Utofauti wa Mwafrika na watu wengine hauko kwenye rangi tu, hata akili. Mtu mweusi kapunjwa akili

Utofauti wa Mwafrika na watu wengine hauko kwenye rangi tu, hata akili. Mtu mweusi kapunjwa akili

Kwa jinsi ulivyojieleza hapa huu ni mfano mzuri wa ukosefu wa akili ulio nao. Una haki ya kujisikia vibaya kuambiwa hivyo but the truth is the truth. Uwezo mkubwa wa akili ya mtu huwa reflected kwenye tabia na matendo ya mtu husika.
Hapana mimi ni mtu mzima kiasi cha kutosha kutojisikia vibaya kwa vimaneno, opinions na personal perspectives za mtu binafsi zinazo-lack credibility and void of technical research evidence. Lakini hii inaexplain akili yako ilivyo, maana yake uko sensitive kwa vitu vidogo. Now huo ndio wa kuita uwezo mdogo wa akili, immaturity.

Elon Musk anapost memes twitter na jokes, ana mwanamke kila sehemu anapoenda vilevile ana multi billion dollars companies 7 ikiwemo Tesla na SpaceX.
Kwa maana yako hiyo Elon Musk hana akili sababu tabia na matendo yake vinareflect ujinga?
 
Kila tatizo na kiwango chake, matatizo ya waafrika sio magumu wanayopitia wengine
Contradiction.
Kama matatizo ya waafrika yana utofauti na matatizo wanayopitia wengine then kwanini unathubutu kufananisha viwango vya utatuzi wa matatizo kati ya Wazungu na Waafrica?
 
Contradiction.
Kama matatizo ya waafrika yana utofauti na matatizo wanayopitia wengine then kwanini unathubutu kufananisha viwango vya utatuzi wa matatizo kati ya Wazungu na Waafrica?
Inategemea na aina ya matatizo,mfano wao kwenye joto hawawezi ishi nasi kwenye baridi,mafuriko,vimbunga atuwezi
 
Kuna mtu anaiba fedha za umma zaidi ya bilioni 500, mfano vitongoji huko Nigeria, akina Mobutu etc Sasa huyu mtu anachukua fedha nyingi za umma ambazo wala hataweza kuzitumia na kuimaliza. Mtu kama huyu unadhani ana akili nzuri??
Hivi ulisoma comment yangu ya mwanzo kabla ya hii uliyoquote?
Kama ungekuwa na akili basi bila shaka ungegundua hii comment imabase kwenye tabia binafsi (mtu kuamua kuitwa au kutokuitwa boss).

Ndio huyo mtu hana akili, lakini hauwezi kufananisha huo mfano na mtu asiyetaka kuitwa boss.
 
Inategemea na aina ya matatizo,mfano wao kwenye joto hawawezi ishi nasi kwenye baridi,mafuriko,vimbunga atuwezi
Maana yake unamaanisha viwango na vipimo vya matatizo n ugumu wake ni tofauti kwa kila jamii hivyo ni fikra potofu kufananisha uwezo wa akili wa jamii moja na nyingine.
Sababu viwango vya ugumu wa matatizo husika ndio vina determine uwezo wa akili wa jamii husika. maana yake itakuwa ni upotofu kufananisha uwezo wa akili wa jamii hizi mbili tofauti.
Ndio uwezo wa akili unakuwa reflected juu ya uwezo wa utatuzi wa changamoto lakini changamoto haziwezi kufanana kwa kila jamii, kitu ambacho ni wazi.

Point hapa sio kwamba waafrica hawana akili. wanazo lakini zimekuwa determined na changamoto zinazowakabili.
Na hicho kitu bila shaka ni hereditary maana yake wanarithishana huo uwezo accordingly kwa vizazi vingine.
Lakini hicho kitu hakiwezi kuwa milele, Mwafrica ukimpa changamoto ngumu ataitatua sababu ni kawaida ya kila binadamu kubadilika, kuevolve, kudevelop kuendana na mazingira. hivyo maana yake waafrica wanazo akili kuendana na changamoto na mazingira yao. Kwanini mtu ajifunze kulima kama miti ya matunda imejiotea kila mahali?
Hauwezi kufananisha mtu anayetafuta suluhu ya maji safi na mtu anayetafuta suluhu ya kusafiri nje ya dunia.

Hivyo nasema hapana na sio kweli kwamba waafrica hawana akili.
Waafrica wanazo akili.
 
Jibu ni moja tu sisi miili yetu ni special kuvumilia shida za kila namna majungu kieleele kusifu ujinga uchawi upumbavu roho mbaya so tuta endeleaje kwa mantiki hiyo tungekuwa na miili kama ya watu weupe hakika asinge baki mtu duniani ngozi nyeusi ni special kuvumilia shida za duniani
 
Viongozi wa Afrika wanajisifia kuwa na Elimu kubwa na kupenda kusifiwa utasikia mchumi daraja la kwanza wakati out put ni zero huwezi kuona hizo sifa kwenye Nchi zilizoendelea...Mchumi anashauri VAT kwenye transit goods au Mchumi atashauri Tozo kwenye hela iliyokaa tuu bank kwa akili hizi tutaendelea kuwasifia wazungu bure..
 
