Uthibitisho wa picha: Yanga ilifunga goli moja la halali kwenye mchezo dhidi ya Simba jana

Uthibitisho wa picha: Yanga ilifunga goli moja la halali kwenye mchezo dhidi ya Simba jana

Huu ndio uhalisia wa magoli ya jana. Goli la kwanza la Yanga na lile la Simba yalikuwa halali. Mengine unaweza kuangalia picha hapa chini.

Goli la pili: Faulo ilifanyika na wachezaji wawili wa Simba waliangushwa na kukanyagwa.

View attachment 2806245

Goli la tatu: Mzize alikuwa eneo la kuotea wakati anapokea pasi ya pacome na yeye kwenda kutoa assist.

View attachment 2806253

Goli la nne: Aziz Ki alipokea pasi akiwa eneo la kuotea kabla hajampelekea Mzize aliyekuja kutoa assist

View attachment 2806254

Goli la tano: Inonga ndiye aliuwahi mpira kwahiyo hapakuwa na penati.

View attachment 2806255

Itakuwa jambo jema kwa TFF kuleta VAR kwenye ligi kuu ili kuboresha ubora wa mpira wa miguu hapa nchini.
Mwiko unakusumbua sana!
 
Tuonyeshe na yakapombe aliyodaka mguu pia wa mdathir

IMG_0289.jpg

Baba esta bwana[emoji16][emoji16]
 
Huu ndio uhalisia wa magoli ya jana. Goli la kwanza la Yanga na lile la Simba yalikuwa halali. Mengine unaweza kuangalia picha hapa chini.

Goli la pili: Faulo ilifanyika na wachezaji wawili wa Simba waliangushwa na kukanyagwa.

View attachment 2806245

Goli la tatu: Mzize alikuwa eneo la kuotea wakati anapokea pasi ya pacome na yeye kwenda kutoa assist.

View attachment 2806253

Goli la nne: Aziz Ki alipokea pasi akiwa eneo la kuotea kabla hajampelekea Mzize aliyekuja kutoa assist

View attachment 2806254

Goli la tano: Inonga ndiye aliuwahi mpira kwahiyo hapakuwa na penati.

View attachment 2806255

Itakuwa jambo jema kwa TFF kuleta VAR kwenye ligi kuu ili kuboresha ubora wa mpira wa miguu hapa nchini.
Bado hamjasema, ila mutasema tu.
TABULELEEEE
 
Huu ndio uhalisia wa magoli ya jana. Goli la kwanza la Yanga na lile la Simba yalikuwa halali. Mengine unaweza kuangalia picha hapa chini.

Goli la pili: Faulo ilifanyika na wachezaji wawili wa Simba waliangushwa na kukanyagwa.

View attachment 2806245

Goli la tatu: Mzize alikuwa eneo la kuotea wakati anapokea pasi ya pacome na yeye kwenda kutoa assist.

View attachment 2806253

Goli la nne: Aziz Ki alipokea pasi akiwa eneo la kuotea kabla hajampelekea Mzize aliyekuja kutoa assist

View attachment 2806254

Goli la tano: Inonga ndiye aliuwahi mpira kwahiyo hapakuwa na penati.

View attachment 2806255

Itakuwa jambo jema kwa TFF kuleta VAR kwenye ligi kuu ili kuboresha ubora wa mpira wa miguu hapa nchini.
Ni zuzu na mjinga ataamini upakashume wako
 
Mashabiki wa hii timu ni tatizo wengi hamjui mpira mnaongozwa na mihemko🚮🚮

Mshapigwa ✋ tulieni rekebisheni makosa yenu haya ya kutafuta goli flani halikua halali haijawahi kuwa na msaada zaidi ya kujifariji tu.
 
Huu ndio uhalisia wa magoli ya jana. Goli la kwanza la Yanga na lile la Simba yalikuwa halali. Mengine unaweza kuangalia picha hapa chini.

Goli la pili: Faulo ilifanyika na wachezaji wawili wa Simba waliangushwa na kukanyagwa.

View attachment 2806245

Goli la tatu: Mzize alikuwa eneo la kuotea wakati anapokea pasi ya pacome na yeye kwenda kutoa assist.

View attachment 2806253

Goli la nne: Aziz Ki alipokea pasi akiwa eneo la kuotea kabla hajampelekea Mzize aliyekuja kutoa assist

View attachment 2806254

Goli la tano: Inonga ndiye aliuwahi mpira kwahiyo hapakuwa na penati.

View attachment 2806255

Itakuwa jambo jema kwa TFF kuleta VAR kwenye ligi kuu ili kuboresha ubora wa mpira wa miguu hapa nchini.


Mo, kocha, na Mume wenu Kibu Dennis kakubali, sasa wewe sijui una shida gani
 
Huu ndio uhalisia wa magoli ya jana. Goli la kwanza la Yanga na lile la Simba yalikuwa halali. Mengine unaweza kuangalia picha hapa chini.

Goli la pili: Faulo ilifanyika na wachezaji wawili wa Simba waliangushwa na kukanyagwa.

View attachment 2806245

Goli la tatu: Mzize alikuwa eneo la kuotea wakati anapokea pasi ya pacome na yeye kwenda kutoa assist.

View attachment 2806253

Goli la nne: Aziz Ki alipokea pasi akiwa eneo la kuotea kabla hajampelekea Mzize aliyekuja kutoa assist

View attachment 2806254

Goli la tano: Inonga ndiye aliuwahi mpira kwahiyo hapakuwa na penati.

View attachment 2806255

Itakuwa jambo jema kwa TFF kuleta VAR kwenye ligi kuu ili kuboresha ubora wa mpira wa miguu hapa nchini.
Basi tukubaliane hapa hapa! Matokeo Full time ni 1-1.
 
Back
Top Bottom