Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ingetuchukua miaka 1000! Na sijui wao wangekuwa wapi! Labda safari nyingine!Hata wasingeleta tungeyafikia kuteknolojia
Kama tuna behave kama sokwe utasemaje! Tunapewa msaada wa vyandalua na kuchimbiwa vyoo! Inafikirisha sana.Ndio maana wakasema mtu mweusi ametokana na Sokwe, je unajikubari wewe ni Sokwe?
Tatizo liko kwenye culture na mind-set. Hivi vitu kuvibadilisha ni ngumu mno.Kama tuna behave kama sokwe utasemaje! Tunapewa msaada wa vyandalua na kuchimbiwa vyoo! Inafikirisha sana.
Hujafanya tafiti za kutosha ndugu yangu, na pia unanisikitisha sana ambavyo unajiona duni mbele ya jamii nyingine. Huwa nikiwasoma watu wengi kama ninyi, huwa ndiyo napata kufahamu kwamba mzungu alifanikiwa kwa asilimia 100% kumtawala mtu mweusi, kwasababu ameshikilia fikra zetu. Kiufupi mimi nakukubali sana Nankumene japo katika hili naomba niendelee kukukusoa na kama kuna kitu nakosea naomba niambie nifahamu. Niko tayari kujifunza vitu vipya:achana na hao kina gadafi, mtu mweusi km mtu mweusi hajafanya kitu chochote kilicholeta mapinduzi dunia hii, tumesoma akina pythagoras, archimedes mpk kizazi cha kina newton na enstein.....hukuti mtu mweusi huko, mtu mweusi hana hata historia ile ya kusema mwaka68 BC kulikua na watu somewhere tanganyika wakifanya 1,2.3 ila jamii zingine maendeleo yao unaweza kuyatrace tangu muda huo na bbu zao waliandika hizo historia ambazo zipo mpk leo, tatizo la tu mweusi limeanzia mbali kwann huyu mtu mweusi ye hana hata historia na hajashiriki katika mapinduzi makubwa ya sayansi na hisabati? ana tabu gan huyu?
Tutabalishaje hiyo mind set? Tunakua na Rais mwenye PHD, anaongoza serikali nzima, na wananchi kwenda kupokea ndege airport karne ya leo! Wasted hours, wengine wanatoka Dodoma na magari ya serikali just kuja pokea ndege! Sasa huoni tu kuna vichwani mwetu haviko sawa!Tatizo liko kwenye culture na mind-set. Hivi vitu kuvibadilisha ni ngumu mno.
Yote hayo sawa! Now what really happened? Hizo nadharia usizimeze nzima nzima! Hali tuliyonayo huwezi kusema ilisababishwa na ukoloni tu! Kuna la ziada ndani ya akili zetu.Kama hoja ya utajiri ni umasikini basi naomba nikujibu tu:
India (The Mughal Empire) katika mwaka 1700 ilishawahi kuwa ndiyo taifa tajiri zaidi duniani ambalo lilichangia asilimia 27% ya pato zima la dunia (Global GDP). Kipindi hiki pia, India ndiyo lilikuwa taifa lenye viwanda vikubwa na vya kisasa duniani ambavyo vilizalisha asiliamia 25% ya bidhaa zote duniani (Global Industrial Output)..........
Haya sijayasema mimi, bali mwanahistoria wa Uingereza Prof Ian Morris kwenye kitabu chake kiitwacho WHY THE WEST RULES FOR NOW: THE PATTERNS OF HISTORY AND WHAY THEY REVEAL ABOUT THE FUTURE. Humu ndani ameeleza mambo mazito na ya kushangaza ambayo ukiyazingatia utakuja kufahamu neno moja tu kwamba, History is fickle and not static/linear.....
Ukizingatia historia ya Ulaya kwa katika kipindi chote cha karne za 18-21, basi unaweza kudhani hakuna jamii nyingine duniani ambayo ishawahi kuwa na nguvu kama wazungu. Lakini ukweli mchungu ni kwamba kipindi Waajemi wanatawala dunia (Pax Persica- The Achaemenid Empire) walihisi kwamba hawatakuja kuanguka. Waliwatala hadi Wagiriki kwa miaka zaidi ya 200, lakini wakala chali......
