Utumwa katika picha: Hivi iliwezekana vipi? Mbona Waarabu, Wahindi, Wachina hawakufanywa slaves?

Utumwa katika picha: Hivi iliwezekana vipi? Mbona Waarabu, Wahindi, Wachina hawakufanywa slaves?

Labda tuombe mwalimu wa MMEM, kama wapo hapa wakufundishe.

Labda unapotafuta mwalimu wa MMEM, unaweza kujiburudisha hapa.


Ikiwa una ushahidi wa kutosha kuhusu Waarabu na biashara ya utumwa tupia picha humu.
 
Waafrica lazima muwe watumwa! sijakosea ni lazima mtumikishwe tena mnoooooo! kosa kubwa la sisi kuwa hivi ni babu zetu walikataa kumuabudu Mungu! akawaambia mtarudishwa Misri kwa majahazi! mtajiuza kwa mabwana zenu hamta nunuliwa!

Hii adhabu mnastahili acha iwatafune km haitoshi Mungu alisema na huko mtaabudu msicho kijua!..na kweli ..ndo km huyu yesu mzungu. soma kumbukumbu la torati
 
Wachina waliwahi kuwa watumwa wa Japan
Hizo ni propaganda za kimagaharibi! kupotezea uhalali wa utumwa wa Mwafrica!! sababu unahusishwa na Unabii wa Biblia! hata wayahudi wa leo, (wazungu), wanasema waliuawa kinyama Ujermani, si kweli,

Matajiri hawa, sema mwenyewe nani atamuua tajiri aliye kamata uchumi wa Dunia? Rangi pekee iliyouzwa, ikapandishwa kwenye majahazi, km ilivo tabiriwa kwa kuvumilia shida za utumwa ni mtu mweusi tu!

wazungu mpaka leo wanatamani ile hali ya kuwa watumwa lkn hawawezi! wakipangwa kwenye mazingira machafu tu wanakufa faster! jua la saa sita mpaka kumi mzungu anakuwa dehydrated mpaka kifo, msipomtundikia maji haraka! sasa angalia machinga wanakula mwendo mpaka kibaha! jua joto vyote vyao!

Akilazwa Temeke Hosipital pale ward ya wanaume! lazima afe faster! akiwekwa sero za msimabazi atakufa kwa upele tu!! unaona mafua tu, yanavyo wamaliza km kuku!
 
Wote wote wabaya tu, sio mwarabu wala mzungu! kwani wazungu walipochukua watumwa walikuwa bado hawajawa Wakristo au?
Ukristo na uislamu ndio janga kuu kabisa yaliyowahi kuwafanya Waafrica watumwa
 
Kuamini kuwa hakuna historia ya Mwaafrika zaidi ya kuwa ni mtumwa ni mpangilio wa kum "brainwash" Mwaafrika na kumfanya ajione duni (inferior) siku zote.

Naamini kuwa historia ya Mwafrika ni zaidi ya utumwa ambao tunaaminishwa kuwa ni historia pekee iliopo na kwa ujuha wa wengi wetu tunaamini hilo kabisa (ushahidi, tazama kwa makini hii nyuzi). Mfumo wetu wa elimu tumeurithi kwa hao hao wanaotaka kutuaminisha kuwa Mwaafrika si lolote si chochote hadi hii leo.

Fungukeni muijuwe historia ya ukweli na mtaelewa kwamba hata watawala wa Kiafrika wa zamani walikuwa wana watumwa.

Ukiiingia historia kwa umakini utabaini kuwa ustaarabu wa awali duniani ulikuwa Afrika, mahekalu na majumba makubwa makubwa yalikuwa Afrika na watawala walikuwa Waafrika na watumwa walikuwa Waafrika na wengineo pia hapa hapa Afrika.

Waafrika walitawala mpaka baadhi ya Asia kwa miaka na miongo kadhaa na kuwa na watumwa wa kila aina (Soma kisa cha Queen of Sheba).

Soma vizuri historia ya Vasco Da Gama alipokuja, msafara wake uliikuta Kilwa imeendelea, ina majumba ya ghorofa yenye rangi, wakati Uropa walikuwa hawajui rangi ni nini, walikuta Waafrika wanatawala na wanafanya biashara mpaka China, wakati Uropa hata njia ya kwenda India tu walikuwa hawaijui.

Walikuta tayari Kilwa mpaka Sofala utawala wa Kiafrika wanatumia sarafu za dhahabu wakati wao hawakutegemea hilo. Walikuta Kilwa watu wanavaa hariri wakati wao walikuwa hawajui hariri ni nini! Isitoshe walikuta watu wanatumia sahani za kauri kutoka China (chinaware) wakati wao ndio mara ya kwanza wamezionea kauri Kilwa.

Walikuta majumba yanapambwa kwa tiles za vigae, kuanzia sakafu mpaka kuta mpaka dari ushahidi ni mabaki ya majumba Kilwa, (Kilwa ruins) ambayo mabaki hayo yamewekwa, yamefanywa kuwa kumbukumbu za kihistoria duniani (world historical heritage).

Yote hayo hatuyaoni wala hatuna haja ya kuyaona wala kuyachunguza zaidi kwa kuwa mrengo wa elimu tuliowachiwa na wakoloni (wazungu) na ndiyo tunayoiendeleza, umetufunika vichwa vyetu na kutujaza ujinga tujione kuwa Waafrika ni duni.

Bila kufunguwa vichwa vyetu na kuisaka na kuitafuta historia ya zaidi ya Mwaafrika kuwa ni mtumwa tu, hatutafunguka na tutaendelea kuwa Watumwa.

