Uthubutu: Kijana atakayeelezea jinsi atakavyoizalisha elfu 50 ndani ya mwezi mmoja nitamkopesha bila riba

Uthubutu: Kijana atakayeelezea jinsi atakavyoizalisha elfu 50 ndani ya mwezi mmoja nitamkopesha bila riba

Habari Mkuu

Mimi nitaitumia 50000/= katika mchanganuo ufuatao kupitia biashara ya mahindi ya kuchoma

Naishi temeke stereo jirani na soko hapo wanauza mahindi mabichi nami ndiyo biashara niliyowah kuifanya Tandika sokoni

Mchanganuo
Mahindi 50@300= 15000
Usafiri = 500
Mkaa. = 1500
Chumvi. = 300
Ndimu. = 300
Ushuru. = 500
Pilipili. = 300

JUMLA. 18900


MAUZO

Nitauza mhindi 1 kwa shilingi 800 hiyo kwa mahindi 50 kwa siku n shilingi ( 50×800= 40000)

jiko ninalo hivyo sihitaji kununua

JUMLA YA MAUZO - JUMLA YA MCHANGANUO.


40000 - 18900= 21100

kwa hyo ninauhakika wa kurudi na elfu 21100 kila siku kumbuka situmii nauli kurudi nyumbani

Ninauwezo wa kuuza mahindi 50 kwa sababu Tandika n sehemu ambayo inawatu wengi ni soko kubwa hvyo mwingiliano wa watu ni Mkubwa

Baada ya siku 7 ninauwezo wa kuwa na shilingi 147700

Pia kumbuka katika elfu 50 ya mtaji baada ya matumizi ya siku ya kwanza ilibaki (50000-18900= 31100) itabaki shilingi 31100 nitaitumia kuongeza mtaji taratibu kwa siku zinazofuata maana biashara sio siku zote huwa nzuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu umeshinda upewe tu hii hela
 
Habari Mkuu

Mimi nitaitumia 50000/= katika mchanganuo ufuatao kupitia biashara ya mahindi ya kuchoma

Naishi temeke stereo jirani na soko hapo wanauza mahindi mabichi nami ndiyo biashara niliyowah kuifanya Tandika sokoni

Mchanganuo
Mahindi 50@300= 15000
Usafiri = 500
Mkaa. = 1500
Chumvi. = 300
Ndimu. = 300
Ushuru. = 500
Pilipili. = 300

JUMLA. 18900


MAUZO

Nitauza mhindi 1 kwa shilingi 800 hiyo kwa mahindi 50 kwa siku n shilingi ( 50×800= 40000)

jiko ninalo hivyo sihitaji kununua

JUMLA YA MAUZO - JUMLA YA MCHANGANUO.


40000 - 18900= 21100

kwa hyo ninauhakika wa kurudi na elfu 21100 kila siku kumbuka situmii nauli kurudi nyumbani

Ninauwezo wa kuuza mahindi 50 kwa sababu Tandika n sehemu ambayo inawatu wengi ni soko kubwa hvyo mwingiliano wa watu ni Mkubwa

Baada ya siku 7 ninauwezo wa kuwa na shilingi 147700

Pia kumbuka katika elfu 50 ya mtaji baada ya matumizi ya siku ya kwanza ilibaki (50000-18900= 31100) itabaki shilingi 31100 nitaitumia kuongeza mtaji taratibu kwa siku zinazofuata maana biashara sio siku zote huwa nzuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hongera kwa wazo zuri,, kama ukikosa hii pesa nicheki PM tufanye kitu mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, Mimi hapa ukinipatia Mtaji wa TZS 50,000 nitairejesha baada ya Miezi mitatu na nitaiwekeza katika huduma/biashara ya hii hapa chini:
  1. Nitaanzisha taasisi ambayo italenga kutoa huduma kwa wenye nyumba na wapangaji ambayo sio real estate agent bali ni zaidi kwa ajili ya kuwasaidia wapangaji kufahamu ubora wa nyumba kwa kuzifanyia nyumba grading,mitaa grading kwa kutumia vigezo vya kitaalam.Na nitaanza kwa kutoa huduma hio kwa jiji la Dar es Salaa kwanza.Gharama ya huduma hio itakuwa ni nafuu ambapo mwenye nyumba atalipia kisha Mpangaji akitaka kufahamu iwapo nyumba au eneo husika limefanyiwa utafiti atapatiwa ripoti ya eneo husika.
  2. Ripoti hizo zitakuwa za kiswahili na zitaonesha,wastani wa gharama za maisha,ikiwamo kodi chakula,maji umeme.Uwepo wa huduma za elimu afya na burudani,vituo vya polisi,mawasiliano ya viongozi wa eneo husika,usalama na uhalifu.Fursa za ajira zilizopa maeneo ya karibu.Fursa za biashara zilizopo maeneo hayo.
  3. Vilevile mpangaji anaweza kuomba kufanyiwa utafiti huo kabla ya kuhamia eneo fulani.
  4. Kwa kupitia taarifa hio tunaweza kupima na kutoa taarifa juu ya maeneo mazuri kabisa kuishi na maeneo mabaya kabisa kuishi na pia taarifa yetu itakusaidia kufahamu fursa na changamoto za kila eneo bila kujali umbali wa eneo.
Kwa shilingi elfu 50 utakayonipatia nitawekeza TZS 25000 kwenye kusajili jina la biashara brela na TZS 25000 kwenye kusajili domain name ambamo taarifa hzio zitawekwa.Mimi binafsi nitachangia gharama za kufanya hosting pamoja na gharama za kupata leseni ya biashara,gharama za nauli na uendeshaji kwa kipindi cha mwanzo.Iwapo utapenda kuwekeza zaidi katika biashara hii ili tuweze kuwa wabia tunaweza kujadili zaidi kwani wazo hili linahitaji mtaji wa TZS milioni 75 na lina potential ya kuleta mapato ya hadi milioni 150 kupitia huduma,matangazo commision n.k.

