Uturuki nayo yatuma zana za Kivita Iran

Uturuki nayo yatuma zana za Kivita Iran

Binafsi siombei vita sijaiishi vita ila naiona najua mateso wanayoyapata watu huko
Ila ukweli mchungu ndio huo mashariki ya kati bila vita amani waisahau ila angalizo vita yenyewe israhell apigwe akishinda ndio madhila yatakua mara alfu
Kama tafsiri yako ya amani ni Israel kushindwa vita basi mnajidanganya. Hakuna wa kumshinda Israel katika Vita labda mdomoni tu.
 
Kama tafsiri yako ya amani ni Israel kushindwa vita basi mnajidanganya. Hakuna wa kumshinda Israel katika Vita labda mdomoni tu.
Arudishe magaidi wake waliotekwa na hamas
Halaf aregeshe hao wavamizi wake wanaokimbia huko
Yaani nchi mnayodai haishindwi inashindwa hata kuzuia raia wake wasihamishwe kwenye makazi yao na kakikundi fulani
Israhell kweli kwenye media haishindikani ila kwenye uhalisia ndio tatizo linaanzia hapo


Satellites monitor the largest displacement of settlers in 70 years in northern occupied Palestine due to the war with Hezbollah
 
Utawala wa Iran utaangushwa ukiingia vitani na Israel. Raia wa Iran wanaopinga Serikali watapata back-up kutoka Israel ili kuuangusha Utawala uliopo Iran.
Iran 80% wanaipenda nchi yao .
Iran sio uarabuni,hivyo usije kujidanganya unaweza ukapalilia uasi Iran.
Hakuna taifa linachukia external interference kama Iran.
 
Kama tafsiri yako ya amani ni Israel kushindwa vita basi mnajidanganya. Hakuna wa kumshinda Israel katika Vita labda mdomoni tu.
Israel imeshashindwa mara kibao tu.
Ila propaganda za Western na US ndio zinawalinda.
 
Iran 80% wanaipenda nchi yao .
Iran sio uarabuni,hivyo usije kujidanganya unaweza ukapalilia uasi Iran.
Hakuna taifa linachukia external interference kama Iran.
Umedanganywa ............mwisho wa ayatollah ndio huooooooooooooo unakuja........hiyo inchi walikuwa waislam lakini walikuwa wanafata falsafa ya mzungu........Leo hii hata ugoko huuoni unafikiri wanapenda ?? ........mambo ya mungu kira nafsi ijiangaikie yenyewe kama mtu anavyokwenda kura au kuoga bila kuambiwa ...... kwani wewe uitaki pepo mpaka mimi nikwambie kuna pepo ........jitafakari uchague kukaa kwenye mkeka jamvi au sofa.......
 
Iran 80% wanaipenda nchi yao .
Iran sio uarabuni,hivyo usije kujidanganya unaweza ukapalilia uasi Iran.
Hakuna taifa linachukia external interference kama Iran.
Nafahamu vizuri Sana kwamba Iran ni nchi ya Waajemi (Persians), siyo Waarabu. Aidha, nafahamu pia kwamba Raia wengi sana wa Iran wanaipenda Sana nchi yao ya Iran, Lakini ni ukweli usiopingika kwamba Raia wengi sana wa Iran hawaupendi Utawala/Serikali iliyopo nchini mwao.

Kumbuka: Nchi siyo Serikali au Utawala.
Unaweza ukaipenda Sana nchi yako lakini unaweza kuwa unaichukia Sana Serikali iliyopo kwenye nchi yako.

Kuwa mzalendo kwa nchi siyo lazima uwe mzalendo kwa Serikali iliyopo kwenye nchi yako.
Nchi na Serikali ni vitu viwili tofauti kabisa, wala siyo kitu kimoja.
 
Nafahamu vizuri Sana kwamba Iran ni nchi ya Waajemi, siyo Waarabu. Aidha, nafahamu pia kwamba Raia wengi sana wa Iran wanaipenda Sana nchi yao ya Iran, Lakini ni ukweli usiopingika kwamba Raia wengi sana wa Iran hawaupendi Utawala/Serikali iliyopo nchini mwao.