Nionavyo, utumwa wa Mwaafrika uko ndani ya vichwa zaidi, vilivyorubuniwa kuwa duni kwa kuaminishwa kuwa historia pekee iliopo ya Mwaafrika ni mtumwa. Naamini Afrika kuna historia kubwa zaidi ya utumwa.

Sijui kwanini mnaingizwa mkenge na wazungu ili mjione kuwa Waafrika siku zote ni duni na nyie mnaingia kichwa kichwa!

Miafrika Ndivyo Tulivyo - Nyani Ngabu
Minyororo imefungwa kwenye Ubongo,,Wazungu na waarabu na wengine wote nje ya watu weusi,,wanatubrainwash,, kwasababu wanatuogopa,wanajua ukuu wetu utukufu wetu,,ndio maana wanajitahidi kututoa kwenye mstari,,,ila ipo siku tutajitambua,,tumeanzisha kila wanachotumia wanachotengeza na wanavyoviona( , Black power)
 
Wakuu,

Mwelekeo tu wa thread hii,unaonyesha wazi kuwa WAAFRIKA TUNA MATATIZO ndani ya vichwa vyetu!
Hapa mleta hoja alikuwa anatuamsha na tuone jinsi hawa wakoloni walivyotufanya wanyama na kutushawishi tujitambue!!

Cha ajabu eti badala ya KUUNGANA na kupeana moyo na kuzikataa hila zote za kikoloni dhidi yetu kuwa sisi si watu,eti tunagombanana sisi kwa sisi tukitetea MABWANA ZETU waliowafanya babu zetu watumwa!!!!#!

Hivi kama dini zao zinatufanya tuwe hivi,kwa nini hatujiulizi UOVU wote waliouleta chini ya mwamvuli wa dini zao!!?

Mie nawaomba sana,linapokuja suala la UAFRICA wetu tuvue dini zetu pembeni na tupiganie utu wetu kama waafrika!!

May God bless AFRICA!
Dini ni mipango ya watu weupe,, John howkins alikuwa mzungu wa kwnza kubeba Waafrica na kuwapeleka marekani,mwarabu dalali mnunuzi mzungu,,dini zimeimalisha utumwa
 
Umeongea vema kaka. Hizi dini kazi zake ni kumtishia mtu mweusi kuhusu after life, as if wao walishakufa na kufufuka ili watuambie wanayotuambia. Ndio maana leo hii waafrika ni shida sana, hatuna utamaduni, hatuna chochote, family zetu zimeporomoka. Nadhani ni wakati sasa tuachane na utumwa wa akili, tujitambue, tuenzi vitu vyetu, tuboreshe na tudumishe utamaduni wetu. Tuhuishe sayansi ya kiafrika. Vinginevyo, baada ya miaka 50 ijayo, bala la Afrika halitakuwa na mwenyewe.
Mimi nilishaachaga utumwa huo kitambo tu uislamu na ukristo ,,dini ni vitisho ,, Mungu mkatili anawapendelea akina fulani eti ndio chaguo lake sisi weusi tumelaaniwa eti mzee wetu hamu alimchungulia baba yake mlevi baba akatoa laana kwa hamu,na uzao wake tuwe watumwa wa japhet na Shem milele dini ni mipango ya wanadamu,,sisi watu weusi ndio baba mama wa hao wajiitaa superior race,, wakati wao ndio dhaifu masikini wezi wauaji wanachoyo,, Asante
 
Hata hii mada inapambanua 'uarabu' na 'uzungu'. Wapo wanaoona waarabu walikuwa na afadhali kuliko wazungu and vice versa. Hii ni mbaya sana, tulikubali kujiuza wenyewe kupitia puppets wachache. Tulitengwa na imani na Leo tunajitenga kwa tofauti ya imani zetu...huyu anamtetea mzungu kisa ni mkristo na yule anamtetea mwarabu vile ni muislamu.
Bado tuna safari ndefu kuliko tunavyofikiria.
Kwanza hakuna kitu mashariki ya kati,,eneo lote la Arabia ni Africa kaskazini,, Tunisia Libya moroco Algeria,, Palestine na Israel ni ardhi ya watu weusi,,ila misri ni watu weusi saud Arabia ni watu weusi,,mzungu na mwarabu mweupe wote ni wanyang'anyi ,,,,jitahidini kusoma,,msing'ang'anie biblia na Quran,,sisi tulikuwa na Mungu kabla ya wao kupata akili,,pumbuvu zao,,
 
Kweli kabisa, hata Israel ambalo ni taifa teule la Mungu lilifanywa watumwa na waMisri jamii za kiafrika zilipigana zenyewe kwa wenyewe na walioshindwa walifanywa watumwa.
Mungu hajawahi kusema Israel ni taifa teule ,, hayo ni matango ya Wazungu na waarabu,,wote sisi wateule kwa Mungu wa kweli sio wa kanisani wala msikitini,,mzungu na mwarabu mweupe wote ni wapinga Mungu,,
 
Shule jaman turudi hata darasa la tano tujue historia ya utumwa ndo tutajua walipopelekwa watumwa
Historia hiyo ya darasa la tano ilitungwa kwa matakwa ya hao weupe mzungu na mwarabu mweupe,,adui yako akuandie historia yako,,wehu mtupu
 
Kwani hakuna inchi ulaya walikuwapo watumwa lakini wakapotea baada ya utumwa?zipo inchi nyingi tu...wazungu waliwahasi pia...BABU ZETU...
Mfano Argentina hakuna weusi,,nao vp wanafanana matendo yao na waarabu weupe,,?
 
Back
Top Bottom