Utovu wa nidhamu alioulea mwenyewe umemgeukia Lema. Hii ni aibu kwa chama kikuu cha upinzani

Kwahiyo CHADEMA mnapigania tupate demokrasia ya matusi?
Matusi kwenye mitandao ya kijamii ni jambo la kawaida, huenda ww ni mzee hivyo umeingia huku kwa bahati mbaya. Ni sawa na uende stand ukute matusi, useme watu wamepigania stand ijengwe Ili watu watukane.
 
Matusi kwenye mitandao ya kijamii ni jambo la kawaida, huenda ww ni mzee hivyo umeingia huku kwa bahati mbaya. Ni sawa na uende stand ukute matusi, useme watu wamepigania stand ijengwe Ili watu watukane.
Hapa tunaongelea matusi baina ya viongozi wa chama kikuu cha upinzani. Mpuuzi kama wewe Tindo huna madhara kwa chama hata ukitukana siku nzima.
 
Saiv ni mwaka wa4 ACT ikiwa km chama kikuu cha upinzani sa sjui unataka kiwe chama kikuu mara ngap
 
Hapa tunaongelea matusi baina ya viongozi wa chama kikuu cha upinzani. Mpuuzi kama wewe Tindo huna madhara kwa chama hata ukitukana siku nzima.
Hiyo ndio inatakiwa sio mambo ya ndio mzee.
 
Kama ilivyo aibu kwa serikali ya CCM pale RC anasema kuna mawaziri wa mama wanamtukana mama. Ni aibu kwa serikali kabisa
 
Bado unaweza kumtetea Ntobi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…