NB.Unaweza kutekeleza wazo hili ila hakikisha unawasiliana na mimi kwanza
Kwa Nini wazo lako usiliimarishe zaidi na kuwapa HUDUMA wamiliki wa gesti kwa HUDUMA zote za chap na za kupumzika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
BIASHARA YA KUUZA CHIPS ZA KUPIMA KWA WANAFUNZI

Mahitaji :

Kuni : 10,000 (Hizi kuni nitanunua kwa siku ya kwanza tu kwasababu ndio naanza biashara,siku zinazofata sitonunua kuni za 10k nitakua nazunguka kwa mafundi Seremala nachukua mbao mbao,zitanifaa)

Matofali 3 @ 1500 (haya ni mafiga ya jiko langu)
Karai la chips : 9000
Ndoo ndogo mbili : 5000
Mafuta ya kula liter 3 : 9000
Deli la kuwekea chipsi zangu : 4000
tomato: 1500
kachumbari : 3000
viazi:8000
magazeti : 2000
visosi/visahani:5000
Vifaa vingine vidogo vidogo : ninavyo nyumbani (kisu,chumvi,nknk)
Total : 48,000 ( 50,000 - 48,000 = 2000 hii itakua yangu ya kula siku ya kwanza nipo kazini)

Kwenye kuuza nitakua napima chipsi kuanzia za sh.200 mpk 1000,nina uwezo wakuingiza Faida kwenye hii biashara zaidi ya 10,000 per day x 30 = 300,000

itakapofika mwisho wa mwezi nitaweza kukurudishia ile 50,000 yako mkuu,hiyo ni uhakika Kama tu Shetani hatocheza na Afya yangu, Na Kwa Jina la YESU hatoweza.
 
BIASHARA YA KUUZA CHIPS ZA KUPIMA KWA WANAFUNZI

Mahitaji :

Kuni : 10,000 (Hizi kuni nitanunua kwa siku ya kwanza tu kwasababu ndio naanza biashara,siku zinazofata sitonunua kuni za 10k nitakua nazunguka kwa mafundi Seremala nachukua mbao mbao,zitanifaa)

Matofali 3 @ 1500 (haya ni mafiga ya jiko langu)
Karai la chips : 9000
Ndoo ndogo mbili : 5000
Mafuta ya kula liter 3 : 9000
Deli la kuwekea chipsi zangu : 4000
tomato: 1500
kachumbari : 3000
viazi:8000
magazeti : 2000
visosi/visahani:5000
Vifaa vingine vidogo vidogo : ninavyo nyumbani (kisu,chumvi,nknk)
Total : 48,000 ( 50,000 - 48,000 = 2000 hii itakua yangu ya kula siku ya kwanza nipo kazini)

Kwenye kuuza nitakua napima chipsi kuanzia za sh.200 mpk 1000,nina uwezo wakuingiza Faida kwenye hii biashara zaidi ya 10,000 per day x 30 = 300,000

itakapofika mwisho wa mwezi nitaweza kukurudishia ile 50,000 yako mkuu,hiyo ni uhakika Kama tu Shetani hatocheza na Afya yangu, Na Kwa Jina la YESU hatoweza.
10000 × 30 = 300000

hao wanafunz utawauzia chips mpaka jmosi na jumapili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa Nini wazo lako usiliimarishe zaidi na kuwapa HUDUMA wamiliki wa gesti kwa HUDUMA zote za chap na za kupumzika

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli ila wazo langu limelenga zaidi kutatua kero za makazi hasa katika miji mikubwa kwa kuhakikisha kwamba mtu anao uwezo wa kupata taarifa ya eneo lolote lile kabla ya kuhamia na kufahamu iwapo sehemu husika itamfaa kwa kutumia mbinu za kitaalam.
 
Ni Beer pure na lengo langu ni kuibrand na kutengeneza vifungashio vya brandi yangu, kupanua production na kuongeza wigo wa supply kufikia mikoa mingine.
Hata TBL hawakuanza maeneo yote!
Hata Banana Walianzia K'njaro na Chuga tu leo wanabamba kila kona.
Wazo zuri ,hivi wanzuki SI Ni jamii ya beer ile?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom