Tizama na bendera hizo za Palestina.Embu nionyeshe sare rasmi za kivita za Hamas
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tizama na bendera hizo za Palestina.Embu nionyeshe sare rasmi za kivita za Hamas
Ilishindwa wapi na kivipi,mbona ametanua ardhi yake tangu mwaka 1967Israel imeshashindwa mara kibao tu.
Ila propaganda za Western na US ndio zinawalinda.
Israel anakaribia kupata sababu ya kushambulia kile kinu cha nuclear.
hj
D. Zipo za kutosha mada na ulichochangia mbalimbali kabisaUwezi elewa kama huna D mbili
Wewe endelea kujifanya ni mwananchi wa Tehran........utaenda kulinda kaburi la ayatollah...........mpaka bomu linaenda kuwekwa kwenye makazi yenye ulinzi ya serikali .........ujue watu wamechoka hawaitaki hiyo serikali...........zingatia neno kuichokaPunguza kuropoka.
Iran raia wanapenda nchi yao na utawala wao.
Na kama kuna matatizo raia watayatafuta wenyewe ila sio kwa kuingiliwa na Watu wa nje.
Hivi ulitizama maoni ya raia katika kampeni za uchaguzi wa mwaka huu wa kumtafuta mbadala wa Ebrahim Raisi!??
Hata kama ikiwa mwisho wa Ayatollah basi ni kwa kuondolewa na Wairan wenyewe kwa matakwa yao ila sio kwa kupandikizwa uasi na Watu ama mataifa ya nje.
Hizo zingine ulizoongea ni blee ble blee.
Sipo low mzee nipo deep sana.Kweli upo low sana kwenye International Politics/Geopolitical, nenda kasome vizuri ujifunze kuhusu Cyprus, Greece na Turkey.
hata wafanyaje, hakuna mtu wa kumshinda Mungu wa Israel. wanapoteza muda tu.Uturuki nayo imetuma Ndege mbili za mizigo yavsilaha kwenda Tehran
Two days in row,at 31-07-2024 & 01-08-2024 , Airbus A400 of the Turkish Air Force flew twice to IRAN,
on the route Tehran-Ankara-Instabul.
In same time Russian special squadron Il-96 flew also twice in two days+one Russian Il-76 .
Wewe sasa ndio unakwamaHapo ndio unakwama,yaani unafananisha kumficha mtu mmoja mmoja na kushinda full-scale war?
Suala la kuweka bomu hilo suala la kiintelijensia wewe huwezi kulijua wamefanikishaje,je kama wametumia pandikizi wao myahudi anayeishi Iran?Wewe endelea kujifanya ni mwananchi wa Tehran........utaenda kulinda kaburi la ayatollah...........mpaka bomu linaenda kuwekwa kwenye makazi yenye ulinzi ya serikali .........ujue watu wamechoka hawaitaki hiyo serikali...........zingatia neno kuichoka
Hii ishakimbizwa mbali kuleManowari ya Kivita ya US imetia nanga Mediterranean Ayatolah na Magaidi yake Uharo Debe.
Akishambuli nuclear ya Irani na nuclear yake haitawachwa salama. Itakuwa jino kwa jinoIsrael anakaribia kupata sababu ya kushambulia kile kinu cha nuclear.
Na uwepo wake nato ndio mwanzo wa matatizoNATO inamfunga mikono.
Kama isingekuwa NATO basi Turkiye ni nchi ambayo ikiingia vitani kukusaidia tegemea 90% unashinda.
Ndivyo mnavyodanganyana?!Hii ishakimbizwa mbali kule
Ukiwashirikisha hao wanafiq hupindui yaaniExactly Misri kwenye YOUM KIPUR alifukuza mwizi kimya kimya, yeye na Syria tu, ila angewashirikisha kina Saud na kundi lake asingefanikiwa kumpiga Israel kirahisi vile.
Sasa hili israhell hakulijua kabla ya kuingia full scale war😀Embu nionyeshe sare rasmi za kivita za Hamas
Gaza inathibitiwa na nani kwasasa?Hiyo full scale war si aliifanya Gaza na akashindwa kuimaliza!?
Unatia aibu,nenda kajifunze na kusoma historia ya Cyprus, Greece na Turkey.Sipo low mzee nipo deep sana.
Ukitaka tujadili pia.
Mtu kutoka Turkiye kwenda Cyprus au Greece haihitaji visa wala passport and vise versa.
Cyprus kituruki ni sehemu ya lugha yao.
Kuna mpaka vyuo vimejengwa na Uturuki ndani ya Cyprus.
Ukitaka nakutajia.
Kwani Israel anapigana vita kukomboa mateka au kuifurusha Hamas Gaza?Wewe sasa ndio unakwama
Israhell kashinda full scale war ipi unayoisemea?
Mpaka sasa vita inapiganwa hakuna mshindi
Naomba nisisitize tena vita inayoendelea ghaza israhell ataua ataharibu sana ila kushinda beto yake yakukomboa watu wake na kuiangamiza hamas hili asahau narudia tena asahau
Jana tu makombora yamerushwa kutokea kaskazini ya ghaza
Hizi picha za studio na selfie,leta picha za Hamas wakiwa wamevaa magwanda wakiwa uwanja wa vita.Tizama na bendera hizo za Palestina.View attachment 3060651View attachment 3060652
Atapigwa kama ngoma,maana kule Kuna watu hatarii sana,achana na kina cholak wanajua kufuga ndevu2 kujificha kwenye mapagale,kule watu wanakuja sebuleni kwako wanafanya Yao then wanayeyuka kama moshii,nakala anayo ayatollahYa vuzi atakuwepoo au