Vera ginger
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 1,458
- 1,887
Ni kweli asifungekwa faida ya wanaJF naomba usiufunge huu uzi mkuu, kama mshindi akipatikana uache tu uendelee ku trend
HaotoshiNafanya Utafiti wa Soko La Kuku, halafu Naenda Kijijini Kutafuta Kuku Kwa Bei Nafuu Naenda Kuuza Nilipoandaa Soko Ndani Ya Muda Huo Hela Yako Itakuwa Tayari.
yeah wadau bado wapo watajitokeza hata idea mbalimbali zitaendelea kutolewa....Ni kweli asifunge
Uzi mzuri na wapo watakaotokea humu na kutoa mtaji kwa mwenye idea nzr
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu umeshinda upewe tu hii helaHabari Mkuu
Mimi nitaitumia 50000/= katika mchanganuo ufuatao kupitia biashara ya mahindi ya kuchoma
Naishi temeke stereo jirani na soko hapo wanauza mahindi mabichi nami ndiyo biashara niliyowah kuifanya Tandika sokoni
Mchanganuo
Mahindi 50@300= 15000
Usafiri = 500
Mkaa. = 1500
Chumvi. = 300
Ndimu. = 300
Ushuru. = 500
Pilipili. = 300
JUMLA. 18900
MAUZO
Nitauza mhindi 1 kwa shilingi 800 hiyo kwa mahindi 50 kwa siku n shilingi ( 50×800= 40000)
jiko ninalo hivyo sihitaji kununua
JUMLA YA MAUZO - JUMLA YA MCHANGANUO.
40000 - 18900= 21100
kwa hyo ninauhakika wa kurudi na elfu 21100 kila siku kumbuka situmii nauli kurudi nyumbani
Ninauwezo wa kuuza mahindi 50 kwa sababu Tandika n sehemu ambayo inawatu wengi ni soko kubwa hvyo mwingiliano wa watu ni Mkubwa
Baada ya siku 7 ninauwezo wa kuwa na shilingi 147700
Pia kumbuka katika elfu 50 ya mtaji baada ya matumizi ya siku ya kwanza ilibaki (50000-18900= 31100) itabaki shilingi 31100 nitaitumia kuongeza mtaji taratibu kwa siku zinazofuata maana biashara sio siku zote huwa nzuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bless Cheaf.mkuu naendelea kukupa kongole
uko real sana bila kumsahau
Zero IQ
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hongera kwa wazo zuri,, kama ukikosa hii pesa nicheki PM tufanye kitu mkuuHabari Mkuu
Mimi nitaitumia 50000/= katika mchanganuo ufuatao kupitia biashara ya mahindi ya kuchoma
Naishi temeke stereo jirani na soko hapo wanauza mahindi mabichi nami ndiyo biashara niliyowah kuifanya Tandika sokoni
Mchanganuo
Mahindi 50@300= 15000
Usafiri = 500
Mkaa. = 1500
Chumvi. = 300
Ndimu. = 300
Ushuru. = 500
Pilipili. = 300
JUMLA. 18900
MAUZO
Nitauza mhindi 1 kwa shilingi 800 hiyo kwa mahindi 50 kwa siku n shilingi ( 50×800= 40000)
jiko ninalo hivyo sihitaji kununua
JUMLA YA MAUZO - JUMLA YA MCHANGANUO.
40000 - 18900= 21100
kwa hyo ninauhakika wa kurudi na elfu 21100 kila siku kumbuka situmii nauli kurudi nyumbani
Ninauwezo wa kuuza mahindi 50 kwa sababu Tandika n sehemu ambayo inawatu wengi ni soko kubwa hvyo mwingiliano wa watu ni Mkubwa
Baada ya siku 7 ninauwezo wa kuwa na shilingi 147700
Pia kumbuka katika elfu 50 ya mtaji baada ya matumizi ya siku ya kwanza ilibaki (50000-18900= 31100) itabaki shilingi 31100 nitaitumia kuongeza mtaji taratibu kwa siku zinazofuata maana biashara sio siku zote huwa nzuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa Nini wazo lako usiliimarishe zaidi na kuwapa HUDUMA wamiliki wa gesti kwa HUDUMA zote za chap na za kupumzikaMkuu, Mimi hapa ukinipatia Mtaji wa TZS 50,000 nitairejesha baada ya Miezi mitatu na nitaiwekeza katika huduma/biashara ya hii hapa chini:
Kwa shilingi elfu 50 utakayonipatia nitawekeza TZS 25000 kwenye kusajili jina la biashara brela na TZS 25000 kwenye kusajili domain name ambamo taarifa hzio zitawekwa.Mimi binafsi nitachangia gharama za kufanya hosting pamoja na gharama za kupata leseni ya biashara,gharama za nauli na uendeshaji kwa kipindi cha mwanzo.Iwapo utapenda kuwekeza zaidi katika biashara hii ili tuweze kuwa wabia tunaweza kujadili zaidi kwani wazo hili linahitaji mtaji wa TZS milioni 75 na lina potential ya kuleta mapato ya hadi milioni 150 kupitia huduma,matangazo commision n.k.
