ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Raila ni msumbufu sema Hashimu RungweNachokumbuka jana Putin wa simba kageuzwa raila odinga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Raila ni msumbufu sema Hashimu RungweNachokumbuka jana Putin wa simba kageuzwa raila odinga
Najua unatafuta Kilazima Kuingiliwa Kinyume na Maumbile na ndiyo maana Kutwa unapenda Kunishobokea na Kujipendekeza Kwangu. Tafadhali Mimi GENTAMYCINE sifanyi Dhambi hiyo iliyokataliwa na Mola / Maulana kupitia Vitabu vyake Vitakatifu vya Biblia na Quran.Sawa mdogo wake Selemani GENTAMYCINE umesikika haya tufanye mechi sare au tufanye mlitufunga moja bila, haya kakojoe ulale.
Wewe kenge kweli, acha kupotosha watu.Huu ndio uhalisia wa magoli ya jana. Goli la kwanza la Yanga na lile la Simba yalikuwa halali. Mengine unaweza kuangalia picha hapa chini.
Goli la pili: Faulo ilifanyika na wachezaji wawili wa Simba waliangushwa na kukanyagwa.
View attachment 2806245
Goli la tatu: Mzize alikuwa eneo la kuotea wakati anapokea pasi ya pacome na yeye kwenda kutoa assist.
View attachment 2806253
Goli la nne: Aziz Ki alipokea pasi akiwa eneo la kuotea kabla hajampelekea Mzize aliyekuja kutoa assist
View attachment 2806254
Goli la tano: Inonga ndiye aliuwahi mpira kwahiyo hapakuwa na penati.
View attachment 2806255
Itakuwa jambo jema kwa TFF kuleta VAR kwenye ligi kuu ili kuboresha ubora wa mpira wa miguu hapa nchini.
Huu ndio uhalisia wa magoli ya jana. Goli la kwanza la Yanga na lile la Simba yalikuwa halali. Mengine unaweza kuangalia picha hapa chini.
Goli la pili: Faulo ilifanyika na wachezaji wawili wa Simba waliangushwa na kukanyagwa.
View attachment 2806245
Goli la tatu: Mzize alikuwa eneo la kuotea wakati anapokea pasi ya pacome na yeye kwenda kutoa assist.
View attachment 2806253
Goli la nne: Aziz Ki alipokea pasi akiwa eneo la kuotea kabla hajampelekea Mzize aliyekuja kutoa assist
View attachment 2806254
Goli la tano: Inonga ndiye aliuwahi mpira kwahiyo hapakuwa na penati.
View attachment 2806255
Itakuwa jambo jema kwa TFF kuleta VAR kwenye ligi kuu ili kuboresha ubora wa mpira wa miguu hapa nchini.
Mkuu umefafanua vya kutosha, asiyeelewa shauri lake.Huu ndio uhalisia wa magoli ya jana. Goli la kwanza la Yanga na lile la Simba yalikuwa halali. Mengine unaweza kuangalia picha hapa chini.
Goli la pili: Faulo ilifanyika na wachezaji wawili wa Simba waliangushwa na kukanyagwa.
View attachment 2806245
Goli la tatu: Mzize alikuwa eneo la kuotea wakati anapokea pasi ya pacome na yeye kwenda kutoa assist.
View attachment 2806253
Goli la nne: Aziz Ki alipokea pasi akiwa eneo la kuotea kabla hajampelekea Mzize aliyekuja kutoa assist
View attachment 2806254
Goli la tano: Inonga ndiye aliuwahi mpira kwahiyo hapakuwa na penati.
View attachment 2806255
Itakuwa jambo jema kwa TFF kuleta VAR kwenye ligi kuu ili kuboresha ubora wa mpira wa miguu hapa nchini.
Watasemaaa tuu,maana WAMEUFYATA.
ChutamaHuu ndio uhalisia wa magoli ya jana. Goli la kwanza la Yanga na lile la Simba yalikuwa halali. Mengine unaweza kuangalia picha hapa chini.
Goli la pili: Faulo ilifanyika na wachezaji wawili wa Simba waliangushwa na kukanyagwa.
View attachment 2806245
Goli la tatu: Mzize alikuwa eneo la kuotea wakati anapokea pasi ya pacome na yeye kwenda kutoa assist.
View attachment 2806253
Goli la nne: Aziz Ki alipokea pasi akiwa eneo la kuotea kabla hajampelekea Mzize aliyekuja kutoa assist
View attachment 2806254
Goli la tano: Inonga ndiye aliuwahi mpira kwahiyo hapakuwa na penati.
View attachment 2806255
Itakuwa jambo jema kwa TFF kuleta VAR kwenye ligi kuu ili kuboresha ubora wa mpira wa miguu hapa nchini.
Ina uhalisia Fulani hiviHuu ndio uhalisia wa magoli ya jana. Goli la kwanza la Yanga na lile la Simba yalikuwa halali. Mengine unaweza kuangalia picha hapa chini.
Goli la pili: Faulo ilifanyika na wachezaji wawili wa Simba waliangushwa na kukanyagwa.
View attachment 2806245
Goli la tatu: Mzize alikuwa eneo la kuotea wakati anapokea pasi ya pacome na yeye kwenda kutoa assist.
View attachment 2806253
Goli la nne: Aziz Ki alipokea pasi akiwa eneo la kuotea kabla hajampelekea Mzize aliyekuja kutoa assist
View attachment 2806254
Goli la tano: Inonga ndiye aliuwahi mpira kwahiyo hapakuwa na penati.
View attachment 2806255
Itakuwa jambo jema kwa TFF kuleta VAR kwenye ligi kuu ili kuboresha ubora wa mpira wa miguu hapa nchini.
Unatamani mechi ingeisha 1 - 1, ila hizo ndoto, game iliisha 5 - 1. Amka usingizini.Goli la kwanza la Yanga na lile la Simba yalikuwa halali.
Ulishonda 5-0 kwa penat mwaisaUtopolo hawataki kusikia hzi mambo..hata mm ingekua timu yangu imefanya mafaulo kama hayo na ikaondoka na ushindi nisingetaka kusikia...
Bila Tatu Malogo leo habari zingekua zingineUtopolo hawataki kusikia hzi mambo..hata mm ingekua timu yangu imefanya mafaulo kama hayo na ikaondoka na ushindi nisingetaka kusikia...
Baada ya kuuona ushahidi huu na kuridhika bila shuruti, nimeyafuta matokeo na mechi itahesabika kuwa ni sare ya goli moja kwa tano.Huu ndio uhalisia wa magoli ya jana. Goli la kwanza la Yanga na lile la Simba yalikuwa halali. Mengine unaweza kuangalia picha hapa chini.
Goli la pili: Faulo ilifanyika na wachezaji wawili wa Simba waliangushwa na kukanyagwa.
View attachment 2806245
Goli la tatu: Mzize alikuwa eneo la kuotea wakati anapokea pasi ya pacome na yeye kwenda kutoa assist.
View attachment 2806253
Goli la nne: Aziz Ki alipokea pasi akiwa eneo la kuotea kabla hajampelekea Mzize aliyekuja kutoa assist
View attachment 2806254
Goli la tano: Inonga ndiye aliuwahi mpira kwahiyo hapakuwa na penati.
View attachment 2806255
Itakuwa jambo jema kwa TFF kuleta VAR kwenye ligi kuu ili kuboresha ubora wa mpira wa miguu hapa nchini.
Bila ulozi wenu leo tungekua tunasema mengine...Bila Tatu Malogo leo habari zingekua zingine