Aman Igalawa
Member
- Jun 30, 2014
- 10
- 13
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mimi nataka 50 tu wala sitaki zaidiumeambiwa 50 au hujui kusoma namba
Ukiona mawazo yanayeyuka basi sasa hivi huna shidaKila nkifikilia niipate hiyo hela mawazo yana yeyuka sijui kwanin
Sent using Jamii Forums mobile app
Shukran kwakunitia moyo japo najua wapo wenye mawazo mazuri piaPeramiho yetu,
Am interested with your thought. Nami mleta Uzi naishi Temeke si mbali na Tandika. Keshokutwa nitamtangaza champion na Ijumaa nitampa pesa
Shukran Mkuu japo kuna watu wana maoni ya kukatisha tamaa pia kuna watu wanamawazo mazuri pia
Me na wazo la kuuza dawa za nguvu za kiume kama upo serious sema nitiririke hapa naamin utanipa hyo fifte yako
Ni kweli Mkuu kila kitu n uthubutu wako Mkuu kuwa na wazo n hatua moja kifanikiwa ni kitu kingineHesabu za kwenye karatasi rahisi sanaa kuliko uhalisia wenyewe [emoji124][emoji124] Peramiho yetu,
Hiyo 50 haitoshi
Wait anipe ruhusa muhusikaTiririka mzee
Kweli na sio kula tunda kimasiharaHivi ndivyo JF inapaswa iwe inanikumbusha JF ya kipindi hicho!!
Big up mleta mada