Uume kupinda ni tatizo au kama ni tatizo msaada please

Uume kupinda ni tatizo au kama ni tatizo msaada please

😂😂😂😂😂😂😂 Nmeingia cha kiumee
Mimi sio dakitareeeee
Ila aiache hvyohvyo na mpindo yake
Chakiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Haya mawazo yatanikondesha sasa 😥 nawaza anaiswekaje tukiwa Woman on top, nauzito wangu huu naweza ivunja mamlaka😥😥😥
 
Nimekuelewa Mkuu, Fanya hivi :

Chukua mkaa twanga vizuri, changanya na majivu ya jiko la mkaa yaliyotokana na Mti wa msesewe uliochomwa,changanya na maziwa ya paka yaliyogandishwa koroga kwa pamoja kisha kunywa na mayai mawili ya bata weusi...yawe kwenye hali ya uvuguvugu

Itasimama juu kama 1 na mpindo utaishia hapo
 
Back
Top Bottom