Uturuki nayo yatuma zana za Kivita Iran

Uturuki nayo yatuma zana za Kivita Iran

Uturuki nayo imetuma Ndege mbili za mizigo yavsilaha kwenda Tehran
Two days in row,at 31-07-2024 & 01-08-2024 , Airbus A400 of the Turkish Air Force flew twice to IRAN,
on the route Tehran-Ankara-Instabul.
In same time Russian special squadron Il-96 flew also twice in two days+one Russian Il-76 .
Uturuki ,Egypt na Iran wangekuwa na ushirikiano seriously na kuacha unafiki wao ,wangekuwa washamnyoosha mzayuni na kumfuta .
Tatizo Middle east imejaa falme na tawala za wanafiki na mapuppets kama Jordan ,uAE , Saudia ,Oman nk
Hiki ni kikwazo na tatizo kubwa sana
 
Turkey , Iran na Egypt ndio nchi zenye majeshi makubwa imara na yenye resources na experience za vita hapo middle east , waungane waondoe udhalinu wa mayahudi feki hapo , Israel ni taifa feki na ni kansa inayotafuna hilo eneo miaka nenda rudi
 
Imefika wakati sasa Uturuki nae apewe fupa lake Cyprus na Greece ahangaike nalo naona amekaa kizembezembe sana.
Halafu hawa waturuki tangia wapoteze empire Yao Ile ya Otoman ,washakuwa wapumbav Sana .
Hili taifa kiuhalisia walitakiwa wawe viranja wakuu na kustabilize mambo hapo Middle east ila ndio sivyo , wao na Egypt .
Na Kwa kujua hilo Marekani na washenzi wenzake wakapandikiza tawala za vibaraka kwenye hayo mataifa miaka yote na kuhakikisha wanazivuta hizo nchi kuwa ma ndumila kuwili ili taifa feki la mazayuni liweze kufanya umafia wake bila bughudha
 
NATO inamfunga mikono.
Kama isingekuwa NATO basi Turkiye ni nchi ambayo ikiingia vitani kukusaidia tegemea 90% unashinda.
Yah ! Ni moja ya mataifa yenye jeshi kubwa imara ,lenye technology , resources na experience ya vita .
Wako vizuri mno ,ila hawaimbwi sana .
Kinachonikera ni undumila kuwili wa hao watawala wao na bora haya huyu Edorgan wa sasa , na ana hasira sana baada ya kunusurika kupinduliwa na CIA .
Ndio ujue jinsi mmarekani na washenzi wenzake walivyo kazini kuhakikisha middle east undumila kuwili, unafiki na kukosa mshikamano kwa mataifa yenye nguvu kijeshi unaendelea ili kuhakikisha dormimance ya mazayuni hapo.
 
Safi, panuke wavaa kobazi wabinywe kende kama Six Day War. Wajikusanye wavaa kobazi wote wagongwe.
 
Aisee kumbe hata milima ya Golan sehemu ya Syria inayokaliwa na Israel Syria walifanikiwa kuitwaa baada ya kuichapa Israel?,kumbe hata Misiri hawakuomba kumaliza vita mezani ilikuokoa askari wake elfu 20 waliokuwa wamezingirwa na Israel?.kumbe na ule mkataba wa amani kati ya Misiri na Israel haukufikiwa ili Misiri warudishiwe eneo la Sinai ambalo lilikuwa linakaliwa na Israel?.


Kumbe yale mataifa 16 ya kiarabu ikiwemo Iraq,Tunisa,Algeria n.k akiwepo mrusi aliyetuma askari wake elfu40 kuwasaidia waarabu na kisha yeye mwenyewe akatangaza kuwa waarabu wameshindwa vita hayo yote ili kuwa ni ngonjera tu? na Israel haikalii milima ya Golan eneo la Syria kutokana na Syria kukataa kutii sharti la Israel la kubadilishana milima ya Golan na amani kama walivyofanya na Misri?.
Misri alianzisha vita na lengo la kuanzisha vita ni kukumboa eneo lake la Sinai, baada ya Vita wakarudishiwa hilo eneo.

Pia si kweli kwamba wanajeshi 20,000 walizingirwa, hizo ni propaganda tu za Israel kwamba Eti kikosi cha Sharon kilikuwa kimezingira wanajeshi wa Egpty. Tafuta elimu kwenye vitabu na sio propaganda za Media. Sharon alilose vibaya mno zipo mpaka Interview za wakati huo mwenyewe alikiri kuwa ilikuwa siku mbaya maishani mwake ila sasa hivi tunapigwa fix eti alizingira kikosi cha Egpty, Nioneshe Scholary resource yoyote ile inayothibitisha hilo la Sharon kuzingira hilo eneo, mpaka Anafika Suez Canal Sharon alikua amepoteza vifaru na wanajeshi wa kutosha tu.

1. Kissinger alienda Moscow kuwafata Ussr wasitishe vita,. Marekani na kiburi Chao wenyewe wao ndio waliomba kote, hadi Egpty Waliahidiwa hela nyingi tu na hadi leo wanalipwa wasipigane na Israel.

