Utumishi wana mfumo mbovu wa ajira, mfumo unakataa wenye vigezo

Utumishi wana mfumo mbovu wa ajira, mfumo unakataa wenye vigezo

GOSSO MZEKEZEKE

Senior Member
Joined
Dec 13, 2013
Posts
180
Reaction score
204
Habari.

Mimi nimemaliza diploma ya records, najaribu kuomba kazi ya records iliyotangazwa kupitia utumishi, naamwiwa "check your academic qualification".

Sasa mimi nina diploma hiyo ya records na nyie mmesema mnahitaji mwenye diploma ya records, inakuaje mfumo unikatae? na ili niweze kufanikiwa natakiwa nifanyeje? kama kuna namba ya simu naombeni jamani niwatafute.
 
Ingia kwenye home page ya account yako chini kabisa utaona namba zao za huduma kwa wateja....
 
Habari.

Mimi nimemaliza diploma ya records, najaribu kuomba kazi ya records iliyotangazwa kupitia utumishi, naamwiwa "check your academic qualification".

Sasa mimi nina diploma hiyo ya records na nyie mmesema mnahitaji mwenye diploma ya records, inakuaje mfumo unikatae? na ili niweze kufanikiwa natakiwa nifanyeje? kama kuna namba ya simu naombeni jamani niwatafute.

Wapigie wanapokea na watakusaidia mkuu
 
Back
Top Bottom