Kumbuka: Nchi siyo Serikali au Utawala.
Unaweza ukaipenda Sana nchi yako lakini unaweza kuwa unaichukia Sana Serikali iliyopo kwenye nchi yako.

Kuwa mzalendo kwa nchi siyo lazima uwe mzalendo kwa Serikali iliyopo kwenye nchi yako.
Nchi na Serikali ni vitu viwili tofauti kabisa, wala siyo kitu kimoja.
Mkuu Iran kama kufanyika uasi ungefanyika siku nyingi.
Iran problems will be solved by Iranians themselves not by external interference.
Raia wa Iran wala hawaichukii serikali yao bali wamechoka na uchumi uliodorora.
Ndio maana hata uchaguzi wa awamu hii raia walikua wakisema wanatamani rais atakayewakwamua katika economic sanctions.
Ila Iran raia wanajielewa,unadhani hawajui kilichotokea Libya mkuu?
Matatizo yao watatatua wenyewe ila sio kwa kuingiliwa na Watu wa nje,hilo wameshalikataa muda.
 
Watu wa eneo la mashariki ya kati ma unafiq hawawezekani
Iran kama anataka kuingia vitani ajiandae kisaikolojia kwakuwategemea hao kina Turkey hatoboi
Aombe kama ataingia vitani na israhell ili kupata msaada ni wananchi kuingia road dhidi ya sirikali zao
Au akiingia aingie mazina mazima ila acha tuone
Naunga mkono maneno ya med kwamba ME ili kuwe na amani lazima kuwe na full war na hio israhell apigwe mpaka achakae ndio amani itapatikanika
Exactly Misri kwenye YOUM KIPUR alifukuza mwizi kimya kimya, yeye na Syria tu, ila angewashirikisha kina Saud na kundi lake asingefanikiwa kumpiga Israel kirahisi vile.
 
Umedanganywa ............mwisho wa ayatollah ndio huooooooooooooo unakuja........hiyo inchi walikuwa waislam lakini walikuwa wanafata falsafa ya mzungu........Leo hii hata ugoko huuoni unafikiri wanapenda ?? ........mambo ya mungu kira nafsi ijiangaikie yenyewe kama mtu anavyokwenda kura au kuoga bila kuambiwa ...... kwani wewe uitaki pepo mpaka mimi nikwambie kuna pepo ........jitafakari uchague kukaa kwenye mkeka jamvi au sofa.......
Punguza kuropoka.
Iran raia wanapenda nchi yao na utawala wao.
Na kama kuna matatizo raia watayatafuta wenyewe ila sio kwa kuingiliwa na Watu wa nje.
Hivi ulitizama maoni ya raia katika kampeni za uchaguzi wa mwaka huu wa kumtafuta mbadala wa Ebrahim Raisi!??
Hata kama ikiwa mwisho wa Ayatollah basi ni kwa kuondolewa na Wairan wenyewe kwa matakwa yao ila sio kwa kupandikizwa uasi na Watu ama mataifa ya nje.

Hizo zingine ulizoongea ni blee ble blee.
 
Arudishe magaidi wake waliotekwa na hamas
Halaf aregeshe hao wavamizi wake wanaokimbia huko
Yaani nchi mnayodai haishindwi inashindwa hata kuzuia raia wake wasihamishwe kwenye makazi yao na kakikundi fulani
Israhell kweli kwenye media haishindikani ila kwenye uhalisia ndio tatizo linaanzia hapo


Satellites monitor the largest displacement of settlers in 70 years in northern occupied Palestine due to the war with Hezbollah
Hapo ndio unakwama,yaani unafananisha kumficha mtu mmoja mmoja na kushinda full-scale war?
 
Cyprus ni Turkish territory na Greece ina urafiki mzuri na inanufaika sana na Turkiye.
Kweli upo low sana kwenye International Politics/Geopolitical, nenda kasome vizuri ujifunze kuhusu Cyprus, Greece na Turkey.
 
Back
Top Bottom