Utovu wa nidhamu alioulea mwenyewe umemgeukia Lema. Hii ni aibu kwa chama kikuu cha upinzani

Utovu wa nidhamu alioulea mwenyewe umemgeukia Lema. Hii ni aibu kwa chama kikuu cha upinzani

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
14,588
Reaction score
32,361
Hakika hii ni wiki mbaya sana kwa chama cha Mbowe. Kitendo cha makada kutukanana mitandaoni ni kukivua nguo chama. Kilichonishtua sana leo ni kuona bingwa wa kulea vijana wasio na nidhamu ndugu Lema akijibiwa kwa dharau ya hali ya juu mtandaoni na mmoja wa vijana wa chama chake. Hakika hili ni jambo la kushtusha sana.

Lema alijitokeza kutaka kuwatuliza vijana wa CHADEMA waliokuwa wakitukanana ila akaambulia kudharaulika kama ambavyo inavyosomeka kwenye screenshot. Kama mwenyekiti chama wa kanda anaweza kudharaulika kiasi hiki vipi mwenyekiti wa wilaya au mkoa? Hakika CHADEMA bado hakijajipanga kabisa kushika dola. Nadhani tuwape ACT ili wachukue nafasi ya chama kikuu cha upinzani.
Screenshot_20240412-184611_X.jpg
 
Hakika hii ni wiki mbaya sana kwa chama cha Mbowe. Kitendo cha makada kutukanana mitandaoni ni kukivua nguo chama. Kilichonishtua sana leo ni kuona bingwa wa kulea vijana wasio na nidhamu ndugu Lema akijibiwa kwa dharau ya hali ya juu mtandaoni na mmoja wa vijana wa chama chake. Hakika hili ni jambo la kushtusha sana.

Lema alijitokeza kutaka kuwatuliza vijana wa CHADEMA waliokuwa wakitukanana ila akaambulia kudharaulika kama ambavyo inavyosomeka kwenye screenshot. Kama mwenyekiti chama wa kanda anaweza kudharaulika kiasi hiki vipi mwenyekiti wa wilaya au mkoa? Hakika CHADEMA bado hakijajipanga kabisa kushika dola. Nadhani tuwape ACT ili wachukue nafasi ya chama kikuu cha upinzani.
View attachment 2961791
Sasa huo ndio kuonyesha chama kiko hai. Kwani maneno aliyosema Ndugai yangeleta madhara gani,kama yangepingwa kwa hoja zilizoshiba na akabakia kuwa spika? Huko Marekani wanaomkosoa Biden au Trump unafikiri wote ni wapinzani!! Ni uhuru wa mawazo na ndicho kitu muhimu sana kwenye nchi yoyote.
 
Hakika hii ni wiki mbaya sana kwa chama cha Mbowe. Kitendo cha makada kutukanana mitandaoni ni kukivua nguo chama. Kilichonishtua sana leo ni kuona bingwa wa kulea vijana wasio na nidhamu ndugu Lema akijibiwa kwa dharau ya hali ya juu mtandaoni na mmoja wa vijana wa chama chake. Hakika hili ni jambo la kushtusha sana.

Lema alijitokeza kutaka kuwatuliza vijana wa CHADEMA waliokuwa wakitukanana ila akaambulia kudharaulika kama ambavyo inavyosomeka kwenye screenshot. Kama mwenyekiti chama wa kanda anaweza kudharaulika kiasi hiki vipi mwenyekiti wa wilaya au mkoa? Hakika CHADEMA bado hakijajipanga kabisa kushika dola. Nadhani tuwape ACT ili wachukue nafasi ya chama kikuu cha upinzani.
View attachment 2961791
Niliwahi msikia aliyekuwa mwenezi wa ccm akimtukana husein bashe hii unaisemeaje bwashee?
 
Mama samia 25 nimesikia makonda anasema mawazori wako wanawatuma watu wakutukune

Hilo unalisemeaje kabla ya kujadili hili la chadema
 
Niliwahi msikia aliyekuwa mwenezi wa ccm akimtukana husein bashe hii unaisemeaje bwashee?
Kwa hiyo kama wanaCCM walikosea inahalalisha nyie kukosea kama wao? Nyie ni CCM B? Kama ni CCM B si bora tuendelee kuchagua CCM Og badala ya copy?
 
Sasa huo ndio kuonyesha chama kiko hai. Kwani maneno aliyosema Ndugai yangeleta madhara gani,kama yangepingwa kwa hoja zilizoshiba na akabakia kuwa spika? Huko Marekani wanaomkosoa Biden au Trump unafikiri wote ni wapinzani!! Ni uhuru wa mawazo na ndicho kitu muhimu sana kwenye nchi yoyote.
Chama kiko hai kwenye matusi?
 
Hakika hii ni wiki mbaya sana kwa chama cha Mbowe. Kitendo cha makada kutukanana mitandaoni ni kukivua nguo chama. Kilichonishtua sana leo ni kuona bingwa wa kulea vijana wasio na nidhamu ndugu Lema akijibiwa kwa dharau ya hali ya juu mtandaoni na mmoja wa vijana wa chama chake. Hakika hili ni jambo la kushtusha sana.

Lema alijitokeza kutaka kuwatuliza vijana wa CHADEMA waliokuwa wakitukanana ila akaambulia kudharaulika kama ambavyo inavyosomeka kwenye screenshot. Kama mwenyekiti chama wa kanda anaweza kudharaulika kiasi hiki vipi mwenyekiti wa wilaya au mkoa? Hakika CHADEMA bado hakijajipanga kabisa kushika dola. Nadhani tuwape ACT ili wachukue nafasi ya chama kikuu cha upinzani.
View attachment 2961791
Chadema imeparanganyika,mnyika anataka kumuoa Lady jaydee,wengine wanatukanana mtandaoni,Lema anamuunga mkono makonda,lissu kaungana rasmi na zitto ametangaza leo kupitia clouds yaani wehu tu ndio wapo chadema
 
Chadema imeparanganyika,mnyika anataka kumuoa Lady jaydee,wengine wanatukanana mtandaoni,Lema anamuunga mkono makonda,lissu kaungana rasmi na zitto ametangaza leo kupitia clouds yaani wehu tu ndio wapo chadema
Mmmmm.
 
Chadema imeparanganyika,mnyika anataka kumuoa Lady jaydee,wengine wanatukanana mtandaoni,Lema anamuunga mkono makonda,lissu kaungana rasmi na zitto ametangaza leo kupitia clouds yaani wehu tu ndio wapo chadema
Hii ina ukweli gani??
 
Konda boy kasema bogus wa lumumba 💩💩💩 mnalipwa pesa za kununulia pedi ili mumtukane maza
 
Hivi bado masaa mangapi RC awataje mawaziri wanaomtukana mama yake?
 
Kwani kuna asiyewajua chadema kwa matusi? Kwani watu hawaoni wanavyotusumbua hapa jukwaani kwa kurusha mitusi wanapokosa au kuzidiwa hoja? Wahenga walisema: what goes around comes around. Baada kutukana sisi huku majukwaani, now the chicken have come home to roost.
 
Back
Top Bottom