Uthibitisho: Mwigulu Nchemba ni majina bandia ila vyeti ni vya kweli

Pasco mwiguru mchemba ni mwalifu katika taratibu za usajili wa mtu duniani kwani amekonfuse jamii, yaani ni kama amepoteza vinasaba (DNA) kama ukitokea ghafla ujamtafuta huwezi kujua pa kuanzia; kiumri alisoma akiwa mtu mzima sana kiasi kwamba alitakiwa atambue kuwa kujipoteza na kujipotosa ni kosa kwani ukipata ajali ukafa unaweza kukuta umezikwa mwanza wakati kwako singida .pia utaratibu wa sensa waweza kupata itilafu kwani ubini una utata, kitu kingine anamweka wasiwasi mamake mzazi kuwa uenda alimwibia siri kuwa sio mzaliwa halali wa kinyailamba ndio maana katika maelezo yake wakati anatafuta ubunge alipata shida kuyatambulisha haya majina ndio akaongezea lamerk madelu yani mtu mwenye madevu ndipo wakampa kura, je ikitokea babayake akataka wapime DNA si ndio kuhaibika zaidi. Tunataka sababu makini sio visababu vya kuokoteza
 
kafanya tukio kama ili. Najua umelipwa ili umtetee.
Hili ni kosa tuu la photo misplacement ni kosa la kawaida sana kwenye printing wakati wa designing au type setting ila hilo ni tangazo moja la mtu mmoja yule yule walichanganya tuu picha, wale mnaojua mambo ya matangazo, someni advert control number yenye maandishi madogo chini ya picha upande wa kulia. Wakarekebisha na kurudiwa kutangazwa.

Pasco
 
Maelezo yako ni mazuri lakini kama ulivyokili, Mwigulu ameacha maswali zaidi kuliko majibu!!

Ila kwa upande wangu ninafikiri ni lazima zoezi la vyeti liendane na la majina bandia. Ni kweli kabisa Mwigulu amepata vyeti vile kiahalali ila hiyo ya kuacha shule na kurudi baada ya miaka miwili anatuchomekea!! Na hapo ndipo utata ulipo!? Kwa nini aliporudi aliamua kutumia majina tofauti. Je jina lake lilikuwa limeshaondolewa kwenye roster!(register book)!? Kwa sisi tuliosoma miaka ile hii inawalakini mkubwa sana. Watu wengi waliokuwa wanafail darasa la saba walikuwa wanarudia darasa la tano kwa kuwa kwa kutumia majina ya watu walioacha shule. Na ilikuwa rahisi darasa la tano kuliko la sita kwa kuwa record za mwanafunzi kwa ajili ya mtihani wa darasa la saba zilikuwa hazijapelekwa huko juu (Mkoani ...nk.). Hata uhamisho kuanzia darasa la sita ulikuwa ni mgumu sana, la saba ilikuwa almost impossible!!

Off course issue ya Mwigulu ni bit complected kwa vile ni jasho lake ingawa inawezekana kwa jina la mwingine. Ila kama ni kweli ametumia jina la any drop out basi ni forgery kama forgery nyingine. Kwa nini nasema hivi? Kuna watu vile vile wametumia vyeti vya watu wengine may form four wakaenda wakasoma high school au vyuoni kwa kutumia akili zao na kufaulu vizuri tu na wanafanya kazi vizuri tu. Hili kundi halina tofauti na Mwigulu. Labda tofauti yao moja alifanya akiwa Primary school na mwingine baada ya secondary school.

On the other hand, naona kama hili zoezi lingeweza kufanyika tofauti kidogo. Badala ya kulenga vyeti kwanza wangelenga kwenye utendaji. Hii ni kwa sababu hili tatizo lilikuwa ni la kitaifa na ninaamini kila moja wetu walau anajua at least mtu moja mwenye hili tatizo. Inawezekana hata Rais awawafahamu watu au marafiki zake wa enzi zile. Hata Afrika ya Kusini walipopata uhuru waliamua kufanya reconciliation. Hii ilikuwa ni kusamehe yaliyotokea huko nyuma.

Off course kuna lile kundi ambalo wao wamechukua vyeti tu na kuvitumia kupata kazi moja kwa moja bila kuingia darasani. Hawa lazima waondolewe.
 
Mtaumiza vichwa sana. Ukweli ni kwamba Lameck Madelu Mkumbo alifanya mtihana wa darasa la saba akashindwa.

Baada ya kushindwa darasa la saba mara ya kwanza, Lameck Madelu Mkumbo akaamua kurudia shule ya msingi. Kwakuwa miaka hiyo kurudia shule ya msingi ilikuwa hairuhusiwi, ndipo Lameck Madelu Mkumbo, akachukua jina la Mwigulu Nchemba, kijana wa kisukuma aliyekuwa ameacha shule wakati huo akiwa darasa la tano.

Hivyo Lameck Madelu Mkumbo akasoma darasa la tano kwa kutumia jina la Mwigulu Nchemba hadi darasa la saba na akafaulu mtihani kwa jina hilo la Mwigulu Nchemba.

Hivyo Mwigulu Nchemba aka Lameck Madelu Mkumbo hakuiba cheti cha mtu bali alisoma kwa kutumia jina la mtu mwingine aliyekuwa ameacha shule wakati huo kwasababu zake.
 
Umenifurahisha sana Mkuu
 
kachukua jina la dactari kasome tena.
swissme
Mkuu Swiss Me, jina la dakitari, hakujichukulia yeye, bali mama alipokwenda hospitali, dakitari akashindwa kulielewa jina la mama, hivyo mama akatoa kibali kwa dakitari, basi mpe wewe jina, dakitari akatoa majina, hakuna tatizo lolote hapo!.
Japo ni very interesting!.

Pasco
 
Sidhani kama ni lazima jina la pili liwe la mzazi, mfano mimi jina langu la pili na tatu yote ni ya babu zangu, situmii jina la mzazi wala la ukoo! Wakati mwingine inasaidia sana kukuepusha na mambo mengi!
 
nyie mnamtetea mwigulu muna hoja nzuri naza kuvutia......lakini mwigulu mwenyewe hana hoja....hawezi kujitetea...kwanini hawezi kujitetea na kujenga hoja zilete mashiko?????????????/
yeye ndo anaejua ukweli..nahisi kuna uforgery fulani wa kutumia kacheti ka mwigulu OG wa vijijini
 
Jaribuni kujenga hoja sio kukurupuka.soma kipande kimoja kimoja cha lameck au nikusaidie kukata vipande hili ujue jamaa kaamua tena kudanganya


swissme
 
Mimi namfahamu kwa jina la gulo shumbi
Mkuu wewe kumfahamu kwa jina lolote hakujalishi, mtu anaweza kufahamika mahali fulani kwa jina fulani, la mahali pengine kwa jina jingine, kinachomatter ni jina lake halisi la ukweli ni nani!.

Pasco
 
Chabruma na Kigwa please, jitokezeni hapa kujibu tuhuma zinazowakabili. Pongezi kwake Mh. Lameck Madelu Mkumbo kwa ufafanuzi wake.
 
Ngoja tumalizane na hawa waliyoko serikarilini, kisha tutahamia kwenye vyama vya siasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…