Uthibitisho wa picha: Yanga ilifunga goli moja la halali kwenye mchezo dhidi ya Simba jana

Uthibitisho wa picha: Yanga ilifunga goli moja la halali kwenye mchezo dhidi ya Simba jana

Uponyaji na uzima

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2015
Posts
666
Reaction score
1,255
Huu ndio uhalisia wa magoli ya jana. Goli la kwanza la Yanga na lile la Simba yalikuwa halali. Mengine unaweza kuangalia picha hapa chini.

Goli la pili: Faulo ilifanyika na wachezaji wawili wa Simba waliangushwa na kukanyagwa.

Screenshot_20231106_202000_YouTube.jpg


Goli la tatu: Mzize alikuwa eneo la kuotea wakati anapokea pasi ya pacome na yeye kwenda kutoa assist.

Screenshot_20231106_202339_YouTube.jpg


Goli la nne: Aziz Ki alipokea pasi akiwa eneo la kuotea kabla hajampelekea Mzize aliyekuja kutoa assist

Screenshot_20231106_202615_YouTube.jpg


Goli la tano: Inonga ndiye aliuwahi mpira kwahiyo hapakuwa na penati.

Screenshot_20231106_202915_YouTube.jpg


Itakuwa jambo jema kwa TFF kuleta VAR kwenye ligi kuu ili kuboresha ubora wa mpira wa miguu hapa nchini.
 
Hahahahaha haya. Mpaka sasa bado hamjakubali?! Refa wa kati,wasaidizi wake,uwanja mzima,hawakuyaona hayo. Sasa na wewe si umeyaona baada ya kuchambua picha? Umezituma TFF na CAF wakasemaje!?
 
Huu ndio uhalisia wa magoli ya jana. Goli la kwanza la Yanga na lile la Simba yalikuwa halali. Mengine unaweza kuangalia picha hapa chini.

Goli la pili: Faulo ilifanyika na wachezaji wawili wa Simba waliangushwa na kukanyagwa.

View attachment 2806245

Goli la tatu: Mzize alikuwa eneo la kuotea wakati anapokea pasi ya pacome na yeye kwenda kutoa assist.

View attachment 2806253

Goli la nne: Aziz Ki alipokea pasi akiwa eneo la kuotea kabla hajampelekea Mzize aliyekuja kutoa assist

View attachment 2806254

Goli la tano: Inonga ndiye aliuwahi mpira kwahiyo hapakuwa na penati.

View attachment 2806255

Itakuwa jambo jema kwa TFF kuleta VAR kwenye ligi kuu ili kuboresha ubora wa mpira wa miguu hapa nchini.
hiyo ndo maana ya ule msemo YAANI MPAKA MSEMEE!!!
 
Mkuu umemaliza kila kitu. Bado safari ndefu ili mpira wetu uwe wa kimataifa.
 
Huu ndio uhalisia wa magoli ya jana. Goli la kwanza la Yanga na lile la Simba yalikuwa halali. Mengine unaweza kuangalia picha hapa chini.

Goli la pili: Faulo ilifanyika na wachezaji wawili wa Simba waliangushwa na kukanyagwa.

View attachment 2806245

Goli la tatu: Mzize alikuwa eneo la kuotea wakati anapokea pasi ya pacome na yeye kwenda kutoa assist.

View attachment 2806253

Goli la nne: Aziz Ki alipokea pasi akiwa eneo la kuotea kabla hajampelekea Mzize aliyekuja kutoa assist

View attachment 2806254

Goli la tano: Inonga ndiye aliuwahi mpira kwahiyo hapakuwa na penati.

View attachment 2806255

Itakuwa jambo jema kwa TFF kuleta VAR kwenye ligi kuu ili kuboresha ubora wa mpira wa miguu hapa nchini.
Ajengewe mnara
IMG_8628.jpeg
 
Huu ndio uhalisia wa magoli ya jana. Goli la kwanza la Yanga na lile la Simba yalikuwa halali. Mengine unaweza kuangalia picha hapa chini.

Goli la pili: Faulo ilifanyika na wachezaji wawili wa Simba waliangushwa na kukanyagwa.

View attachment 2806245

Goli la tatu: Mzize alikuwa eneo la kuotea wakati anapokea pasi ya pacome na yeye kwenda kutoa assist.

View attachment 2806253

Goli la nne: Aziz Ki alipokea pasi akiwa eneo la kuotea kabla hajampelekea Mzize aliyekuja kutoa assist

View attachment 2806254

Goli la tano: Inonga ndiye aliuwahi mpira kwahiyo hapakuwa na penati.

View attachment 2806255

Itakuwa jambo jema kwa TFF kuleta VAR kwenye ligi kuu ili kuboresha ubora wa mpira wa miguu hapa nchini.
1) kuhusu faulo, mchezaji wa Yanga ndio aliyekuwa na mpira na mazingira yaliyopo ni ngumu sana kujua ni yupi aliyefanyiwa madhambi kwasababu hata mchezaji wa Yanga alidondoka pia hivyo kuna uwezekano mkubwa ni kulikuwa na kugongana. Na pia kwenye mpira wa miguu sio kila mchezaji anapodondoka ni faulo bali saa zingine waamuzi hupeta faulo zingine ili mpira uchezeke kama tu akiziona ni ya kawaiida tu kwahiyo imetokea ikawa goli hata Simba wameshapata goli kwa staili hii hii katika michezo dhidi ya timu nyingine. Na sio Simba pekee bali zipo timu nyingi katika ulimwenguni wa soka limefungwa magoli ya aina hiyo.

2) ishu ya offside, sijaona picha yoyote iliyopaswa kuchukua angle ya kuonesha mtu yupo onside au offside position. Na kwa angle ulizoleta wewe hazitoi majibu ya offside position. Kila matukio yanakuwa na angle ya reference

3) penati kama unaikataa basi kwasababu ya ushabiki tu, Inonga hakuugusa hata mpira na mbaya zaidi mguu wake akaunyanyua juu hata baada ya kujua mpira kaukosa. Lengo tu ni kuhakikisha Max haendi mbele
 
Back
Top Bottom