Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Katibu Mkuu naona umeibuka kumtetea Mwenyekiti wako. Hongera sana, Linda ugali ndugu.Wewe nani mpaka useme hivyo cha kushangaza wewe ni mateka wa Mbowe unataka Rais Samia, akufurahishe? Nyie kupinga ndiyo kazi mliotumwa na Mfalme Mbowe, Rais kawambia mpo huru kufanya mikutano yenu nchi nzima au nyie mnafanyie JF.
Tuendelee kumpigia vigelegele mama samiaInasikitisha sana Tanzania sijui inaelekea wapi. DC ni nafasi nyeti ya kuunganisha watendaji na jamii inayowazunguka. Kusimamia mambo ya ulinzi na usalama. Hii ni nafasi ya waandamizi kutoka katika utumishi au chama, wakiwa wamejaa utu uzima na busara za kumwagika. Leo unaenda kuokoteza wasanii na watu mitandaoni.
Naona Tanzania inapoteza uelekeo kabisa. Hawa jamaa wanatupa kazi sana kuirudisha Tanzania kwenye reli.
Mimi sijawahi kushuhudia uteuzi wa hovyo kama huu toka nizaliwe
Aisee uteuzi mbovu 75% .Yaani vyuo vya adminstrative vina changamoto,Kuna ma professor ,wahitimu weredi wakubwa.
Leo hii bongo movie,bongo fravour,Journalist Tena wachambaji wawe ma DC.
Nchi Bado inasafari ndefu Sana ,acha waendelee kututukana mpaka tuishike adabu
Kweli Mkuu vetting ya hovyo kabisa Mwenyekiti kamati ya ulinzi na usalama wilaya.Mungu atusaidie na kutulinda kwa mkono wake tu.Inasikitisha sana Tanzania sijui inaelekea wapi. DC ni nafasi nyeti ya kuunganisha watendaji na jamii inayowazunguka. Kusimamia mambo ya ulinzi na usalama. Hii ni nafasi ya waandamizi kutoka katika utumishi au chama, wakiwa wamejaa utu uzima na busara za kumwagika. Leo unaenda kuokoteza wasanii na watu mitandaoni.
Naona Tanzania inapoteza uelekeo kabisa. Hawa jamaa wanatupa kazi sana kuirudisha Tanzania kwenye reli.
Mimi sijawahi kushuhudia uteuzi wa hovyo kama huu toka nizaliwe
Ovyo yake ni ni mkuu!Mbona iko njemavteuzi hiyo!Inasikitisha sana Tanzania sijui inaelekea wapi. DC ni nafasi nyeti ya kuunganisha watendaji na jamii inayowazunguka. Kusimamia mambo ya ulinzi na usalama. Hii ni nafasi ya waandamizi kutoka katika utumishi au chama, wakiwa wamejaa utu uzima na busara za kumwagika. Leo unaenda kuokoteza wasanii na watu mitandaoni.
Naona Tanzania inapoteza uelekeo kabisa. Hawa jamaa wanatupa kazi sana kuirudisha Tanzania kwenye reli.
Mimi sijawahi kushuhudia uteuzi wa hovyo kama huu toka nizaliwe
Tume maombi Chadema , wataishi bila stress yaniMama kaivunja UVCCM kabisa, MATAGA wanataga sasa, nasikia wanaleft kwenye magrupu yao.
Wengine wanatukana balaa
Msepende kumtaja taja Mungu kwenye fikra zenu yaani Mungu yupo kuwafuhisha nyie?Kweli Mkuu vetting ya hovyo kabisa Mwenyekiti kamati ya ulinzi na usalama wilaya.Mungu atusaidie na kutulinda kwa mkono wake tu.
siwezi mkuu. njaa ninayo ila siwezi kuigizaMkuu fungua account kwenye mitandao ya jamii.. uwe na followers wa kutosha. Mpongeze mama.
Utanishukuru badae.
Hakuna anaezaliwa Mkuu wa Wilaya, acha watu wapewe
nafasi wakiboronga watatupwa kampuni..
Nchi ni yetu sote acha tule keki kwa zamu.
Inasikitisha sana Tanzania sijui inaelekea wapi. DC ni nafasi nyeti ya kuunganisha watendaji na jamii inayowazunguka. Kusimamia mambo ya ulinzi na usalama. Hii ni nafasi ya waandamizi kutoka katika utumishi au chama, wakiwa wamejaa utu uzima na busara za kumwagika. Leo unaenda kuokoteza wasanii na watu mitandaoni.
Naona Tanzania inapoteza uelekeo kabisa. Hawa jamaa wanatupa kazi sana kuirudisha Tanzania kwenye reli.
Mimi sijawahi kushuhudia uteuzi wa hovyo kama huu toka nizaliwe
usimchukulie poa jokate,hakwenda kwenye ukuu wa wilaya kwa majaribio alienda kuendeleza yale aliyoyafanya kabla ya u DC.Wasanii nao ni watanzania, wapewe nafasi waonyeshe vipaji vyao mbona Jokate ameweza, tuwe wavumilivu tumor mama nafasi afanye kazi
Aisee uteuzi mbovu 75% .Yaani vyuo vya adminstrative vina changamoto,Kuna ma professor ,wahitimu weredi wakubwa.
Leo hii bongo movie,bongo fravour,Journalist Tena wachambaji wawe ma DC.
Nchi Bado inasafari ndefu Sana ,acha waendelee kututukana mpaka tuishike adabu
Hivi Ccm mnajisikiaje kuona watu wa upinzani wakija huko wanalamba teuzi? Hii inadhihirisha kuwa upinzani kuna vichwa makini!Msepende kumtaja taja Mungu kwenye fikra zenu yaani Mungu yupo kuwafuhisha nyie?
Wewe umepata mshtuko na roho imekuuma mno baada ya kuona kina Nassari wamepewa vyeo hamna jingine.
Sema tu umewaona kuna akina Nassar na Lijualikali mliowacheka day in and day out kwamba wamehadaliwa kwenda Sisiemu na kisha kutoswa. Shame!!!