2. Waziri wa Ulinzi na Golda meir mwenyewe wa Israel walijiuzulu, unaposhinda vita hujiuzulu.

3. ANWAR sadat akapewa Noble prize kwa kukubali kusitisha vita, nchi iliopigwa iweje na matuzo juu juu

4. Israel akakubali kurudi Sha Sinai, ukishinda hurudishi eneo ambalo miaka kadhaa unalo


Muulize mwanajeshi yoyote wa Marekani, wanafundishwa hii vita kila siku kwenye mtaala wao, na haisemi kwamba Israel alishinda, only kwenye media.
 
Yah ! Ni moja ya mataifa yenye jeshi kubwa imara ,lenye technology , resources na experience ya vita .
Wako vizuri mno ,ila hawaimbwi sana .
Kinachonikera ni undumila kuwili wa hao watawala wao na bora haya huyu Edorgan wa sasa , na ana hasira sana baada ya kunusurika kupinduliwa na CIA .
Ndio ujue jinsi mmarekani na washenzi wenzake walivyo kazini kuhakikisha middle east undumila kuwili, unafiki na kukosa mshikamano kwa mataifa yenye nguvu kijeshi unaendelea ili kuhakikisha dormimance ya mazayuni hapo.
Na kibaya zaidi kajiroga kujiunga NATO.
Ila weeee Uturuki ni bonge la jeshi likisema linaingia mzigoni kazi unayo.
 
Misri alianzisha vita na lengo la kuanzisha vita ni kukumboa eneo lake la Sinai, baada ya Vita wakarudishiwa hilo eneo.

Pia si kweli kwamba wanajeshi 20,000 walizingirwa, hizo ni propaganda tu za Israel kwamba Eti kikosi cha Sharon kilikuwa kimezingira wanajeshi wa Egpty. Tafuta elimu kwenye vitabu na sio propaganda za Media. Sharon alilose vibaya mno zipo mpaka Interview za wakati huo mwenyewe alikiri kuwa ilikuwa siku mbaya maishani mwake ila sasa hivi tunapigwa fix eti alizingira kikosi cha Egpty, Nioneshe Scholary resource yoyote ile inayothibitisha hilo la Sharon kuzingira hilo eneo, mpaka Anafika Suez Canal Sharon alikua amepoteza vifaru na wanajeshi wa kutosha tu.

1. Kissinger alienda Moscow kuwafata Ussr wasitishe vita,. Marekani na kiburi Chao wenyewe wao ndio waliomba kote, hadi Egpty Waliahidiwa hela nyingi tu na hadi leo wanalipwa wasipigane na Israel.

2. Waziri wa Ulinzi na Golda meir mwenyewe wa Israel walijiuzulu, unaposhinda vita hujiuzulu.

3. ANWAR sadat akapewa Noble prize kwa kukubali kusitisha vita, nchi iliopigwa iweje na matuzo juu juu

4. Israel akakubali kurudi Sha Sinai, ukishinda hurudishi eneo ambalo miaka kadhaa unalo


Muulize mwanajeshi yoyote wa Marekani, wanafundishwa hii vita kila siku kwenye mtaala wao, na haisemi kwamba Israel alishinda, only kwenye media.
Na cha kuongeza 80% ya Sinai ilishakombolewa except few settlements ndio bado zilikua chini ya Israel ambazo zilirudishwa kwa makubaliano ya Camp David.
 
Hizo silaha Israel anaziangalia tu vita ikianza ataanza nazo
 
Uturuki nayo imetuma Ndege mbili za mizigo yavsilaha kwenda Tehran
Two days in row,at 31-07-2024 & 01-08-2024 , Airbus A400 of the Turkish Air Force flew twice to IRAN,
on the route Tehran-Ankara-Instabul.
In same time Russian special squadron Il-96 flew also twice in two days+one Russian Il-76 .
Turkey ndo yuko karibu na Israel kuliko Iran, anapeleka silaha za nini Iran mbali hivo? Si apige Israel moja kwa moja? Anataka Iran ichakae kama Gaza, Iran itakuwa uwanja wa mapambano.
 
Unajua hii idea yenu huwa inanishangaza kiasi!
Hivi kwani Israel hawana kinu cha nuclear ambacho kinaweza kushambuliwa?
Au Israel wana kinga dhidi ya makombora?
Eti Kosugi hii kitu imekaaje kiongozi?
Mkuu ukikubali kutumia akili kidogo tu utajua tofauti yake.
 
Unajua hii idea yenu huwa inanishangaza kiasi!
Hivi kwani Israel hawana kinu cha nuclear ambacho kinaweza kushambuliwa?
Au Israel wana kinga dhidi ya makombora?
Eti Kosugi hii kitu imekaaje kiongozi?
Hilo gumu kulieleza mkuu,ila hata Iran sasa hivi nuclear facility zake ziko underground huwezi ukazishambulia na ukafanikiwa.
Hilo lilithibitika May Israel alipofanya shambulizi Isfahan nuclear facility shambulio lilifeli.
Ila kuhusu Israel kutokulengwa kwenye vinu vyake vya nuclear nahisi nao vinu vyao vitakuwa na ulinzi zaidi.
 
Wajanja sana, wanakuletea vifaa ukapiganie kwako...
1000011388.jpg
 
Back
Top Bottom