Mzingo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 4,729
- 10,500
0.9MX2=1.8MTechnically unachosema ni kwamba yule wa 2mil ashushwe ili awe anaipata 1.4m.
Kwa ufupi ni kwamba unasema mwenye mshahara wa 2mil ASHUSHWE.
Hiyo ndio roho mbaya ninayozungumzia hapa sasa. Sasa huyo akishushwa inakuwa imekusaidia nini wewe kwa mfano.
0.9MX2.5=2.25M bado hajamfikia wa 2.4M
Kwamba watu wawili wanafanya kazi za serikali moja ,level ya elimu/utaalam ni ile ile. Mmoja akiwa analipwa mshahara wa watu wawili wa watu wengine Na chenji 600k. Kwako wewe roho nzuri ni 900k abaki hapo hapo na 2.4M abakie hapo hapo. Mimi nimesema 2.4 ashuke hadi 1.4M ili 0.9M apande hadi 1.4. Au mmoja 1.6M kwa 1.6. Roho mbaya ni mmoja kulipwa zaidi ya Mara mbili ya mwenzie.
NB: nimechukulia kwamba serikali inawezakataa kuongeza 0.9M afike 2.4M kwa vile itajitetea kuwa itabidi itafute itoe more money badala take izigawanye inazotoa sasa