Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Zamani tulikuwa hatuvai chupi wala boksa unatinga zako bukta ya Real Madrid au Man U
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh nikafikiri nimezaliwa nayoHujazaliwa ivyoo ila ni chupi walizokuwa wanakuvalisha wazazi wako kipindi ni mdogo ndo zimesababisha
PmPicha tuone
kabisa mkuuZamani tulikuwa hatuvai chupi wala boksa unatinga zako bukta ya Real Madrid au Man U
Atajua anavaa vp ili mambo yaendeSasa mkuu itakuwaj si Itabid avae msuli tu 😀😀
Sivai chupi mzee navaa boxerAcha kuvaa machupi kama demu.
Hapa nilikuwa nawaza hiyo POP madokta wanapitia mengi 🤣Atajua anavaa vp ili mambo yaende
No hapa hapa tuma
Atume kila mmoja aone tujue tunamsaidia vpNo hapa hapa tuma
Uzi utafungwaNo hapa hapa tuma
Hapana hilo hata sio tatizo mkuu hiyo inatokan na kuuegemesha uume upande mmoja kwa muda mrefu ndani ya nguo ya ndaniDuh nikafikiri nimezaliwa nayo
Ik sawa nimekuelewaHapana hilo hata sio tatizo mkuu hiyo inatokan na kuuegemesha uume upande mmoja kwa muda mrefu ndani ya nguo ya ndani
NimeshatumaAtume kila mmoja aone tujue tunamsaidia vp
Nimeshafuta kaka wanasema tuma picha alafu wapo kimyaFuta picha hiyo mkuu haraka sana, waliyoona wameona ambao hawajaona basi
Hapo wameona watu zaidi ya 20 sema hawajakomenti mkuu 🤣🤣 siku nyingine usiweke hapo pichaNimeshafuta kaka wanasema tuma picha alafu wapo kimya
😂 duh wamepita kimyaHapo wameona watu zaidi ya 20 sema hawajakomenti mkuu 🤣🤣 siku nyingine usiweke hapo picha
Asante picha umeiona?Pole mkuu
Hahaha.Mkuu pole sana kwa changamoto yako
ushauri wangu ni kwamba nenda kituo chochote kikubwa cha afya kilicho karibu nawe
Ukishafika nuombe daktari akufungu P.O.P wakati uume umesimama baada ya wiki ukitoa kila kitu safi