Hujakosea lakini mentality ya unyonge ndio hio ninayoizungumzia. Tumeshaingia katika system ya kuamini solutions za nje kuliko za ndani na hata viongozi wetu pia imekuwa ni shida kama nilivyosema..

Hakuna initiative dhahiri za kutto ka tulipo

acha kuleta hoja za ovoyo. Muafrica ni mnyama pori
 
Narudi mezani napata jibu ni Mungu tu kwasababu zake mwenyewe ameamua kumpunja Mwafrika akili maana hata Waaafrika ambao wangezaliwa na kuishi huko Amerika na Asia hawaishiwi ulimbukeni na ushamba.
Tatizo lilianzia hapa; MWANZO 9:18-27.
 
Nakuunga mkono.
Nina mfano mwepesi.

Nikiwa shule advance kulikuwa na shida ya chakula yaani kupata mboga za majani ilikuwa ni tabu na wote mnajua kerocya maharage kila siku.
Nilipropose kwa mwalimu mkuu kwamba kwa kuwa hatua 20 toka eneo la shule pana kijito kikubwa kinachotiririsha maji miezi 10 kwa mwaka na pia pembeni pana ardhi yenye rutuba basi tunaomba atupe ruhusa ili tulime pasiwe na shida ya mboga.

Nasikitika ya kuwa alinisikiliza halafu huyo akaenda zake.
Mtaje na jina kabisa [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Viongozi wengi baada ya mataifa mengi kupata Uhuru waligeuka miungu watu kwa kujifanya Wana akili Sana ndio maana ilifika muda wengine wakajitangaza kuwa marais wa maisha Kama wakina Kamuzu Banda.

Viongozi ambao walikuwa na sifa tele kuja kupinduliwa Kama bwana Nkwame Nkurumah wa Ghana kwa sera mbovu na utawala wa hovyo,Tanzania na sera yetu ya ujamaa iliua Uchumi mpaka kufikia muda sukari ikawa bidhaa ya anasaa na watu kuvaa kaniki mpaka hivi Sasa huwezi ongea suala la umasikini Tanzania pasi kuangalia athari za ujamaa.

Viongozi wengine wasomi wakubwa kufanya Mambo ya hovyo ukilinganisha na elimu zao mfano ni Robert Mugabe na Zimbabwe yake

Ukiangalia kwa umakini mkubwa utakuja kugundua kwamba Afrika ya wakoloni ilikuwa bora kuliko Afrika ya wakoloni weusi.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mimi sometimes huwa nahisi zile struggle za uhuru viongozi wengi wa kiafrika walikuwa wanataka tu wapate kutawala.
 
Hapana mimi ni mtu mzima kiasi cha kutosha kutojisikia vibaya kwa vimaneno, opinions na personal perspectives za mtu binafsi zinazo-lack credibility and void of technical research evidence. Lakini hii inaexplain akili yako ilivyo, maana yake uko sensitive kwa vitu vidogo. Now huo ndio wa kuita uwezo mdogo wa akili, immaturity.

Elon Musk anapost memes twitter na jokes, ana mwanamke kila sehemu anapoenda vilevile ana multi billion dollars companies 7 ikiwemo Tesla na SpaceX.
Kwa maana yako hiyo Elon Musk hana akili sababu tabia na matendo yake vinareflect ujinga?
Nitie neno!!
Kwa kiwango alichopo Musk twaweza sema ni sahihi afanye hayoo uloyataja,


kwa kiwango cha matajiri uchwara wa kiafrika/weusi si sahihi kufanya anasa kupitiliza kama ambavyo baadhi hufanya.Hii ni kwasababu bado wanalodeni kubwa la kuwalipia waliowazunguka na hata nchi yao!
 
Practical to what.

Anyways, vyoo tumejenga, tumekunya miaka yote hiyo wala hatukufa....Hivyo vyoo unvyodai, kuna wataalaam wanakwambia vyoo vya kukaa vinachangia kubakiza mavi tumboni, vinachangia magonjwa kadhaa na hata saratani....kunya shimoni raha, ukitoka mwepesi(ila kunanuka kama hapajakuwa na mfumo mzuri wa kutoa na kuingiza hewa) lakini kinajitosheleza. Isitoshe, kwa matajiri kuna vyoo vya kuchuchumaa....nenda Uarabuni! Vingine vya dhahabu!

Turudi kwenye mada.
Sasa kwa nini waliomba kuchimbiwa na wafadhili kama sio upungufu wa akili tunaozumguzia hapa! Hii ndio mada!

Tuna vyoo vya shimo! Tumekunya maporini! All was fine according to your mentality! Why call mfadhili?

Akili zetu zina giza! Ni tusi kubwa ambalo tumejitukanisha wenyewe!
Au huelewi bado huelewi mada yetu!
 
Back
Top Bottom