barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Msiowapenda wote watakuwa madarakani.Mgonjwa mnae wenyewe na dozi yo yote ile haimfai maana ni marehemu anayesubiri tangazo la kifo chake
Ndo hivyo, mshaumia, mbona wengine kazi mpaka sasa wanapiga??dozi gari yenye matokeo hasi, anajalibu kuumiza watu nakusahau kutimiza malengo. kati ya hao mabwana sioni competent person katika utendaji, ila walijitahidi sana kutetea hadhi ya chama ndoo maana wamepewa heshima ya kula keki.
Wawepo madarakani tu maana miaka yote hiyo sioni faida zao. JK na vimwana JPM na Team 46+1M
Msiowapenda wote watakuwaadarakani.
Waisilam 4 ,wakiristo 17. Duu, udini kama kawaSasa ni wazi Rais Magufuli kaamua kufanya kazi na kuwapa vijana kipaumbele. Katika orodha inayotarajiwa kutajwa mwanzoni mwa wiki ijayo, kajaza vijana wengi wapya na kupiga chini wanaoshikilia nafasi hizo..... Miongozi mwa vijana hao ni.......
1. Salum Hapi
2. Mtela Mwampamba
3. Kimeta Mpui
4. Saul Mwaisenyi
5. Humphrey Pole Pole
6. Kunambi
7. Shaka H. Shaka
8. Shimbi Angelo
9. Haji Ngura
10. Sara Msafiri
11. Emmanuel Fute
12. Kasera Peter
13. Kangwila Reuben
14. Julius Mungure
15. Miraji Mtaturu
16. Chris Mauki
17. Fatuma Ally
19. Ezekiel Kimwaga
20. Eng. Robert Washija
21. Kipi Warioba
NB:.... Hawa ni miongoni, kama nilivyopata tetesi.... Next week kila kitu wazi...!
POLEPOLE NA MAKONDA. Tena Polepole apewe Kinondoni au Wilaya za Arusha.Wawepo madarakani tu maana miqaka yote hiyo sioni faida zao. JK na vimwana JPM na Team 46+1
Tanzania ina wilaya ngapi?? Akili yako imeharibika!Waisilam 4 ,wakiristo 17. Duu, udini kama kawa
Mimi nipo Arusha simjui Mkuu wa Mkoa wala Mkuu wa Wilaya hawanihusuPOLEPOLE NA MAKONDA. Tena Polepole apewe Kinondoni au Wilaya za Arusha.
Wewe ndio mdini. Kwanini ufikirie hayo masuala ya dini?? Kama wenzetu wakristo wanafaa acha wapewe.Waisilam 4 ,wakiristo 17. Duu, udini kama kawa
Ukiona jogoo kalala basi we si kijanaYule mbona ni Babu nashangaa yy kujiita kijana
Ndo hivyo, mshaumia, mbona wengine kazi mpaka sasa wanapiga??
Alafu mbaya zaidi wenzenu sisiemu ndo wanaweka kizazi kijacho cha utawala madarakani kupata exposure, nyie mnahangaika na wazee kima kingunge na el! Mko myopic kabisa.
List ina wakristo 95% ... subirini kidogo muone muujizaSasa ni wazi Rais Magufuli kaamua kufanya kazi na kuwapa vijana kipaumbele. Katika orodha inayotarajiwa kutajwa mwanzoni mwa wiki ijayo, kajaza vijana wengi wapya na kupiga chini wanaoshikilia nafasi hizo..... Miongozi mwa vijana hao ni.......
1. Salum Hapi
2. Mtela Mwampamba
3. Kimeta Mpui
4. Saul Mwaisenyi
5. Humphrey Pole Pole
6. Kunambi
7. Shaka H. Shaka
8. Shimbi Angelo
9. Haji Ngura
10. Sara Msafiri
11. Emmanuel Fute
12. Kasera Peter
13. Kangwila Reuben
14. Julius Mungure
15. Miraji Mtaturu
16. Chris Mauki
17. Fatuma Ally
19. Ezekiel Kimwaga
20. Eng. Robert Washija
21. Kipi Warioba
NB:.... Hawa ni miongoni, kama nilivyopata tetesi.... Next week kila kitu wazi...!
Next week mtapata ukweli kama mnafikiri nawadanganya....HIYO TARIFAA NI YA UKWELI AU NI UDAKU
safi sana, la msingi uwezo uzalendo uadilifu na uchapa kazi. sio kujaza walimbwende kwa kisingizio cha usawa wa kijinsia huku watu ni miziko tu.Sasa ni wazi Rais Magufuli kaamua kufanya kazi na kuwapa vijana kipaumbele. Katika orodha inayotarajiwa kutajwa mwanzoni mwa wiki ijayo, kajaza vijana wengi wapya na kupiga chini wanaoshikilia nafasi hizo..... Miongozi mwa vijana hao ni.......
1. Salum Hapi
2. Mtela Mwampamba
3. Kimeta Mpui
4. Saul Mwaisenyi
5. Humphrey Pole Pole
6. Kunambi
7. Shaka H. Shaka
8. Shimbi Angelo
9. Haji Ngura
10. Sara Msafiri
11. Emmanuel Fute
12. Kasera Peter
13. Kangwila Reuben
14. Julius Mungure
15. Miraji Mtaturu
16. Chris Mauki
17. Fatuma Ally
19. Ezekiel Kimwaga
20. Eng. Robert Washija
21. Kipi Warioba
NB:.... Hawa ni miongoni, kama nilivyopata tetesi.... Next week kila kitu wazi...!
Kwa maoni yangu, kinondoni apewe Kippi ili:POLEPOLE NA MAKONDA. Tena Polepole apewe Kinondoni au Wilaya za Arusha.
Ndugu, kwa maoni yangu, HATA KAMA ORODHA hii SI SAHIHI ukweli ni kuwa CCM watatumia sehemu kubwa ya WALIOSHINDWA UBUNGE kujaza nafasi za Wakuu wa Wilaya. Naomba uyaamini maoni yangu.....Sidhani kama ni sahihi..hii orodha.