Rais Samia anatengeneza Serikali ya kistaarabu. Anajaribu kuondoa utawala primitive wa Marehemu Magufuli.
Muda si mrefu, mambo yataanza kubadilika taratibu. Marehemu aliua uchumi, aliua demokrasia, aliua ustaarabu, aliua mifumo ya utawala. Kwa kweli uongozi wa marehemu, kama alivyosema yule gavana wa Kenya, ulikuwa ni aibu kwa Watanzania na Afrika nzima.
Tuliombee Taifa letu, ili taifa lisijekupatwa na laana kama ile ya wakati wa utawala wa Marehemu, utawala ulioishia kuteka watu, kupoteza watu, kuua watu, kubambikia kesi watu, kuharibu mahusiano ya kimataifa, kushusha ukuuaji wa utalii toka 15% mpaka 3.6%, kushusha ukiaji wa uwekezaji toka 28% mpaka 4%, kuangusha thamani ya mauzo ya nje ya mazao ya kilimo kwa 50%.
Kwa kweli uongozi wa marehemu ulikuwa ni laana kwa Taifa, hasara kwa Watanzania. Tuzidi kumwombea maana hatujui ndani ya roho yake kulikuwa na nini hata mtu akapenda uovu dhidi ya binadamu wenzake kwa kiasi kile.