishwa na ufisadi…kashfa zote yumo…lakini bado anateuliwa na system za kiusalama zote zipo…what makes you think katiba itafuatwa na system ile ile…

Hv unafikiria Nyerere angekuwepo huu upuuzi ungeusikia…kwa kifupi kichaa kapewa rungu….watu wana exercise power at the expense ya maendeleo ya nchi …sasa watanzania akili kichwani it’s unfortunate elimu duni ndio mtaji wa watawala…ninaamini itakula kwetu mpaka atokee mkombozi ambae ataweka misingi imara tena…na atatengeneza system ya maana…sio kwa miaka 10…lazima huyo mwamba ashike nchi not less than 20yrs…ndio tutasogea…naamini mapinduzi ya kweli sio lelemama huwa yanafanywa na the very powerful leader ambae anaipenda nchi kuliko pesa…bila hivyo na chama hichi hata chochote kile cha upinzani na drama wanazotuchezea kila siku km mapunguwani hatutoboi….
 
Hao washajiona wao ndio wanastahili kuteuliwa kushika nafasi kubwa kubwa serikalini ndio maana wanadharau

Magufuli atakumbukwa sana.
Kwenye uteuzi hata yeye alikuwa na nepotism ya hali ya juu. Two wrongs never make a right...Mimi kinachonisikitisha ni mambo kufanyika bila aibu na hadharani, hii inatisha sana!
 
Back
Top Bottom