Andrew Tate
JF-Expert Member
- Jun 28, 2020
- 4,503
- 6,861
Hapana mimi ni mtu mzima kiasi cha kutosha kutojisikia vibaya kwa vimaneno, opinions na personal perspectives za mtu binafsi zinazo-lack credibility and void of technical research evidence. Lakini hii inaexplain akili yako ilivyo, maana yake uko sensitive kwa vitu vidogo. Now huo ndio wa kuita uwezo mdogo wa akili, immaturity.Kwa jinsi ulivyojieleza hapa huu ni mfano mzuri wa ukosefu wa akili ulio nao. Una haki ya kujisikia vibaya kuambiwa hivyo but the truth is the truth. Uwezo mkubwa wa akili ya mtu huwa reflected kwenye tabia na matendo ya mtu husika.
Elon Musk anapost memes twitter na jokes, ana mwanamke kila sehemu anapoenda vilevile ana multi billion dollars companies 7 ikiwemo Tesla na SpaceX.
Kwa maana yako hiyo Elon Musk hana akili sababu tabia na matendo yake vinareflect ujinga?