Tutabalishaje hiyo mind set? Tunakua na Rais mwenye PHD, anaongoza serikali nzima, na wananchi kwenda kupokea ndege airport karne ya leo! Wasted hours, wengine wanatoka Dodoma na magari ya serikali just kuja pokea ndege! Sasa huoni tu kuna vichwani mwetu haviko sawa!
Usimkufuru Muumba wako, na wala usimdhihaki Mungu......Namaelezo yote mazuri,na historia nzuri uliyoitoa, imesaidiaje mtu mweusi! Bado tulifungwa minyororo tukaingizwa kwenye meli! Maybe with very minimal resistance !
Just fast forward, miaka ya 60 tukapata uhuru wetu, viongozi wetu wengi wakawa kina Mobutu, Bokassa, Nguema nk.
Je huoni kuna kitu fulani unexplainable about black race! Kwa tunaomini kuna Mungu labda tunakubali fumbo la imani God created us that way!
Au kwa wanoamini evolution, ni kwamba tuko bado kwenye process,mzungu aliisha tuacha 1000 years!
Nakubaliana kabisa na wewe, kwamba matatizo ya Afrika, siyo ukoloni peke yake.....Yote hayo sawa! Now what really happened? Hizo nadharia usizimeze nzima nzima! Hali tuliyonayo huwezi kusema ilisababishwa na ukoloni tu! Kuna la ziada ndani ya akili zetu.
Siamini kabisa mimi ni duni! Ukweli unaonyesha sisi ni duni! Hizo elimu za waamisri! Na kina Mwanamutapa Zimbambwe zilienda wapi! Tumekutwa kwenye mapango ! Tumenunulia kwa gololi! Tumebadilishiwa culture etc.Usimkufuru Muumba wako, na wala usimdhihaki Mungu......
Lakini pia usiangalie historia ya dunia katika kurunzi ya karne za 17-21, huwezi kupata majibu sahihi.
Nina mengi sana ya kusema, lakini nadhani hatutaelewana kwasababu umeshaamini kwamba wewe ni duni.
Mimi sio sokwe.Ndio maana wakasema mtu mweusi ametokana na Sokwe, je unajikubari wewe ni Sokwe?
Naona tunakubaliana!Nakubaliana kabisa na wewe, kwamba matatizo ya Afrika, siyo ukoloni peke yake.....
Matatizo ya Afrika ni mengi mno, zaidi ya yale ya kiuchumi na kisiasa, japo sisi tunayazingatia tu haya mawili...
Sasa kwanini mnajifananisha na Sokwe na kujiona km kwamba hamna Akili km Sokwe?Mimi sio sokwe.
LABDA UKOO WENU MKUU.
Ndugu zangu msiniue [emoji16][emoji16] naziona athari za wazungu kuandika historia yetu hadi kufuatilia inakuwa shida
Ndugu yangu kama wewe nadhani hujawahi hata kufuatilia empire kama zimbabwe [emoji16]
Ukifuatilia civilization ya duniani utajua nchi za mwanzo kustaarabika ni nchi za Asia na Africa kaskazini kipindi ambacho hata, wazungu walionekana primitive
Kikafuata kipindi cha Rome & Britain kutokana na teknolojia ya majini na silaha, hadi sasa kuna marekani ambaye nae alifika juu kutokana na vita kuu za dunia..
