Uthibitisho wa picha: Yanga ilifunga goli moja la halali kwenye mchezo dhidi ya Simba jana

Uthibitisho wa picha: Yanga ilifunga goli moja la halali kwenye mchezo dhidi ya Simba jana

Sawa mdogo wake Selemani GENTAMYCINE umesikika haya tufanye mechi sare au tufanye mlitufunga moja bila, haya kakojoe ulale.
Najua unatafuta Kilazima Kuingiliwa Kinyume na Maumbile na ndiyo maana Kutwa unapenda Kunishobokea na Kujipendekeza Kwangu. Tafadhali Mimi GENTAMYCINE sifanyi Dhambi hiyo iliyokataliwa na Mola / Maulana kupitia Vitabu vyake Vitakatifu vya Biblia na Quran.
 
Mleta mada ni puga ambaye kimsingi misuli ya macho ilishalegea kwa kupigwa paipu hvo haioni vizuri.
 
Huu ndio uhalisia wa magoli ya jana. Goli la kwanza la Yanga na lile la Simba yalikuwa halali. Mengine unaweza kuangalia picha hapa chini.

Goli la pili: Faulo ilifanyika na wachezaji wawili wa Simba waliangushwa na kukanyagwa.

View attachment 2806245

Goli la tatu: Mzize alikuwa eneo la kuotea wakati anapokea pasi ya pacome na yeye kwenda kutoa assist.

View attachment 2806253

Goli la nne: Aziz Ki alipokea pasi akiwa eneo la kuotea kabla hajampelekea Mzize aliyekuja kutoa assist

View attachment 2806254

Goli la tano: Inonga ndiye aliuwahi mpira kwahiyo hapakuwa na penati.

View attachment 2806255

Itakuwa jambo jema kwa TFF kuleta VAR kwenye ligi kuu ili kuboresha ubora wa mpira wa miguu hapa nchini.
Wewe kenge kweli, acha kupotosha watu.
 
Huu ndio uhalisia wa magoli ya jana. Goli la kwanza la Yanga na lile la Simba yalikuwa halali. Mengine unaweza kuangalia picha hapa chini.

Goli la pili: Faulo ilifanyika na wachezaji wawili wa Simba waliangushwa na kukanyagwa.

View attachment 2806245

Goli la tatu: Mzize alikuwa eneo la kuotea wakati anapokea pasi ya pacome na yeye kwenda kutoa assist.

View attachment 2806253

Goli la nne: Aziz Ki alipokea pasi akiwa eneo la kuotea kabla hajampelekea Mzize aliyekuja kutoa assist

View attachment 2806254

Goli la tano: Inonga ndiye aliuwahi mpira kwahiyo hapakuwa na penati.

View attachment 2806255

Itakuwa jambo jema kwa TFF kuleta VAR kwenye ligi kuu ili kuboresha ubora wa mpira wa miguu hapa nchini.
Screenshot_20231106-180948_Instagram.jpg
 
Huu ndio uhalisia wa magoli ya jana. Goli la kwanza la Yanga na lile la Simba yalikuwa halali. Mengine unaweza kuangalia picha hapa chini.

Goli la pili: Faulo ilifanyika na wachezaji wawili wa Simba waliangushwa na kukanyagwa.

View attachment 2806245

Goli la tatu: Mzize alikuwa eneo la kuotea wakati anapokea pasi ya pacome na yeye kwenda kutoa assist.

View attachment 2806253

Goli la nne: Aziz Ki alipokea pasi akiwa eneo la kuotea kabla hajampelekea Mzize aliyekuja kutoa assist

View attachment 2806254

Goli la tano: Inonga ndiye aliuwahi mpira kwahiyo hapakuwa na penati.

View attachment 2806255

Itakuwa jambo jema kwa TFF kuleta VAR kwenye ligi kuu ili kuboresha ubora wa mpira wa miguu hapa nchini.
Mkuu umefafanua vya kutosha, asiyeelewa shauri lake.

Ova
 
Huu ndio uhalisia wa magoli ya jana. Goli la kwanza la Yanga na lile la Simba yalikuwa halali. Mengine unaweza kuangalia picha hapa chini.

Goli la pili: Faulo ilifanyika na wachezaji wawili wa Simba waliangushwa na kukanyagwa.

View attachment 2806245

Goli la tatu: Mzize alikuwa eneo la kuotea wakati anapokea pasi ya pacome na yeye kwenda kutoa assist.

View attachment 2806253

Goli la nne: Aziz Ki alipokea pasi akiwa eneo la kuotea kabla hajampelekea Mzize aliyekuja kutoa assist

View attachment 2806254

Goli la tano: Inonga ndiye aliuwahi mpira kwahiyo hapakuwa na penati.

View attachment 2806255

Itakuwa jambo jema kwa TFF kuleta VAR kwenye ligi kuu ili kuboresha ubora wa mpira wa miguu hapa nchini.
Chutama
 
Huu ndio uhalisia wa magoli ya jana. Goli la kwanza la Yanga na lile la Simba yalikuwa halali. Mengine unaweza kuangalia picha hapa chini.

Goli la pili: Faulo ilifanyika na wachezaji wawili wa Simba waliangushwa na kukanyagwa.

View attachment 2806245

Goli la tatu: Mzize alikuwa eneo la kuotea wakati anapokea pasi ya pacome na yeye kwenda kutoa assist.

View attachment 2806253

Goli la nne: Aziz Ki alipokea pasi akiwa eneo la kuotea kabla hajampelekea Mzize aliyekuja kutoa assist

View attachment 2806254

Goli la tano: Inonga ndiye aliuwahi mpira kwahiyo hapakuwa na penati.

View attachment 2806255

Itakuwa jambo jema kwa TFF kuleta VAR kwenye ligi kuu ili kuboresha ubora wa mpira wa miguu hapa nchini.
Ina uhalisia Fulani hivi
 
Utopolo hawataki kusikia hzi mambo..hata mm ingekua timu yangu imefanya mafaulo kama hayo na ikaondoka na ushindi nisingetaka kusikia...
 
VAR tuliona mapema mwaka juzi mwigulu akasema afunge viwanja vyote simba mkakataa
 
Huu ndio uhalisia wa magoli ya jana. Goli la kwanza la Yanga na lile la Simba yalikuwa halali. Mengine unaweza kuangalia picha hapa chini.

Goli la pili: Faulo ilifanyika na wachezaji wawili wa Simba waliangushwa na kukanyagwa.

View attachment 2806245

Goli la tatu: Mzize alikuwa eneo la kuotea wakati anapokea pasi ya pacome na yeye kwenda kutoa assist.

View attachment 2806253

Goli la nne: Aziz Ki alipokea pasi akiwa eneo la kuotea kabla hajampelekea Mzize aliyekuja kutoa assist

View attachment 2806254

Goli la tano: Inonga ndiye aliuwahi mpira kwahiyo hapakuwa na penati.

View attachment 2806255

Itakuwa jambo jema kwa TFF kuleta VAR kwenye ligi kuu ili kuboresha ubora wa mpira wa miguu hapa nchini.
Baada ya kuuona ushahidi huu na kuridhika bila shuruti, nimeyafuta matokeo na mechi itahesabika kuwa ni sare ya goli moja kwa tano.
 
Back
Top Bottom