- Nitaanzisha taasisi ambayo italenga kutoa huduma kwa wenye nyumba na wapangaji ambayo sio real estate agent bali ni zaidi kwa ajili ya kuwasaidia wapangaji kufahamu ubora wa nyumba kwa kuzifanyia nyumba grading,mitaa grading kwa kutumia vigezo vya kitaalam.Na nitaanza kwa kutoa huduma hio kwa jiji la Dar es Salaa kwanza.Gharama ya huduma hio itakuwa ni nafuu ambapo mwenye nyumba atalipia kisha Mpangaji akitaka kufahamu iwapo nyumba au eneo husika limefanyiwa utafiti atapatiwa ripoti ya eneo husika.
- Ripoti hizo zitakuwa za kiswahili na zitaonesha,wastani wa gharama za maisha,ikiwamo kodi chakula,maji umeme.Uwepo wa huduma za elimu afya na burudani,vituo vya polisi,mawasiliano ya viongozi wa eneo husika,usalama na uhalifu.Fursa za ajira zilizopa maeneo ya karibu.Fursa za biashara zilizopo maeneo hayo.
- Vilevile mpangaji anaweza kuomba kufanyiwa utafiti huo kabla ya kuhamia eneo fulani.
- Kwa kupitia taarifa hio tunaweza kupima na kutoa taarifa juu ya maeneo mazuri kabisa kuishi na maeneo mabaya kabisa kuishi na pia taarifa yetu itakusaidia kufahamu fursa na changamoto za kila eneo bila kujali umbali wa eneo.
NB.Unaweza kutekeleza wazo hili ila hakikisha unawasiliana na mimi kwanza
10000 × 30 = 300000BIASHARA YA KUUZA CHIPS ZA KUPIMA KWA WANAFUNZI
Mahitaji :
Kuni : 10,000 (Hizi kuni nitanunua kwa siku ya kwanza tu kwasababu ndio naanza biashara,siku zinazofata sitonunua kuni za 10k nitakua nazunguka kwa mafundi Seremala nachukua mbao mbao,zitanifaa)
Matofali 3 @ 1500 (haya ni mafiga ya jiko langu)
Karai la chips : 9000
Ndoo ndogo mbili : 5000
Mafuta ya kula liter 3 : 9000
Deli la kuwekea chipsi zangu : 4000
tomato: 1500
kachumbari : 3000
viazi:8000
magazeti : 2000
visosi/visahani:5000
Vifaa vingine vidogo vidogo : ninavyo nyumbani (kisu,chumvi,nknk)
Total : 48,000 ( 50,000 - 48,000 = 2000 hii itakua yangu ya kula siku ya kwanza nipo kazini)
Kwenye kuuza nitakua napima chipsi kuanzia za sh.200 mpk 1000,nina uwezo wakuingiza Faida kwenye hii biashara zaidi ya 10,000 per day x 30 = 300,000
itakapofika mwisho wa mwezi nitaweza kukurudishia ile 50,000 yako mkuu,hiyo ni uhakika Kama tu Shetani hatocheza na Afya yangu, Na Kwa Jina la YESU hatoweza.
Ni kweli ila wazo langu limelenga zaidi kutatua kero za makazi hasa katika miji mikubwa kwa kuhakikisha kwamba mtu anao uwezo wa kupata taarifa ya eneo lolote lile kabla ya kuhamia na kufahamu iwapo sehemu husika itamfaa kwa kutumia mbinu za kitaalam.Kwa Nini wazo lako usiliimarishe zaidi na kuwapa HUDUMA wamiliki wa gesti kwa HUDUMA zote za chap na za kupumzika
Sent using Jamii Forums mobile app
Shukran mkuuMkuu hongera kwa wazo zuri,, kama ukikosa hii pesa nicheki PM tufanye kitu mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu jamaa nimemfuatilia kiukwel wazo lake linatekelezeka hasa ukiangalia kitu amabacho MTU yeyote anaweza kufanyamkuu umeshinda upewe tu hii hela
Shukran mkuuHuyu jamaa nimemfuatilia kiukwel wazo lake linatekelezeka hasa ukiangalia kitu amabacho MTU yeyote anaweza kufanya
Hata asiposhinda namm pia anicheki pm nione namna ya kumsaidia tunahtj Mawazo kama haya
HUYU NDIYE MSHINDI WANGU
Sent using Jamii Forums mobile app
kabisa mkuu jamaa yuko vizuriHuyu jamaa nimemfuatilia kiukwel wazo lake linatekelezeka hasa ukiangalia kitu amabacho MTU yeyote anaweza kufanya
Hata asiposhinda namm pia anicheki pm nione namna ya kumsaidia tunahtj Mawazo kama haya
HUYU NDIYE MSHINDI WANGU
Sent using Jamii Forums mobile app
ntaenda kununua mbuzi wawili kwa 25000@ kila mmoja, ntachinja nna uhakika wa kupata 20 kwa siku hivo nna uhakika wa kupata hyo 50 kwa wiki,
Sent using Jamii Forums mobile app
ntaenda kununua mbuzi wawili kwa 25000@ kila mmoja, ntachinja nna uhakika wa kupata 20 kwa siku hivo nna uhakika wa kupata hyo 50 kwa wiki,
Sent using Jamii Forums mobile app
Wazo zuri ,hivi wanzuki SI Ni jamii ya beer ile?