Je, unaweza kujua ni nani atafuata
Hivyo, historia haipo kwa ajili ya leo tu, kesho inawezekana kuwa tofauti
teamWest vs teamEast , teamKobaz vs teamUpendo , teamUrusi vs TeamUkraine , team2Pac vs TeamBIG , hizi timu zote zipo miongon mwetu ila kiuhalisia hazituhusu ila kosa letu hatupendi vya ndani , the only smart race is ethiopians , those guys are royal to their ethnicity and raceHatuja punjwa Akili mzee..ila tulizidiwa Akili wakati waarabu na wakoloni wanakuja kuchunguza Bara letu tukadhani wamekuja kwa nia njema bila kutafakari kwa kina ujio wao..Wazee na mababu zetu niseme na kuwaita walikuwa VILAZA, wapumbavu, wajinga na wakakosa umoja waka anza kusalitiana wao kwa wao...yani Machief wetu walishiriki kutoa taarifa nyingi sana na kuwapa wakoloni Kama taarifa za kiulinzi, majeshi,imani zao, walitoa taarifa zote muhimu na kuwa ambia waarabu na wazungu...Sasa baada ya waarabu na wazungu kupata taarifa zote muhimu wakarudi kujipanga sasa kwa Uvamizi..wakajua udhaifu wetu ni kukosa umoja hivyo wakazidi kutugawa na kutugombanisha na kuchochea chuki baina yetu...Mfano mdogo tu Mangi mandara wa wachaga alishirikiana na wajerumani ili tu amzidi Mangi Meli kiutawala ..Huu si ujinga huu.!!!...
Wazungu wao ni wajanja sana toka zamani waliweka tofauti zao pembeni wakaungana kwenye kila nyanja kiuchumi, kiulinzi, kifedha..ndio maana leo hii kuna Umoja wa Nchi za Ulaya (EU),wana umoja wa kujihami NATO,makao yote makuu ya nchi zote yapo kwao United Nations (UN),Benki kuu ya dunia(WB), mashirika makubwa yote ya kielimu, kiafya yapo kwao....
Waafrika wenye Akili walikuwepo kina Muammar Gadaffi, Nkurumah, wanaharakati weusi kina Malcolm x, Martin Luther king Jr, Muhammad Ali, walitoa michango mikubwa sana kutaka AFRICA iungane tuwe kitu kimoja, sema kutokana na Akili za waafrika wengi zilivyo za kijinga, kimaskini, zenye chuki binafsi,ukabila,uchu wa madaraka Zinachangia kuzima na kukatisha tamaa za Waafrika wachache wenye Akili na upeo kuendeleza mapambano ya Afrika kuungana...mfano ni sisi wenyewe watanzania tulimpinga sana Magufuli kisa tu ali ingilia uhuru wa wahujumu uchumi,ajira hewa.. vibaraka wa wazungu....Kwa ufupi ni kwamba mchawi wa Mwafrika ni mwafrika mwenyewe tangu zamani.
Nakuunga mkono.
Nina mfano mwepesi.
Nikiwa shule advance kulikuwa na shida ya chakula yaani kupata mboga za majani ilikuwa ni tabu na wote mnajua kerocya maharage kila siku.
Nilipropose kwa mwalimu mkuu kwamba kwa kuwa hatua 20 toka eneo la shule pana kijito kikubwa kinachotiririsha maji miezi 10 kwa mwaka na pia pembeni pana ardhi yenye rutuba basi tunaomba atupe ruhusa ili tulime pasiwe na shida ya mboga.
Nasikitika ya kuwa alinisikiliza halafu huyo akaenda zake.
Hii ipo Africa mno mkuu. Jaribu kuongea na watu walioishi nje kidogo ukienda kazini hujui boss Ni Nani wote wako on time Ila Sasa sie kidogo kacheo unataka uwe recognized. Huu Ni kweli usiopingika. Huwazi namna ya kuwekeza kwa kizazi chako Cha tano Ila unawaza hotel Kali,gari Kali, suti ya 10M ,wapambe wote Hawa unatoa hela na sio kuwa unaingiza.naona unakataa ukwelipersonal priority na sio kigezo cha akili.
Na kwenye swala la mtu kuwa na mlin
Waarabu walifanya haya yafuatayo katika historia yao:Siamini kabisa mimi ni duni! Ukweli unaonyesha sisi ni duni! Hizo elimu za waamisri! Na kina Mwanamutapa Zimbambwe zilienda wapi! Tumekutwa kwenye mapango ! Tumenunulia kwa gololi! Tumebadilishiwa culture etc.
Utasemaje? Are we superio?